Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TASWIRA YA KISOMO CHA BI. AZIZA BORORO CHAFANYIKA BOWIE MD

IMG_9972Anti.Ashura kushoto akiwa na Bi.Jamila mfiwa wakati wa kisomo cha mama yake mzazi Bi Aziza Bororo kilichofanyika nyumbani kwao Bowie Md Jumamosi Januari 10,2014. IMG_9986Bw.Sharrif Makono akiwa nyumbani kwake Bowie Md wakati wa kisomo cha mama mkwe wake Bi.Aziza Bororo. IMG_9976Bi.Hidaya Mahita. IMG_9975Joha Nyang'anyi. IMG_9981Lisa Luhanga. IMG_0053Vera, Dj Jo na Sophia Mgaza.IMG_0011Rais wa jumuiya ya watanzania-DMV Iddy Sandali akiwa na mwenyekiti wa CCM -DMV George Sebo katika kisomo. IMG_0057Lilian Makono. IMG_0013Uncle Joel
IMG_0009IMG_0005IMG_0032IMG_9990IMG_0002 IMG_9978 IMG_0029IMG_9986

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

KISOMO CHA MAREHEMU MAMA MPENDWA BI. AZIZA S. BORORO DMV

Familia ya Bwana Shariff na Bi Jamila inapenda kuwataarifu juu ya KISOMO cha kumaliza msiba wa mpendwa marehemu Mama yao Bi Aziza S.Bororo kitakachofanyika siku ya Jumamosi 01/10/15 nyumbani kwao kuanzia saa nane na nusu (2.30pm) Adress ni 12726 Gladys Retreat Circle Bowie ,Md 20720 .Tafadhali ukipata taarifa hii mjulishe mwenzako .Contact # 301-674-9667 Shariff202 -271-1860 Aunt Grace 301-395-5133 Aisha.

 

10 years ago

Vijimambo

KISOMO CHA MAMA YAKE HAMIDA CHAFANYIKA JUMAMOSI

\Picha ni mama yake Hamida aliyefanyiwa kisomo siku ya Jumamosi Oct 11, 2014 Silver Spring, Maryland nchini Marekani na kuhudhuriwa na ndugu, jamaa na marafiki kutoka sehemu mbalimbili hapa DMV na majimbo ya jirani.Hamida akiwa kwenye kisomo cha mama yake kilichofanyika siku ya Jumamosi Oct 11, 2014 Silver Spring, Maryland nchini Marekani.Hamida akiwa na rafiki yake Lilian walipokua kwenye kisomo cha mama yake Hamida.wakina mama wakijumuika na Hamida kwenye kisomo cha mama yake...

 

10 years ago

Vijimambo

KISOMO CHA MAREHEMU ZAINAB MUSSA CHAFANYIKA DMV


Ustaadh Mudy Mabenzi akiongoza kisomo cha mama yake Yasin Randi Marehemu Zanab Mussa kilichofanyika siku ya Jumampili Desemba 14, 2014 nyumbani kwao Hyattsville, Maryland nchini Marekani.
Ustaadh Ally Mussa aisaidiana na mauutadh wenzake katika kisomo na mpendwa mama yake Yasin Randi marehemu Zainab Mussa kilichofanyika siku ya Jumapili Desemba 14, 2014. Kushoto ni Abdul Sebo akifuatilia kisomo.Ustaadh Abdulmalik akisaidiana na Ally Mussa na Mudy Mabenzi (hawapo pichani) kuongoza kisomo cha...

