KISOMO KILICHOFANYIKA DELAWARE JUMAPILI
Wanafamilia na marafiki zao wakijumuika kwenye kisomo cha ndugu yao kilichofanyika Delaware mji wa Elkton siku ya Jumapili Aug 23, 2015
Kisomo kikiendelea
Wanafamilia wakiwa katika picha ya pamoja
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboKISOMO CHA MAULID YA MTUME (SAW) KILICHOFANYIKA DMV, USA
Maustadh wakuu wakibadilishana mawazo na kutathimini jinsi gani maulidi yalivyofanikishwa kwa siku ya leo
AKINA DADA
10 years ago
Vijimambo13 Dec
KISOMO CHA HITMA JUMAPILI DMV
Tujumuike na Yasin Randi (wa kijiwe cha ughaibuni) kwenye kisomo cha hitma ya mama yake mpendwa Zainabu Mussa siku ya Jumapili Desemba 14, 2014 kuanzia saa 8 mchana Marehemu alifikwa na mauti Tanzania Desemaba 8, 2014 nyumbani kwake Mbagala na maziko yalifanyika Jumanne Desemba 9, 2014 katika makaburi ya Mbagala.
Kisomo cha hitma kitafanyika nyumbani kwa mfiwa DMV anuani ni 2608 Kirkwood Pl Apt # 201, Hyattsville MD 20782 kufika kwako ndio kufanikisha kisomo hiki.
Kwa taarifa zaidi na...
Kisomo cha hitma kitafanyika nyumbani kwa mfiwa DMV anuani ni 2608 Kirkwood Pl Apt # 201, Hyattsville MD 20782 kufika kwako ndio kufanikisha kisomo hiki.
Kwa taarifa zaidi na...
10 years ago
VijimamboKISOMO CHA KUMUOMBEA MAREHEMU NA FUTARI YA PAMOJA SIKU YA JUMAPILI HUKO SILVER SPRING MD USA
11 years ago
Mwananchi16 Mar
Kilichofanyika ni funika kombe Mwanaharamu apite
Machi 11 mwaka huu, Bunge Maalumu la Katiba, lilipitisha kanuni zake zitakazosimamia uendeshaji wa Bunge hilo, lakini likiacha kanuni muhimu za namna ya kufanya uamuzi kwa kura.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-cnaPR3ndVtI/Vcy9B_00MnI/AAAAAAAAJn4/-wQ-05rAPmc/s72-c/Lowassa4.jpg)
Kilichofanyika mpaka Lowassa akatua CHADEMA na kufuta ndoto ya Dk. Slaa
![](http://3.bp.blogspot.com/-cnaPR3ndVtI/Vcy9B_00MnI/AAAAAAAAJn4/-wQ-05rAPmc/s1600/Lowassa4.jpg)
Ni mazungumzo hayo ya Julai 10, ndiyo hatimaye yalimfikisha Waziri Mkuu huyo wa kwanza wa serikali ya Awamu ya Nne kwenye uamuzi wa kujiunga na Chadema mnamo Julai 28 mwaka huu,...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-6lKve8aQg1A/VLYkQfJ5O1I/AAAAAAAAVe4/D3C9qEWcDjA/s72-c/1.jpg)
MAAZIMIO KAMILI YA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM KILICHOFANYIKA JANA MJINI UNGUJA
![](http://1.bp.blogspot.com/-6lKve8aQg1A/VLYkQfJ5O1I/AAAAAAAAVe4/D3C9qEWcDjA/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Q5mdHtPNsOQ/VLYk12iHslI/AAAAAAAAVfA/BroyIcsfs74/s640/3.jpg)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI.
Jana tarehe 13/01/2015 Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa chini ya uongozi wa Mwenyekiti wake wa Taifa Dr. Jakaya Mrisho...
10 years ago
Vijimambo![](http://lh4.ggpht.com/-mdOXWX68UcE/VBfuSOwQChI/AAAAAAAAQnw/PuQ05DW8Lc8/s72-c/swahiliPicnic-1.png)
MAMBO YOTE JUMAPILI HII TAMASHA LA KISWAHILI JUMAPILI HII-(WASHINGTON DMV) -MABALOZI WA NA NCHI ZOTE ZA MASHARIKI WATHIBITISHA KUWEPO.
![](http://lh4.ggpht.com/-mdOXWX68UcE/VBfuSOwQChI/AAAAAAAAQnw/PuQ05DW8Lc8/s640/swahiliPicnic-1.png)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8Kb*1kVFSTtVrSwsWgEuoDx8WXdW29yp5eShuikYPZWQLcvjly3xiuc5p8thirjFhZ1BBqs-s*7SFydgGOfTZp15P5M3Wjnp/IMG_5275.jpg?width=650)
NAPE AYATAJA MAAZIMIO KAMILI YA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM KILICHOFANYIKA JANA MJINI UNGUJA
Katibu wa NEC-Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na Wanahabari mapema leo akifafanua kuhusiana na ripoti na maadhimio ya kikao cha kamati kuu cha CCM kilichofanyika jana katika ukumbi wa Ofisi Kuu ya CCM,Kisiwandui mjini Unguja kisiwani Zanzibar.PICHA NA MICHUZI JR-ZANZIBAR. Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â ...
10 years ago
Vijimambo30 Sep
TANGAZO LA KISOMO.
Familia ya Bi Hamida Majili, inapenda kuwakaribisha kwenye shughuli ya kisomo
(Hitima) cha marehemu Zubeda Majili ambaye ni mamake mzazi, Bi Hamida
Majili. Marehemu alifariki tarehe 31.08.2014 na kuzikwa huko nyumbani kwao
Handeni, Mkoa wa Tanga.
Shughuli hii ya Kisomo, itafanyika siku ya Ijumamosi tarehe 11.10.2014 kuanzia
saa 10.00 jioni hadi saa 2.00 usiku. Anwani ya mahali itakapofanyikia shughuli hii
mtajulishwa baadae.
Kama ilivyo ada, tunawaomba Watanzania na wanajumuia wote wa hapa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania