TANZANIA YAHIMIZA USHIRIKIANO KATIKA KUWASAIDIA WAKIMBIZI
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon, akizungumza wakati wa Mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kuhusu dhana ya wajibu wa kuwalinda raia, ambapo alisema licha ya kuasisiwa kwa dhana hiyo dunia bado imeendelea kushuhudia maisha ya watu wasiokuwa na hatia yakiendelea kupotea kwa sababu tu Jumuiya ya Kimataifa inashindwa kutumiza wajibu wake kwa wakati.
Balozi Tuvako Manongi akizungumza wakati wa Majadiliano ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kuhusu dhana ya kuwalinda...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-aYWWnrTYHnc/VfEBHervwhI/AAAAAAAB8g4/P2yB_TB7XXA/s72-c/U%2B1.jpg)
TANZANIA YAHIMIZA USHIRIKIANO KATIKAKUWASAIDIA WAKIMBIZI
![](http://4.bp.blogspot.com/-aYWWnrTYHnc/VfEBHervwhI/AAAAAAAB8g4/P2yB_TB7XXA/s640/U%2B1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-cvuAUjWLOa4/VfEBJ2pjZ0I/AAAAAAAB8hA/BcOoFgIU7y4/s640/U%2B2.jpg)
9 years ago
Habarileo10 Sep
Tanzania yataka ushirikiano kusaidia wakimbizi
TANZANIA imetoa mwito kwa Jumuiya ya Kimataifa kushirikiana nayo katika wajibu wa kuwalinda na kuwapatia misaada ya kibinadamu, wakimbizi wanaokimbia machafuko, vita na migogoro katika nchi zao.
9 years ago
Dewji Blog09 Sep
Idadi ya Wakimbizi wa Burundi wanaohifadhiwa katika kambi ya Wakimbizi ya Nyarugusu yaongezeka
Wakimbizi kutoka nchini Burundi walioko katika kambi ya Nyarugusu wakiwa wamebeba shehena ya unga wa mahindi jana, muda mfupi baada ya kugawiwa chakula hicho Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia chakula (WFP), lililoweka kituo chake katika kambi ya wakimbizi ya Nyarugusu wilayani Kasulu, mkoani Kigoma.(PICHA ZOTE NA KITENGO CHA MAWASILIANO YA SERIKALI, WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI).
Mkimbizi kutoka nchini Burundi, Jacqueline Elulu (mwenye mtoto), akisubiri kupata huduma ya...
9 years ago
MichuziZOEZI LA KUWAPOKEA WAKIMBIZI KUTOKA BURUNDI LAENDELEA VIZURI KATIKA KAMBI YA WAKIMBIZI NYARUGUSU MKOANI KIGOMA
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-vJbJD723m_g/UxRQrzLouhI/AAAAAAACbdA/et-HkqdbUAE/s72-c/Copy+of+IMG_9378.jpg)
MIAKA 50 YA MUUNGANO WA TANZANIA NA USHIRIKIANO KATIKA UTUMISHI WA UMMA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-vJbJD723m_g/UxRQrzLouhI/AAAAAAACbdA/et-HkqdbUAE/s1600/Copy+of+IMG_9378.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-XxhH5g03vv8/VRrEKblJb6I/AAAAAAAHOls/g1T0e3kwuic/s72-c/unnamed%2B(7).jpg)
TANZANIA YAWASILISHA RIPOTI YA KAMATI YA WATALAAM WA FEDHA, UCHUMI, MIPANGO NA USHIRIKIANO WA KIKANDA KATIKA MKUTANO WA MAWAZIRI WA FEDHA, UCHUMI, MIPANGO NA USHIRIKIANO WA KIKANDA WA NCHI WANACHAMA WA AU NA EAC, JIJINI ADDIS ABABA NCHINI ETHIO
![](http://4.bp.blogspot.com/-XxhH5g03vv8/VRrEKblJb6I/AAAAAAAHOls/g1T0e3kwuic/s1600/unnamed%2B(7).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-AeIOCOaueNc/VRrEKiMEgOI/AAAAAAAHOlo/IqsGRxrpJ8o/s1600/unnamed%2B(8).jpg)
9 years ago
VijimamboTANZANIA NA NORWAY KUIMARISHA USHIRIKIANO KATIKA SEKTA YA BIASHARA NA UWEKEZAJI
10 years ago
MichuziTanzania na China kuendeleza ushirikiano katika Maeneo Maalum ya Uwekezaji
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ZDI3KE2H-XE/VPQQccPSNqI/AAAAAAAHG5o/vLKBc8WCeKw/s72-c/unnamed%2B(39).jpg)
Elimu ya kidigitali ya Vodafone Foundation kuwanufaisha watoto 15,000 katika kambi za wakimbizi: kutekelezwa Tanzania,Kenya na DRC
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZDI3KE2H-XE/VPQQccPSNqI/AAAAAAAHG5o/vLKBc8WCeKw/s1600/unnamed%2B(39).jpg)
Mpango huu wa unatekelezwa katika maeneo yenye mazingira magumu ambako kuna matatizo ya kutokuwepo nishati ya umeme na upatikanaji wa mawasiliano hususani ya mtandao wa interneti na umeweza kutekelezwa kwa ushirikiano na Shirika la Umoja wa...