TAARIFA YA KISOMO DMV
Assalaam Aleikum Warahmatullahi Wabarakatu
Kwa niaba ya familia ya ndugu yetu Saleh Mohammed wa DC tunapenda kuwaarifu kufanyika kwa kisomo cha kumuombea dua mzee wao, na wazee na jamaa zetu wote waliotangulia mbele ya haki.
Kisomo kitafanyika siku ya Jumaapili, Tarehe 21, June 2015 kabla ya futari yetu ya pamoja.
Adress ni 9717 Lawndale Dr, Silver Spring MD 20901.
Tunawaomba tufike mapema ili tuweze kufanikisha shughuli hii kwa wakati kabla ya Sala ya Magharibi.
SIKU YA WAHITIMU [GRADUATES...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo24 Mar
KISOMO JUMAMOSI DMV
Kama ilivyo kawaida yetu kusaidiana na kushikamana hasa katika kipindi hiki kigumu cha Ally Mussa Mikidadi kuondokewa na mpendwa baba yake, tunaomba msaada kwa wakina baba walete vinywaji na akina mama tusaidiane vyakula ili tuweze kufanikisha shughuli hii...
9 years ago
Vijimambo24 Sep
TANGAZO LA KISOMO DMV
Ndugu yetu Majid Zuberi anatuarifu Kisomo cha Hitima za Marehemu Mdogo Wake Abu Twalibu Zuberi Kajwangya Na Mama Mlezi Rehema Kajwangya misiba yote imetokea Kanyigo Bukoba.
Siku ya Jumamosi September 26, 2015Kuanzia Saa Kumi na Mbili jioni hadi Saa Tatu usiku (6PM – 9PM)
Anuani:Indian Spring Terrace Local Park9717 Lawndale Dr.Silver Spring, MD 20901
Kama Ilivyo ada, tunawaomba WaTanzania na Wana Jumuia wote wa hapa DMV tujumuike kwa Pamoja.
Ukipata Taarifa hii Tafadhali Mjulishe na Mwenzio.
Kwa...
10 years ago
Vijimambo13 Dec
KISOMO CHA HITMA JUMAPILI DMV
Kisomo cha hitma kitafanyika nyumbani kwa mfiwa DMV anuani ni 2608 Kirkwood Pl Apt # 201, Hyattsville MD 20782 kufika kwako ndio kufanikisha kisomo hiki.
Kwa taarifa zaidi na...
9 years ago
VijimamboKISOMO CHA ABU TWALIBU ZUBERI DMV
10 years ago
VijimamboKISOMO CHA MAREHEMU ZAINAB MUSSA CHAFANYIKA DMV
Ustaadh Mudy Mabenzi akiongoza kisomo cha mama yake Yasin Randi Marehemu Zanab Mussa kilichofanyika siku ya Jumampili Desemba 14, 2014 nyumbani kwao Hyattsville, Maryland nchini Marekani.
Ustaadh Ally Mussa aisaidiana na mauutadh wenzake katika kisomo na mpendwa mama yake Yasin Randi marehemu Zainab Mussa kilichofanyika siku ya Jumapili Desemba 14, 2014. Kushoto ni Abdul Sebo akifuatilia kisomo.
11 years ago
GPLKISOMO CHA MAREHEMU ZAINAB BUZOHERA DMV
10 years ago
VijimamboKISOMO CHA MAULID YA MTUME (SAW) KILICHOFANYIKA DMV, USA
Maustadh wakuu wakibadilishana mawazo na kutathimini jinsi gani maulidi yalivyofanikishwa kwa siku ya leo
AKINA DADA
10 years ago
Vijimambo08 Jan
KISOMO CHA MAREHEMU MAMA MPENDWA BI. AZIZA S. BORORO DMV
10 years ago
VijimamboKISOMO CHA BABA YAKE ALLY MUSSA MIKIDADI DMV