 

11 years ago

Michuzi

Maisha ya Bi Aziza wa kijiji cha Mijongweni aliyekuwa akiishi chooni

Mwendo ukaongezeka mwenyekiti wa kitongoji Bw Msuya mbele ,Bi Aziza nyuma. Dakika 45 zinakamilisha safari yetu na hatimaye tunafika nyumbani kwa Bi Aziza. Fuatilia habari picha hii na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii
BOFYA HAPA

 

11 years ago

Michuzi

kikao cha 98 cha watayarishaji wa vipindi vya elimu kwa umma kupitia TBC chafanyika Mkoani Morogoro

Mkuu wa mkoa wa Morogoro Joel Bendera akihutubia wakati wa ufunguzi wa mkutano wa 98 wa watayarishaji wa vipindi vya elimu kwa umma kupitia shirika la utangazaji Tanzania (TBC) mkoani Morogoro iliyoanza julai 14 hadi 23 mwaka huu mkoani Morogoro, mkutano huo unafadhiliwa na Mfuko wa Pensheni wa PSPF. kutoka kulia ni Mkurugenzi mkuu wa mfuko wa pensheni wa PSPF, Adam Maingu na (katikati) ni Mkurugenzi wa uendeshaji wa mfuko huo wa PSPF, Neema Muro. mkutano huo unafadhiliwa na Mfuko wa...

 

10 years ago

Michuzi

KIKAO CHA PILI CHA BARAZA LA WAFANYAKAZI WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI CHAFANYIKA LEO JIJINI DAR

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Mbarak Abdulwakil wa pili kutoka kushoto akiwa na Naibu Katibu Mkuu wa wizara hiyo Mwamini Malemi wa kwanza kutoka kushoto pamoja na Viongozi wa Baraza la Wafanyakazi wa Mambo ya Ndani ya Nchi na Wajumbe wengine wa Baraza hilo wakielekea kwenye ukumbi wa Police Officer’s Mess jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kufungua kikao hicho kilichoketi jana kujadili utekelezaji wa Bajeti ya mwaka 2014/2015 na Malengo ya mwaka 2015/2016. Katibu Mkuu wa...

 

10 years ago

Michuzi

Kilele cha Mbio za Uhuru chafanyika jijini Dar

Mshindi wa kwanza wa mbio za kilometa 21 katika mashindano ya Uhuru Marathon 2014,Fabian Joseph akimaliza mbio hizo katika viwanja vya Leaders Club,kuliko fanyika kilele cha mbio hizo.Fabian ameibuka kidedea baada ya kuwaacha nyuma washiriki wenzake 10.Baadhi ya washiriki wa mbio hizo wakiingia katika viwanya vya Leaders Club,jijini Dar es Salaam kumalizia ngwe. Mgeni Rasmi katika mashindano ya Uhuru Marathon,Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo,Dkt. Fenella Mukangara akitoa hotuba...

 

11 years ago

Michuzi

Mdau Ismail Bibangamba alamba nondozz yake katika chuo kikuu cha Bowie State University

Katika Mahafali ya Spring 2014 Commencement (Bowie State University) akiwemo mTanzania anayeishi hapa mjini Maryland Ismail Bibangamba ameweza kutimiza ndoto yake ya kufaulu nondo ya Master of Business Administration siku ya Jumatatu May 19. 2014 Ndani Comcast Center, College Park Maryland Nchini Marekani. Ismail John Bibangamba akipita picha ya kumbukumbu  baada ya kuchukua nondo yake ya Master of Business Administration, siku ya Jumatatu May 19. 2014 Ndani ya Mjengo wa Comcast Center,...

 

11 years ago

Michuzi

kikao cha baraza la madiwani chafanyika mkoani iringa leo

 Mkurugenzi wa halmashauri ya Wilaya ya Iringa, Pudenciana Kisaka akizungumza wakati wa kikao cha baraza la madiwani kilichofanyika katika ukumbi Siasa ni Kilimo, kushoto kwake ni Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo Steven Mhapa. Baadhi ya madiwani wakifuatilia majadiliano katika kikao hicho yakiendelea katika kikao cha baraza la madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Iringa katika ukumbi wa Siasa ni Kilimo. Baadhi ya wakuu wa idara wa halmshauri ya wilaya ya Iringa wakifuatilia majadiliano...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani