Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanzania inazilinda mali za Canada kwa faida gani?

Tangu kuumbwa kwa ulimwengu hadi sasa, Tanzania haijawahi kujiondoa kwenye orodha ya kundi la nchi masikini sana duniani, hii ni kwa mujibu wa ripoti tofauti zinazotolewa kila mwaka na mashirika mbalimbali yakiwemo Shirika la Fedha Duniani, Benki ya Dunia na Umoja wa Mataifa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

MBUNGE CHADEMA ASEMA UAMUZI WA LOCKDOWN HAUKUWA WA MAANA, AHOJI HIVI RAIS ATOE MAAMUZI YA KUUA WATANZANIA WENGI KWA AJILI YA CORONA ILI APATE FAIDA GANI

Na Said Mwishehe, Michuzi TV.
WAKATI Chama cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema) kikiwa kwenye mpasuko baada ya baadhi ya wabunge wake kukaidi agizo la Chama hicho kuwataka kutohudhuria Bunge na kisha kukaa 14 kama sehemu ya kujilinda na virusi vya Corona limechukua sura mpya baada ya Mbunge wa Kilombero kwa tiketi ya Chama hicho Peter Lijualikali kuelezea hatua kwa hatua madhara ya Lockdown kwa Watanzania na namna ambavyo aliamua kutokubaliana na uamuzi huo kwa maslahi ya...

 

10 years ago

GPL

WEWE TIBAIJUKA! JEMBE LISILOLIMA LINA FAIDA GANI?

Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka. WAZIRI wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, ameleta hoja ya kujadili ndani ya kaya yangu ‘alipojisheheresha’ kuwa yeye ni jembe kwa mkuu mwenzangu wa kaya yaani Rais Jakaya Kikwete, hii ni kauli ya hivi majuzi tu. Ametumia msemo huo kama kifusi cha kufukia skendo iliyomkumba ya kujipatia fedha chafu kiasi cha shilingi...

 

9 years ago

Michuzi

TAARIFA YA UJIO WA AFISA KUTOKA UBALOZI TANZANIA CANADA, VANCOUVER, BC, KWA AJILI YA KUPROCESS PASSPORT RENEWALS

NAPENDA KUWATAARIFU WATANZANIA WANAOISHI GREATER VANCOUVER AREA, KWAMBA TAREHE 27 HADI 28 NOVEMBA 2015, AFISA KUTOKA UBALOZI WA TANZANIA CANADA (OTTAWA), ATAKUWA MJINI VANCOUVER, BC, KWA AJILI YA KUPROCESS APPLICATIONS KWA AJILI YA PASSPORT RENEWAL. 
UJIO HUU UTAGHARAMIWA NA WATANZANIA WATAKAOHITAJI KURENEW PASSPORT ZAO, GHARAMA HIZI NI FLIGHT NA HOTELI. KWA MAWASILIANO ZAIDI TAFADHALI WASILIANA NA PHILIP MWIMANZI KUPITIA NAMBA YA SIMU 16046521864. NI VIZURI TUKAWASILIANA ASAP ILI TUJUE...

 

10 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AKABIDHI VITABU 201 KWA CHUO CHA TAIFA CHA ULINZI, AAGANA NA MABALOZI WA TANZANIA NCHINI CANADA NA RWANDA

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimsikiliza Mkuu wa Majeshi Jenerali Davis Mwamunyange alipokuwa akimjshukuru kwa kutoa vitabu 2752 kwa Chuo cha Ulinzi na makataba zingine za JWTZ wakati wa hafla fupi ya kukabidhi vitabu 201 kwa ajili ya Maktaba ya Chuo cha Ulinzi (National Defence College - NDC) iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam leo Ijumaa January 9, 2015.Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi baadhi ya vitabu   na Mkuu wa Majeshi Jenerali Davis...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tanzania, Canada kuendelea kushirikiana

WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, amesema Tanzania itaendelea kushirikiana na Canada ili kuendeleza mpango wa ukuzaji wa sekta ya gesi asilia, madini na utalii nchini. Profesa Muhongo...

 

11 years ago

Mwananchi

Tanzania, Canada kushirikiana zaidi

Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amesema, Tanzania itaendelea kushirikiana na nchi ya Canada katika kuendeleza mpango wa ukuzaji wa sekta ya madini nchini hususan uchimbaji wa mafuta, gesi na madini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tanzania, Canada kuboresha usafiri wa reli

WIZARA ya Uchukuzi  imefikia makubaliano ya ushirikiano na Canada kwa lengo la kuiboresha sekta ya reli hiyo nchini. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Kaimu Katibu Mkuu, Monica Mwamnyange, alisema...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani