Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KISOMO CHA MAMA YAKE HAMIDA CHAFANYIKA JUMAMOSI

\Picha ni mama yake Hamida aliyefanyiwa kisomo siku ya Jumamosi Oct 11, 2014 Silver Spring, Maryland nchini Marekani na kuhudhuriwa na ndugu, jamaa na marafiki kutoka sehemu mbalimbili hapa DMV na majimbo ya jirani.Hamida akiwa kwenye kisomo cha mama yake kilichofanyika siku ya Jumamosi Oct 11, 2014 Silver Spring, Maryland nchini Marekani.Hamida akiwa na rafiki yake Lilian walipokua kwenye kisomo cha mama yake Hamida.wakina mama wakijumuika na Hamida kwenye kisomo cha mama yake...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

TASWIRA YA KISOMO CHA BI. AZIZA BORORO CHAFANYIKA BOWIE MD

IMG_9972Anti.Ashura kushoto akiwa na Bi.Jamila mfiwa wakati wa kisomo cha mama yake mzazi Bi Aziza Bororo kilichofanyika nyumbani kwao Bowie Md Jumamosi Januari 10,2014. IMG_9986Bw.Sharrif Makono akiwa nyumbani kwake Bowie Md wakati wa kisomo cha mama mkwe wake Bi.Aziza Bororo. IMG_9976Bi.Hidaya Mahita. IMG_9975Joha Nyang'anyi. IMG_9981Lisa Luhanga. IMG_0053Vera, Dj Jo na Sophia Mgaza.IMG_0011Rais wa jumuiya ya watanzania-DMV Iddy Sandali akiwa na mwenyekiti wa CCM -DMV George Sebo katika kisomo. IMG_0057Lilian Makono. IMG_0013Uncle Joel
IMG_0009IMG_0005IMG_0032IMG_9990IMG_0002 IMG_9978 IMG_0029IMG_9986

 

10 years ago

Vijimambo

KISOMO CHA MAREHEMU ZAINAB MUSSA CHAFANYIKA DMV


Ustaadh Mudy Mabenzi akiongoza kisomo cha mama yake Yasin Randi Marehemu Zanab Mussa kilichofanyika siku ya Jumampili Desemba 14, 2014 nyumbani kwao Hyattsville, Maryland nchini Marekani.
Ustaadh Ally Mussa aisaidiana na mauutadh wenzake katika kisomo na mpendwa mama yake Yasin Randi marehemu Zainab Mussa kilichofanyika siku ya Jumapili Desemba 14, 2014. Kushoto ni Abdul Sebo akifuatilia kisomo.Ustaadh Abdulmalik akisaidiana na Ally Mussa na Mudy Mabenzi (hawapo pichani) kuongoza kisomo cha...

 

11 years ago

Michuzi

Kisomo cha 40 ya Marehemu Amina Ngaluma kufanyika Jumamosi jijini Dar

Na Mwandishi Wetu
KISOMO cha 40 ya aliyekuwa mwimbaji mahiri nchini, marehemu Amina Ngaluma ‘Japanese’ kinatarajiwa kufanyika Jumamosi wiki hii Kitunda, Machimbo Dar es Salaam.
Akizungumza na gazeti hili, mume wa marehemu Rashid Sumuni, alisema kisomo hicho kitafanyika nyumbani kwa wazazi wake marehmu na kwamba pia watakuwa na shughuli maalum ya kufutarisha waumini baada ya kumalizika kisomo hicho.
“Tunaomba ndugu, jamaa na marafiki wote tulioshiriki kwa namna mbalimbali wakati wa msiba wa...

 

10 years ago

Vijimambo

KISOMO CHA MAMA MWANAKONDO MOHAMED JUMBE, NEW YORK

Latifa(kushoto) katika picha ya pamoja na ndugu zake kwenye kisomo cha mpendwa mama yake Mwanakondo Mohamed Jumbe kilichofanyika siku ya Jumamosi Novemba 16, 2014 jijini New Yeork jimbo la New York nchini Marekani.Watanzania wa New York wakijumuika pamoja na Latifa kwenye kisomo cha mpendwa mama yake Mwanakondo Mohamed Jumbe kilichofannyika siku ya Jumamosi Novemba 16, 2014 NYC, New York nchini Marekani.Ndugu, jamaa na marafiki wa familia wakiwa katika picha ya pamojaKwa picha zaidi bofya...

 

10 years ago

Vijimambo

KISOMO CHA MAREHEMU MAMA MPENDWA BI. AZIZA S. BORORO DMV

Familia ya Bwana Shariff na Bi Jamila inapenda kuwataarifu juu ya KISOMO cha kumaliza msiba wa mpendwa marehemu Mama yao Bi Aziza S.Bororo kitakachofanyika siku ya Jumamosi 01/10/15 nyumbani kwao kuanzia saa nane na nusu (2.30pm) Adress ni 12726 Gladys Retreat Circle Bowie ,Md 20720 .Tafadhali ukipata taarifa hii mjulishe mwenzako .Contact # 301-674-9667 Shariff202 -271-1860 Aunt Grace 301-395-5133 Aisha.

 

10 years ago

Vijimambo

KISOMO CHA BABA YAKE ALLY MUSSA MIKIDADI DMV

Sala ya magharibi ikiendelea katika kisomo cha mpendwa baba yake Ally Mussa Mikidadi kilichofanyika siku ya Jumamosi March 28, 2015 Silver Spring, Maryland nchini Marekani na kuhudhuriwa na ndugu, jamaa na marafiki huku wengine wakitokea New York na New Jersey.Kulia ni Ally Mussa Mikidadi akifuatilia sala ya magharibi iliyoanza kabla ya kisomo cha mpendwa baba yake aliyefariki siku ya Jumamosi March 21, 2015 Dar es Saam, Tanzania na kuzikwa siku ya Jumapili March 22, 2015 katika makaburi ya...

 

10 years ago

Vijimambo

KISOMO JUMAMOSI DMV

Ally Mussa Mikidadi anawataarifu kisomo cha marehemu mpendwa baba yake kitakachofanyika siku ya Jumamosi March 28, 2015 saa 11 jioni (5pm) anuani ya mahali kitakapofanyika kisomo ni Pinecrest Local Park301 St. Laurance DrSilver Spring, MD
Kama ilivyo kawaida yetu kusaidiana na kushikamana hasa katika kipindi hiki kigumu cha Ally Mussa Mikidadi kuondokewa na mpendwa baba yake, tunaomba msaada kwa wakina baba walete vinywaji na akina mama tusaidiane vyakula ili tuweze kufanikisha shughuli hii...

 

11 years ago

Michuzi

kikao cha 98 cha watayarishaji wa vipindi vya elimu kwa umma kupitia TBC chafanyika Mkoani Morogoro

Mkuu wa mkoa wa Morogoro Joel Bendera akihutubia wakati wa ufunguzi wa mkutano wa 98 wa watayarishaji wa vipindi vya elimu kwa umma kupitia shirika la utangazaji Tanzania (TBC) mkoani Morogoro iliyoanza julai 14 hadi 23 mwaka huu mkoani Morogoro, mkutano huo unafadhiliwa na Mfuko wa Pensheni wa PSPF. kutoka kulia ni Mkurugenzi mkuu wa mfuko wa pensheni wa PSPF, Adam Maingu na (katikati) ni Mkurugenzi wa uendeshaji wa mfuko huo wa PSPF, Neema Muro. mkutano huo unafadhiliwa na Mfuko wa...

 

10 years ago

Michuzi

KIKAO CHA PILI CHA BARAZA LA WAFANYAKAZI WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI CHAFANYIKA LEO JIJINI DAR

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Mbarak Abdulwakil wa pili kutoka kushoto akiwa na Naibu Katibu Mkuu wa wizara hiyo Mwamini Malemi wa kwanza kutoka kushoto pamoja na Viongozi wa Baraza la Wafanyakazi wa Mambo ya Ndani ya Nchi na Wajumbe wengine wa Baraza hilo wakielekea kwenye ukumbi wa Police Officer’s Mess jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kufungua kikao hicho kilichoketi jana kujadili utekelezaji wa Bajeti ya mwaka 2014/2015 na Malengo ya mwaka 2015/2016. Katibu Mkuu wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani