Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KISOMO CHA KUMUOMBEA MAREHEMU NA FUTARI YA PAMOJA SIKU YA JUMAPILI HUKO SILVER SPRING MD USA



 Baada ya kisomo cha kumuombea  marehemu baba wa Fatma Khalfan, ikiendelea ikiongozwa na ustadh Mohammed Saleh, baadae sala ya magharib ikifuatiwa na kama desturi waumini kupata futari





























Keki ya Father's Day ilioandaliwa na akina mama kuwapongea baba wa watoto wao katika futari ya pamoja iliofanyika katika mji wa Silver Spring Maryland, USA


 Dada Asha Haridh akiwahudukia watoto kukata keki ya Father's Day, ikiwa ishara ya kuwapongeza akina baba
 meya wa jiji la greenbelt Sheikh Seif akiwa na...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

KIFUANGUA KINYWA CHA THE DIVA'S USA VALENTINE'S DAY SHERATON DOWNTOWN SILVER SPRING

Baadhi ya wageni waliohudhuria The Diva's USA Valentine's Day Dinner wakiwa ukumbi wa mapumziko hotel ya Sheraton iliyopo Downtown Slver Spring, Maryland nchini Marekani wakisubili kupata kifungua kinywa huku wageni wengine wakishindwa kuamka kwa uchovu wa hafla hiyo ya Valentine iliojaa starehe, raha na mambo yote ya valentine. Wenyeji wakiwa ndani ya mgahawa wakisubili kuhudumiwa kwa ajili ya kifungua kinywa.Wageni wakiendelea na kifungua kinywa. Kifungua kinywa kikiendelea Habari yenyewe...

 

9 years ago

Michuzi

IBADA YA KUMUOMBEA MAMA KATENG'ANYENYI ILIYOFANYIKA SILVER SPRING MD



Broadcast live streaming video on Ustream

Broadcast live streaming video on Ustream
Padri Lehandly Kimario akiongoza ibada ya kumuombea mpendwa dada, mama na bibi yetu Bettisheba Pole Ketang'enyi iliyofanyika siku ya Jumapili Octoba 4, 2015 Silver Spring, Maryland nchini Marekani.
Mtoto wa marehemu Felicia Simms akisoma wasifu wa marehemu katika ibada ya kumuombea mpendwa dada, mama, bibi Bettisheda Pole Keteng'enyi iliyofanyika siku ya Jumapili  Octoba 4, 2015 Silver Spring, Maryland...

 

10 years ago

Vijimambo

THE DIVA'S USA VALENTINE'S DAY DINNER YA MISSY T DOWNTOWN SILVER SPRING, MARYLAND

Meza maalumu kwa wapendanao kwenye siku ya Valentine iliyoandalia na Missy Temeke na mumewe iliyofanyika siku ya Jumamosi Februari 14, 2015 Sheraton Downtown Silver Spring na kuwaalika rafiki zao na iliyoenda sambamba na siku ya kuzaliwa ya Bi. Loveness Mamuya.Wageni waalikwa na mwenyeji wao Missy Temeke wakiwa katika picha ya pamoja.Wageni waalikwa wakiwa katika picha ya pamoja.kwa picha zaidi bofya soma zaidi
 KUKATA KEKI BIRTHDAY YA LOVENESS MAMUYA Bwana na Bi Matope wakiongea jambo  Bi....

 

10 years ago

Michuzi

Asya Idarous Khamsin na Titty wanakuletea futari ya pamoja ndani ya Terrace Lounge, Msasani City Mall, siku ya Jumapili 12

TX4A9780Mama wa mitindo hapa Tanzania maarufu kwa jina la Asya Idarous Khamsin na Titty wanakuletea futari ya pamoja ndani ya Terrace Lounge, Msasani City Mall,siku ya Jumapili 12, July 2015 kwaanzia mida ya saa kumi na mbili kamili hadi saa mbili usiku. Jipatie kadi yako kwa shilingo 25,000/= tu! kwani 15000/= ni special kwaajili ya Dinner yako, inayobaki ni sadaka itakayo tumika kununulia Khanga zitakazo pelekwa Hospitalini kwa wagonjwa wanawake siku ya IDD. Hivyo kwa moyo wa kujitolea nyote...

 

10 years ago

Vijimambo

KISOMO KILICHOSOMWA MARYLAND USA KUMUOMBEA BABA MPENDWA WA KAKA YETU ALI MUSSA MIKIDADI

Kisomo cha kumuombea dua marehemu Mussa Mikidadi baba wa ndugu yetu Ali Mussa Mikidadi kilifanyika jana jumamosi Hyattsville MarylamAli Mussa akiwa katika kisomo cha mpendwa baba yake kikiendelea kusomwa na ustadh ambae hayupo pichani Ustadh Ibrahim akiongoza kisomo siku ya jana jumamosi kumuombea baba yetu mpendwa pamoja na watu wengine walioshiriki katika kisomo hichoAli Mussa akiwa mmoja walioongoza kisomo cha kumumbea dua marehemu baba yakekilichofanyika jana JumamosiAger road...

 

10 years ago

Vijimambo

Kisomo cha kumuombea Rashid Mkakile apate nafuu ni January 17, 2015 (Boston, MA)

A.Alaykum, nategemea mnaendelea vizuri katika shughuli zenu za kila siku kwa uwezo wake AllahNilikuwa nawajuulisheni kuwa kutakuwa na kisomo cha kumsomea Ndugu yetu Rashid Mkakile ambaye ni mgonjwa alikuwa amelazwa Hospital ya Beth Israel Deaconess Medical Center na sasa hivi yupo kwenye Physical therapy kwa ajili ya Recovery, lakini bado ni mgonjwaTunamuomba Mungu ampe uzima wake na duwa zenu zinahitajika
Tunawaomba kwa kila mwenye uwezo wa kuja kusoma kwa pamoja itakuwa vizuri na kisomo...

 

10 years ago

Vijimambo

Kisomo cha kumuombea Rashid Mkakile apone haraka ni leo January 17, 2015(Boston, MA)

A.Alaykum, nategemea mnaendelea vizuri katika shughuli zenu za kila siku kwa uwezo wake AllahNilikuwa nawajuulisheni kuwa kutakuwa na kisomo cha kumsomea Ndugu yetu Rashid Mkakile ambaye ni mgonjwa alikuwa amelazwa Hospital ya Beth Israel Deaconess Medical Center na sasa hivi yupo kwenye Physical therapy kwa ajili ya Recovery, lakini bado ni mgonjwaTunamuomba Mungu ampe uzima wake na duwa zenu zinahitajika
Tunawaomba kwa kila mwenye uwezo wa kuja kusoma kwa pamoja itakuwa vizuri na...

 

10 years ago

Michuzi

DKT SHEIN AONGOZA KISOMO CHA HITMA YA KUMUOMBEA MZEE ABEID AMAAN KARUME ZANZIBAR

Na Rajab Mkasaba, Ikulu ZanzibarRAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Ali Mohamed Shein Jana  ameongoza hitma ya kumuombea dua Rais wa Kwanza wa Zanzibar Marehemu mzee Abeid Amani Karume, iliyofanyika Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui mjini Zanzibar.  Hitma hiyo, ilihudhuriwa na viongozi mbali mbali akiwemo Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Mohammed Kharib Bilal, Rais mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Awamu ya Sita, Mhe. Amani Abeid Karume,...

 

10 years ago

Vijimambo

KISOMO CHA MAULID YA MTUME (SAW) KILICHOFANYIKA DMV, USA



Dua ikiendelea ikisomwa na Ustadh Ibrahim (alietupa mgongo) baada ya maulidi kumalizikaKwa umakini na unyenyekevu wakionekana wakiitikia dua ilikuwa ikisomwa na ustadh ( hayupo pichani) 
Maustadh wakuu wakibadilishana mawazo na kutathimini jinsi gani maulidi yalivyofanikishwa kwa siku ya leo


AKINA DADA

 Loveness ( kushoto) pamoja na waumini wengine bila kujali imani zao walijumuika pamoja katika kisoma cha maulidi, tuwe na mshikamano wa pamoja wana DMV. huu ni mfano mzuri
 picha za chini na juu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani