Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kilichofanyika ni funika kombe Mwanaharamu apite

Machi 11 mwaka huu, Bunge Maalumu la Katiba, lilipitisha kanuni zake zitakazosimamia uendeshaji wa Bunge hilo, lakini likiacha kanuni muhimu za namna ya kufanya uamuzi kwa kura.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

TFF inafunika kombe mwanaharamu apite

Mambo yote yanayofanywa na wanadamu mahali popote ulimwenguni huwa yanapita katika ngazi nne ambazo ni fikra, mpango, uamuzi na utekelezaji.

 

9 years ago

Mtanzania

Yanga ‘funika bovu’

yangaNA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM

FUNIKA Bovu! Ndivyo unavyoweza kuielezea timu ya Yanga ikiwa ni baada ya kuweka rekodi ya kutwaa taji la Ngao ya Jamii mara tano tofauti na timu nyingine yoyote Tanzania.

Yanga imeandika rekodi hiyo mara baada ya kuiliza Azam FC juzi kwa mikwaju ya penalti 8-7 kufuatia suluhu ndani ya dakika 90 na kutwaa taji hilo kwa mara ya tatu mfululizo mbele ya matajiri hao.

Wanajangwani hao wametwaa taji hilo tena mwaka 2001 na 2010 kwa kuifunga Simba mara mbili. Hivyo...

 

10 years ago

GPL

SERENGETI FIESTA SHINYANGA FUNIKA BOVU

Ommy Dimpoz akiimba na mashabiki waliofurika ndani ya Uwanja wa Kambarage. Nyomi ya watu ikipiga shangwe la kufa mtu uwanjani hapo.…

 

9 years ago

Vijimambo

KISOMO KILICHOFANYIKA DELAWARE JUMAPILI

 Wanafamilia na marafiki zao wakijumuika kwenye kisomo cha ndugu yao kilichofanyika Delaware mji wa Elkton siku ya Jumapili Aug 23, 2015 Kisomo kikiendelea Wanafamilia wakiwa katika picha ya pamoja

 

10 years ago

Vijimambo

MKUTANO WA MAGUFULI MJI MDOGO WA MGANZA FUNIKA BOVU

Umati wa watu waliojitokeza kwenye mkutano wa Magufuli kwenye mji mdogo wa Mganza.Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk.John Pombe Magufuli akiwahutubia wakazi wa kata ya Mganza ambapo aliwaaga rasmi baada ya kuwatumikia kwa miaka 20 kama mbunge wao.Umati wa wakazi wa mji mdogo wa Mganza waliojitokeza kwa wingi kwenye mkutano wa hadhara ambapo mgombea wa Urais kupitia CCM aliwashukuru na kuwaaga kwa miaka 20 aliowatumikia kama Mbunge wao na kuwataka wananchi wachague Mbunge mchapakazi kama...

 

10 years ago

Mwananchi

Kili Dar funika ‘bovu’: Mashabiki waikubali, waipongeza TBL

Ziara ya kimuziki ya Kilimanjaro mwishoni mwa wiki iliyopita ilifikia kikomo chake kwa kishindo jijini Dar es Salaam baada ya zoezi la kufunga tamasha kwa burudani kali kuchangamka kwa takriban saa zote nane huku umati mkubwa wa watu ukiwa umehamasika kwa kiasi kikubwa kutokana na burudani iliyokuwa ikitolewa licha ya mvua za hapa na pale zilizokuwa zinanyesha.

 

10 years ago

Vijimambo

KISOMO CHA MAULID YA MTUME (SAW) KILICHOFANYIKA DMV, USA



Dua ikiendelea ikisomwa na Ustadh Ibrahim (alietupa mgongo) baada ya maulidi kumalizikaKwa umakini na unyenyekevu wakionekana wakiitikia dua ilikuwa ikisomwa na ustadh ( hayupo pichani) 
Maustadh wakuu wakibadilishana mawazo na kutathimini jinsi gani maulidi yalivyofanikishwa kwa siku ya leo


AKINA DADA

 Loveness ( kushoto) pamoja na waumini wengine bila kujali imani zao walijumuika pamoja katika kisoma cha maulidi, tuwe na mshikamano wa pamoja wana DMV. huu ni mfano mzuri
 picha za chini na juu...

 

10 years ago

Vijimambo

Kilichofanyika mpaka Lowassa akatua CHADEMA na kufuta ndoto ya Dk. Slaa

USIKU wa Julai 10, 2015, Edward Lowassa, alipokea simu aliyoifahamu vema. Upande wa pili wa simu alizungumza mtu mwenye sauti nzito; Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). “ Mzee, nakukaribisha Chadema ili uongeze nguvu Ukawa”. Ndiyo ujumbe mfupi ambao Mbowe alimpa Lowassa siku hiyo.
Ni mazungumzo hayo ya Julai 10, ndiyo hatimaye yalimfikisha Waziri Mkuu huyo wa kwanza wa serikali ya Awamu ya Nne kwenye uamuzi wa kujiunga na Chadema mnamo Julai 28 mwaka huu,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani