TFF inafunika kombe mwanaharamu apite
Mambo yote yanayofanywa na wanadamu mahali popote ulimwenguni huwa yanapita katika ngazi nne ambazo ni fikra, mpango, uamuzi na utekelezaji.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi16 Mar
Kilichofanyika ni funika kombe Mwanaharamu apite
10 years ago
Mtanzania10 Jun
TFF yafunika kombe
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limeamua kufunika kombe kunusuru aibu iliyokuwa itokee kuhusu sakata la mkataba kati ya Simba na mchezaji Ramadhani Singano ‘Messi’ kwa kuwataka wakutane na kuingia mkataba mpya.
Pande hizo mbili zilikutanishwa jana kufuatia kutokea mgogoro mkubwa baina yao, baada ya Messi kudai mkataba wake wa miaka miwili uliokuwa umalizike mwezi ujao umechezewa na Simba, ambao wanadai unamalizika Julai, mwakani.
Kikao hicho kilichofanyika...
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-XX0rwEpB3Cc/VfGD-FNauYI/AAAAAAABHV0/dtB6NUYVV-0/s72-c/AZ.png)
AZAM, TFF ZARUDISHA KOMBE LA SHIRIKISHO
![](http://1.bp.blogspot.com/-XX0rwEpB3Cc/VfGD-FNauYI/AAAAAAABHV0/dtB6NUYVV-0/s640/AZ.png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-pAhwMF56rJw/VfGEQc9wk2I/AAAAAAABHV4/evDbtpP1FKc/s640/AZ%2B1.png)
Kurudishwa kwa michuano hii imekua ni faraja kwa wapenzi na wadau wa mpira miguu nchini baada ya kukosekana kwa takribani miaka...
11 years ago
Tanzania Daima09 Apr
TFF yapongeza watoto kubeba Kombe la Dunia
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limeipongeza timu ya taifa ya watoto wa mtaani kwa kutwaa ubingwa wa dunia kwa kuifunga Burundi mabao 3-1 katika fainali iliyochezwa jijini Rio de Janeiro,...
9 years ago
StarTV13 Nov
TFF yapongezwa kwa kuanzisha mashindano ya kombe la FA.
Mara baada ya kuanza rasmi kwa mashindano ya kombe la Shirikisho (FA)wadau wa mchezo soka Mkoani Morogoro, wameupongeza uongozi wa TFF, kwa uanzishaji wa mashindano hayo, kwani wanaamini yamelenga katika kuleta maendeleo ya mchezo wa soka nchini, pamoja na kuibua vipaji vya wachezaji ambao walikosa fursa ya kuonekana.
Aidha imeelezwa michuano hiyo itawasaidia wachezaji wachanga na timu za chini, kujijengea uwezo wa kujiamini, kutokana na kupata nafasi ya kukutana na timu zinazoshiriki ligi...
9 years ago
Mwananchi21 Sep
Kocha wa Stars, TFF fikirieni Kombe la Dunia 2018
10 years ago
MichuziTFF YATANGAZA RASMI RATIBA YA MASHINDANO YA KOMBE LA WANAWAKE TAIFA
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-bBzRTpprnzI/VgBJfaADfNI/AAAAAAAH6rg/pAUuFdBrS7A/s72-c/arsfinal.png)
RAIS WA TFF JAMAL MALINZI LEO AFUNGA FAINALI ZA MICHUANO YA KOMBE LA AIRTEL RISING STARS
![](http://4.bp.blogspot.com/-bBzRTpprnzI/VgBJfaADfNI/AAAAAAAH6rg/pAUuFdBrS7A/s640/arsfinal.png)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-SZo6Ey4n678/U_DFbM-Sx_I/AAAAAAAGARs/iGf960dRBCQ/s72-c/images.jpg)
TAARIFA KUTOKA TFF LEO: TFF KUREJESHA OFISI ZAKE KARUME, MUDA WA USAJILI WAONGEZWA KWA SIKU KUMI
![](http://4.bp.blogspot.com/-SZo6Ey4n678/U_DFbM-Sx_I/AAAAAAAGARs/iGf960dRBCQ/s1600/images.jpg)
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeamua kurejesha ofisi zake Uwanja wa Kumbukumbu ya Karume kwa vile mipango ya uendelezaji wa eneo hilo bado haijakwenda kama ilivyopangwa awali. Uamuzi huo ni moja ya maazimio yaliyofikiwa kati ya Kamati ya Utendaji ya TFF na ujumbe wa Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) uliokuwepo nchini kwa wiki nzima kwa ajili ya kufanya mapitio (review) ya uendeshaji wa TFF. Akizungumza Dar es Salaam leo (Agosti 17 mwaka huu), kiongozi wa ujumbe...