Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KISOMO KILICHOFANYIKA DELAWARE JUMAPILI

 Wanafamilia na marafiki zao wakijumuika kwenye kisomo cha ndugu yao kilichofanyika Delaware mji wa Elkton siku ya Jumapili Aug 23, 2015 Kisomo kikiendelea Wanafamilia wakiwa katika picha ya pamoja

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

KISOMO CHA MAULID YA MTUME (SAW) KILICHOFANYIKA DMV, USA



Dua ikiendelea ikisomwa na Ustadh Ibrahim (alietupa mgongo) baada ya maulidi kumalizikaKwa umakini na unyenyekevu wakionekana wakiitikia dua ilikuwa ikisomwa na ustadh ( hayupo pichani) 
Maustadh wakuu wakibadilishana mawazo na kutathimini jinsi gani maulidi yalivyofanikishwa kwa siku ya leo


AKINA DADA

 Loveness ( kushoto) pamoja na waumini wengine bila kujali imani zao walijumuika pamoja katika kisoma cha maulidi, tuwe na mshikamano wa pamoja wana DMV. huu ni mfano mzuri
 picha za chini na juu...

 

10 years ago

Vijimambo

KISOMO CHA HITMA JUMAPILI DMV

Tujumuike na Yasin Randi (wa kijiwe cha ughaibuni) kwenye kisomo cha hitma ya mama yake mpendwa Zainabu Mussa siku ya Jumapili Desemba 14, 2014 kuanzia saa 8 mchana Marehemu alifikwa na mauti Tanzania Desemaba 8, 2014 nyumbani kwake Mbagala na maziko yalifanyika Jumanne Desemba 9, 2014 katika makaburi ya Mbagala.

Kisomo cha hitma kitafanyika nyumbani kwa mfiwa DMV  anuani ni 2608 Kirkwood Pl Apt # 201, Hyattsville MD 20782 kufika kwako ndio kufanikisha kisomo hiki.

Kwa taarifa zaidi na...

 

10 years ago

Vijimambo

KISOMO CHA KUMUOMBEA MAREHEMU NA FUTARI YA PAMOJA SIKU YA JUMAPILI HUKO SILVER SPRING MD USA



 Baada ya kisomo cha kumuombea  marehemu baba wa Fatma Khalfan, ikiendelea ikiongozwa na ustadh Mohammed Saleh, baadae sala ya magharib ikifuatiwa na kama desturi waumini kupata futari





























Keki ya Father's Day ilioandaliwa na akina mama kuwapongea baba wa watoto wao katika futari ya pamoja iliofanyika katika mji wa Silver Spring Maryland, USA


 Dada Asha Haridh akiwahudukia watoto kukata keki ya Father's Day, ikiwa ishara ya kuwapongeza akina baba
 meya wa jiji la greenbelt Sheikh Seif akiwa na...

 

11 years ago

Mwananchi

Kilichofanyika ni funika kombe Mwanaharamu apite

Machi 11 mwaka huu, Bunge Maalumu la Katiba, lilipitisha kanuni zake zitakazosimamia uendeshaji wa Bunge hilo, lakini likiacha kanuni muhimu za namna ya kufanya uamuzi kwa kura.

 

10 years ago

Vijimambo

Kilichofanyika mpaka Lowassa akatua CHADEMA na kufuta ndoto ya Dk. Slaa

USIKU wa Julai 10, 2015, Edward Lowassa, alipokea simu aliyoifahamu vema. Upande wa pili wa simu alizungumza mtu mwenye sauti nzito; Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). “ Mzee, nakukaribisha Chadema ili uongeze nguvu Ukawa”. Ndiyo ujumbe mfupi ambao Mbowe alimpa Lowassa siku hiyo.
Ni mazungumzo hayo ya Julai 10, ndiyo hatimaye yalimfikisha Waziri Mkuu huyo wa kwanza wa serikali ya Awamu ya Nne kwenye uamuzi wa kujiunga na Chadema mnamo Julai 28 mwaka huu,...

 

10 years ago

Vijimambo

MAAZIMIO KAMILI YA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM KILICHOFANYIKA JANA MJINI UNGUJA

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi akizungungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa Sekretarieti Afisi Kuu ya CCM Zanzibar.Waandishi wa Habari wakimsikiliza Katibu wa Itikadi na Uenezi Nape Nnauye alipokuwa anazungumzia maazimio ya kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM kilichofanyika Zanzibar tarehe 13 Januari 2015

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI.
Jana tarehe 13/01/2015 Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa chini ya uongozi wa Mwenyekiti wake wa Taifa Dr. Jakaya Mrisho...

 

10 years ago

Vijimambo

MAMBO YOTE JUMAPILI HII TAMASHA LA KISWAHILI JUMAPILI HII-(WASHINGTON DMV) -MABALOZI WA NA NCHI ZOTE ZA MASHARIKI WATHIBITISHA KUWEPO.


MAYOR WA MJI WA BLADENSBURG KUHUTUBIA, MABALOZI WA NCHI ZA AFRICA MASHARIKI WATAKUWEPO,FREE BOAT RIDE KUZUNGUKA MTO, MICHEZO YA WATOTO, UTAMADUNI WA AFRIKA MASHARIKI,VENDORS,CHAKULA CHA AFRIKA MASHARIKI KUTOKA SAFARI RESTAURANT DC, VINYWAJI BARIDI VYOTE VINAPATIKANA:                                               HAKUNA KIINGILIO NI BUREEE!

 

10 years ago

GPL

NAPE AYATAJA MAAZIMIO KAMILI YA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM KILICHOFANYIKA JANA MJINI UNGUJA

Katibu wa NEC-Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na Wanahabari mapema leo akifafanua kuhusiana na ripoti na maadhimio ya kikao cha kamati kuu cha CCM kilichofanyika jana katika ukumbi wa Ofisi Kuu ya CCM,Kisiwandui mjini Unguja kisiwani Zanzibar.PICHA NA MICHUZI JR-ZANZIBAR.                                                            ...

 

10 years ago

Vijimambo

TANGAZO LA KISOMO.



Familia ya Bi Hamida Majili, inapenda kuwakaribisha kwenye shughuli ya kisomo 
(Hitima) cha marehemu Zubeda Majili ambaye ni mamake mzazi, Bi Hamida 
Majili. Marehemu alifariki tarehe 31.08.2014 na kuzikwa huko nyumbani kwao 
Handeni, Mkoa wa Tanga.
Shughuli hii ya Kisomo, itafanyika siku ya Ijumamosi tarehe 11.10.2014 kuanzia 
saa 10.00 jioni hadi saa 2.00 usiku. Anwani ya mahali itakapofanyikia shughuli hii 
mtajulishwa baadae.
Kama ilivyo ada, tunawaomba Watanzania na wanajumuia wote wa hapa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani