Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TFF inafunika kombe mwanaharamu apite

Mambo yote yanayofanywa na wanadamu mahali popote ulimwenguni huwa yanapita katika ngazi nne ambazo ni fikra, mpango, uamuzi na utekelezaji.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Kilichofanyika ni funika kombe Mwanaharamu apite

Machi 11 mwaka huu, Bunge Maalumu la Katiba, lilipitisha kanuni zake zitakazosimamia uendeshaji wa Bunge hilo, lakini likiacha kanuni muhimu za namna ya kufanya uamuzi kwa kura.

 

10 years ago

Mtanzania

TFF yafunika kombe

MESNA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limeamua kufunika kombe kunusuru aibu iliyokuwa itokee kuhusu sakata la mkataba kati ya Simba na mchezaji Ramadhani Singano ‘Messi’ kwa kuwataka wakutane na kuingia mkataba mpya.
Pande hizo mbili zilikutanishwa jana kufuatia kutokea mgogoro mkubwa baina yao, baada ya Messi kudai mkataba wake wa miaka miwili uliokuwa umalizike mwezi ujao umechezewa na Simba, ambao wanadai unamalizika Julai, mwakani.

Kikao hicho kilichofanyika...

 

9 years ago

Vijimambo

AZAM, TFF ZARUDISHA KOMBE LA SHIRIKISHO

Rais wa TFF Jamal Malinzi ( kushoto ) akiwa na Mkurugenzi wa Azam media Rhys ThorringtonShirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) kwa udhamini wa kampuni ya Azam Media kupitia Azamtv Sports leo wamezindua kombe la Shirikisho litakalofahamika kama Azam Sports Federation Cup (ASFC) ambalo litaanza kutimua vumbi mwezi Novemba mwaka huu kwa kushirikisha timu 64 nchini. 


Kurudishwa kwa michuano hii imekua ni faraja kwa wapenzi na wadau wa mpira miguu nchini baada ya kukosekana kwa takribani miaka...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TFF yapongeza watoto kubeba Kombe la Dunia

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limeipongeza timu ya taifa ya watoto wa mtaani kwa kutwaa ubingwa wa dunia kwa kuifunga Burundi mabao 3-1 katika fainali iliyochezwa jijini Rio de Janeiro,...

 

9 years ago

StarTV

TFF yapongezwa kwa kuanzisha mashindano ya kombe la FA.

 

Mara baada ya kuanza rasmi kwa mashindano ya kombe la Shirikisho (FA)wadau wa mchezo soka Mkoani Morogoro, wameupongeza uongozi wa TFF, kwa uanzishaji wa mashindano hayo, kwani wanaamini yamelenga katika kuleta maendeleo ya mchezo wa soka nchini, pamoja na kuibua vipaji vya wachezaji ambao walikosa fursa ya kuonekana.

Aidha imeelezwa michuano hiyo itawasaidia wachezaji wachanga na timu za chini, kujijengea uwezo wa kujiamini, kutokana na kupata nafasi ya kukutana na timu zinazoshiriki ligi...

 

9 years ago

Mwananchi

Kocha wa Stars, TFF fikirieni Kombe la Dunia 2018

Mwezi ujao, timu yetu ya soka ya Taifa, ‘Taifa Stars’ inatarajiwa kuikabili Malawi au The Flames katika mchezo wa awali wa kusaka tiketi ya kushiriki Fainali za Kombe la Dunia mwaka 2018 nchini Russia.

 

10 years ago

Michuzi

TFF YATANGAZA RASMI RATIBA YA MASHINDANO YA KOMBE LA WANAWAKE TAIFA

 Rais Wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) Mh Jamal Malinzi akizungumza na wanahabari leo katika ofisi za TFF kuhusu kampuni ya Proin Promotions ltd kudhamini Mashindano ya mpira wa miguu kwa wanawake yajulikanayo kama Kombe la Wanawake Taifa, mashindano hayo yanatarajiwa kuanza tarehe 28 Disemba kwa kushirikisha timu kutoka Mikoa yote ya Tanzania. Mashindano hayo yatazinduliwa Mkoani Mwanza kwa kuzikutanisha timu za Mwanza na Mara. Kushoto kwa rais wa TFF ni Rose Kissiwa ambae ni...

 

9 years ago

Michuzi

RAIS WA TFF JAMAL MALINZI LEO AFUNGA FAINALI ZA MICHUANO YA KOMBE LA AIRTEL RISING STARS

Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF), Jamal Malinzi leo amefunga fainali za michuano ya kombe la Airtel Rising Stars katika uwanja Karume jijini Dar es salaam.Akiongea kwakati wa ufungaji michuano ya airtel mbele ya halaiki ya vijana walioshirki michuano hiyo, Malinzi ameishukuru kampuni ya simu ya Airtel kwa kuendelea kudhamini michuano hiyo ambayo inawapa nafasi vijana ya kucheza mpira na kuonekana na baadae kujipatia ajira.“Lengo la TFF ni kushirki fainali za Olimpiki za...

 

10 years ago

Michuzi

TAARIFA KUTOKA TFF LEO: TFF KUREJESHA OFISI ZAKE KARUME, MUDA WA USAJILI WAONGEZWA KWA SIKU KUMI


Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeamua kurejesha ofisi zake Uwanja wa Kumbukumbu ya Karume kwa vile mipango ya uendelezaji wa eneo hilo bado haijakwenda kama ilivyopangwa awali. Uamuzi huo ni moja ya maazimio yaliyofikiwa kati ya Kamati ya Utendaji ya TFF na ujumbe wa Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) uliokuwepo nchini kwa wiki nzima kwa ajili ya kufanya mapitio (review) ya uendeshaji wa TFF. Akizungumza Dar es Salaam leo (Agosti 17 mwaka huu), kiongozi wa ujumbe...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani