Tanzania na Msumbiji zafutiana malipo ya viza
>Ziara ya kwanza ya Rais wa Msumbiji, Filipe Nyussi nchini imefanikisha kusainiwa kwa mkataba wa kuondoa malipo ya viza kwa wanadiplomasia, wafanyabiashara na wananchi baina ya nchi hizo mbili.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi10 Dec
Tanzania, Burundi zaitwa kujiunga viza ya pamoja kwa watalii
10 years ago
VijimamboRAIS WA MSUMBIJI ATEMBELEA CHUO CHA DIPLOMASIA, AFUNGUA KONGAMANO LA BIASHARA NA KUZUNGUMZA NA RAIA WA MSUMBIJI WAISHIO NCHINI
Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Simba Yahya akiwajadiliana jambo na Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo cha Diplomasia (CFR), Balozi Mwanaidi Maajar huku Mkuu wa Chuo hicho Balozi Mohammed Maundi akisiskiliza wakati viongozi hao wakisubiri kumpokea Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Mhe. Filipe Jacinto Nyusi alipotembelea Chuoni hapo leo tarehe 18 Mei, 2015 wakati akiendelea na ziara yake ya kitaifa ya siku tatu hapa nchini. Chuo cha Diplomasia kilichopo...
11 years ago
BBCSwahili21 Jul
Tanzania sare 2 - 2 na Msumbiji
10 years ago
MichuziMSUMBIJI YAJA KUJIFUNZA UTEKELEZAJI WA BRN TANZANIA
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
5 years ago
BBCSwahili08 May
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-dF0WOuGwvXo/VIVm3Qc71jI/AAAAAAAG16U/j_yL5TCfL5o/s72-c/unnamed%2B(2).png)
NMB kutoa Kadi Milioni 1.5 za Malipo za MasterCard nchini Tanzania
![](http://4.bp.blogspot.com/-dF0WOuGwvXo/VIVm3Qc71jI/AAAAAAAG16U/j_yL5TCfL5o/s1600/unnamed%2B(2).png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-l-t3SJwd4wE/VIVm4NkHN9I/AAAAAAAG16Y/gsGv-Dhs7_w/s1600/unnamed%2B(3).png)
MasterCard na National Microfinance Bank(NMB), benki kubwa zaidi Tanzania,leo wametangaza makubaliano ya kutoa kadi milioni 1.5 za malipo za MasterCard...
9 years ago
Dewji Blog11 Sep
Tanzania yashika nafasi ya pili katika malipo kupitia simu za mkononi
Kumiliki simu ya mkononi imekuwa si jambo la starehe kama miaka ya nyuma ilivyokuwa inasadikika. Kadri miaka inavyozidi kwenda kumekuwa na matoleo mapya ya simu za mkononi na huduma za kipekee zilizo na manufaa kwa jamii.
Meneja mkazi wa JovagoTanzania, Bw.Andrea Guzzoni amefafanua kwamba “kadri matumizi ya simu za kisasa yanavyoongezeka, kunakuwa na huduma tofauti za malipo kupitia simu za mkononi (Online payments), malipo haya yameongezeka kwa kasi kubwa kupitia Mpesa, Tigopesa, Airtel...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Pxa4t9jVUdI/VZ_cqYUyRuI/AAAAAAAHogw/6V5v0D3f9eg/s72-c/tt.jpg)
TANZANIA BOYS YANYAKUA KOMBE LA MIAKA 40 YA MSUMBIJI JIJINI MAPUTO
![](http://4.bp.blogspot.com/-Pxa4t9jVUdI/VZ_cqYUyRuI/AAAAAAAHogw/6V5v0D3f9eg/s640/tt.jpg)