Tanzania yaanza kuzalisha lami ya maji
TANZANIA imeanza kuzalisha lami ya maji kupitia mtambo unaomilikiwa na kampuni ya Starpeco Limited. Mtambo huo ulizinduliwa mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam. Lami hiyo ambayo kwa kitaalamu inajulikana...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi06 Oct
Tanzania yaanza kuzalisha lami
Kwa mara ya kwanza, Tanzania imeanza kuzalisha lami ya maji, teknolojia ambayo imeelezwa kuwa ni rahisi na rafiki kwa mazingira.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Aa2f2zjGbDk/U7YrvMtntHI/AAAAAAAFu1Q/x0IaQWeZhMc/s72-c/IPTL.jpg)
Mitambo ya IPTL yaanza kuzalisha megawati 100
![](http://1.bp.blogspot.com/-Aa2f2zjGbDk/U7YrvMtntHI/AAAAAAAFu1Q/x0IaQWeZhMc/s1600/IPTL.jpg)
UZALISHAJI umeme katika kampuni ya ufuaji umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) umefikia megawati 100 ambayo ni kiwango cha juu cha uwezo wa mitambo yake, kiwango kilichofikiwa tarehe 15 Juni, huku uongozi wa kampuni hiyo wakiahidi kutekeleza mipango mkakati yake yote ya utanuzi kwa awamu.
Hayo yalibainishwa na Katibu na Mwanasheria Mkuu wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zSHAgTatLuI/XooC40NRpxI/AAAAAAALmHY/zNslRSz1th86nvpZM_IQGReW9_PbtlnygCLcBGAsYHQ/s72-c/35239afa-4ae5-4dcd-be68-f2560a84c510.jpg)
Simba Jamii Tanzania latoa msaada tanki la maji na kifaa cha kuzalisha umeme kituo cha kulelea watoto Yatima mkoani Morogoro
Mnamo tarehe 04 April 2020 kundi la Simba Jamii Tanzania " Ultras" lilikabidhi zawadi ya tank la maji la lita 2,000 pamoja na kifaa cha kuzalisha umeme Jua (Solar) kwa kituo cha kulelea watoto yatima cha Ukhty Raya kilichopo eneo la Mindu mkoani Morogoro.
Akikabidhi misaada hiyo mwakilishi wa Simba Jamii mkoani Morogoro Bwana Rashid "Wizzy" Mbegu alimfahamisha mlezi na msimamizi wa kituo hicho Bi Raya kuwa Simba Jamii itawakabidhi watoto wote wa kituo hicho pea 50 za viatu ilivyovipokea...
Akikabidhi misaada hiyo mwakilishi wa Simba Jamii mkoani Morogoro Bwana Rashid "Wizzy" Mbegu alimfahamisha mlezi na msimamizi wa kituo hicho Bi Raya kuwa Simba Jamii itawakabidhi watoto wote wa kituo hicho pea 50 za viatu ilivyovipokea...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3Ya9Oz7YINA/VdXdhvQ8KsI/AAAAAAAHym8/THXT4kUpxHE/s72-c/No.1.jpg)
TPDC YAANZA KUZALISHA GESI YA KWANZA HUKO MNAZI BAY, MTWARA
![](http://4.bp.blogspot.com/-3Ya9Oz7YINA/VdXdhvQ8KsI/AAAAAAAHym8/THXT4kUpxHE/s400/No.1.jpg)
Zoezi hili ni muendelezo wa ukamilishaji wa mradi mkubwa wa Serikali wa kuzalisha gesi asilia kwa madhumuni ya kuzalisha umeme hapa nchini.
Akiongea wakati wa zoezi hilo, Mkurugenzi Mtendaji wa...
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-e_ea88__Mho/Ve77a1_uclI/AAAAAAAAZC0/iq98mO0H9y8/s72-c/image.jpg)
MABWAWA YA MAJI TAKA ENEO LA VINGUNGUTI KUANZA KUZALISHA GESI
![](http://3.bp.blogspot.com/-e_ea88__Mho/Ve77a1_uclI/AAAAAAAAZC0/iq98mO0H9y8/s640/image.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Rups_Hne-zA/Ve77aV3939I/AAAAAAAAZCw/hrzXaN8fl3Y/s640/image%2B%25284%2529.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-xLplcO_mPho/Ve7IKHam0_I/AAAAAAAH3U0/mKfzCxRPF2o/s72-c/image.jpg)
MABWAWA YA MAJI TAKA ENEO LA VINGUNGUTI KUANZA KUZALISHA GESI.
![](http://2.bp.blogspot.com/-xLplcO_mPho/Ve7IKHam0_I/AAAAAAAH3U0/mKfzCxRPF2o/s640/image.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-87t8BPsBISg/Ve7IKOrh-GI/AAAAAAAH3U4/PXZoXUDJEwA/s640/image_3.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-M3f85VPN05o/Vojg_IygRwI/AAAAAAAIQC4/3IGiGJ1DTnU/s72-c/PICHA%2BNO%2B1.jpg)
WATAALAMU WATEMBELEA VYANZO VYA MAJI YA MABWAWA YA KUZALISHA UMEME
Timu ya wataalam kutoka Wizara ya Nishati na Madini,Wizara ya kilimo, mifugo na Uvuvi ,Wizara ya maji, na Umwagiliaji , Shirika l Umeme Tanzania (Tanesco) pamoja na Watalamu wa bonde la Mto Rufiji wametembelea vyanzo vya maji vinavyotiririsha maji katika mito inayomwaga maji kwenye mabwawa ya kuzalisha umeme wa maji ikiwemo Mtera, Kihansi na Kidatu ili kuunganisha nguvu ya pamoja na kurejesha vyanzo hivyo katika hali yake ya awali kutokana na kuathiriwa na shughuli za kibinadamu na hivyo...
10 years ago
MichuziKamati ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji yatembelea Bwawa la Kuzalisha Umeme la Merowe,nchini Sudan
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji imetembelea Bwawa la Kuzalisha Umeme la Merowe katika Mji wa Merowe na kujionea namna ya wenyeji wanavyotumia maji ya Mto Nile kwa kuzalisha umeme wa kutosha kwa ajili ya mji huo na nchi nzima ya Sudan.
Mradi wa Bwawa la Merowe ni mkubwa katika nchi ya Sudan na mbali na kuzalisha umeme, pia unatumika kwa shughuli za kilimo cha umwagiliaji ambacho kwa aslimia mia kinategemea Mto Nile.
Aidha, mradi wa bwawa hilo pia umechangia kuleta...
Mradi wa Bwawa la Merowe ni mkubwa katika nchi ya Sudan na mbali na kuzalisha umeme, pia unatumika kwa shughuli za kilimo cha umwagiliaji ambacho kwa aslimia mia kinategemea Mto Nile.
Aidha, mradi wa bwawa hilo pia umechangia kuleta...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-l7Ak3xP7bzk/Voi9eFYY3VI/AAAAAAADEbo/S6K9po0qQMc/s72-c/PICHA%2BNO%2B6.jpg)
TIMU YA WATAALAM KUTOKA WIZARA TATU ZATEMBELEA VYANZO VYA MAJI YA MABWAWA YA KUZALISHA UMEME
![](http://4.bp.blogspot.com/-l7Ak3xP7bzk/Voi9eFYY3VI/AAAAAAADEbo/S6K9po0qQMc/s640/PICHA%2BNO%2B6.jpg)
Timu ya wataalam kutoka Wizara ya Nishati na Madini,Wizara ya kilimo, mifugo na Uvuvi ,Wizara ya maji, na Umwagiliaji , Shirika l Umeme Tanzania (Tanesco ) pamoja na Watalamu wa bonde la mto...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania