Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TANZANIA YATAKA VIPAUMBELE VYA KITAIFA VIPEWE UMUHIMU

Mhe. Waziri Fatma Fereji kutoka Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais, Serikali ya Mapinduzi Zanzibar akizungumza kwa niaba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakati wa Kikao Maalum cha Baraza kuu la Umoja wa Mataifa kilichofanyika Jumatatu ambapo wakuu wa nchi na wawakilishi wa serikali kutoka nchi 193 walikutana kutathimini Mpango wa Utekelezaji walioupitisha miaka 20 iliyopita huko Cairo, Misri kuhusu uboreshaji wa maisha ya watu na masuala yahusuyo Idadi ya Watu. Mhe. Fereji ni...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Tanzania Yasisitiza Vipaumbele Vya Kitaifa Vipewe Umuhumu

Mhe. Waziri Fatma Fereji kutoka Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais, Serikali ya Mapinduzi Zanzibar akizungumza kwa niaba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakati wa Kikao Maalum cha Baraza kuu la Umoja wa Mataifa kilichofanyika Jumatatu ambapo wakuu wa nchi na wawakilishi wa serikali kutoka nchi 193 walikutana kutathimini Mpango wa Utekelezaji walioupitisha miaka 20 iliyopita huko Cairo, Misri kuhusu uboreshaji wa maisha ya watu na masuala yahusuyo Idadi ya Watu. Mhe. Fereji ni...

 

10 years ago

Mwananchi

Vipaumbele vya kiuchumi kitaifa mwaka 2015

Kuongezeka kwa mbinu hizi ni bora kuliko kuendelea kutarajia “sera za msamaria mwema (donor - aid syndrome)” tulizo zizoea kwa kipindi kirefu .

 

10 years ago

Mwananchi

Vipaumbele vya Serikali vipungue Bajeti hii

Jana Waziri wa Fedha, Saada Mkuya aliwasilisha mwelekeo wa Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2015/16, ambapo miongoni mwa vipaumbele alivyovitaja ni huduma za jamii na nyongeza kwa wafanyakazi. Waziri Mkuya alisema katika bajeti ya mwaka huu Serikali imekusudia kupunguza utegemezi wa wafadhili kwa kuongeza makusanyo ya kodi kutoka vyanzo mbalimbali nchini.

 

10 years ago

Michuzi

VIPAUMBELE VYA MGOMBEA UDIWANI KATA YA MTONI - GODFREY BENJAMIN

MTANGAZA NIA YA UDIWANI GODFREY BENJAMIN KEHOGO.
KERO ZINAZOKABILI KATA YA MTONIØ  Huduma hafifu za afya.Ø  Viwanja vingi vya michezo kuingiliwa.Ø  Ukusanyaji wa kodi usioridhisha katika masoko na sehemu husika.Ø  Uchafu ( mitaa na maji taka).Ø  Miundombinu isiyoridhisha ( barabara, mitaa, majengo ya shule zetu)Ø  Ajira.Ø  Ugumu wa upatikanaji mikopo hasa kwa watu wasio na ajira rasmi na dhamana ( vijana na wanawake).Ø  Kutothamini vipaji haswa za vijana na watoto.Ø  Ushirikishwaji hafifu wa...

 

11 years ago

Mwananchi

BAJETI 2014/2015: Waziri Wassira ataja vipaumbele vya Serikali

>Serikali imetaja vipaumbele vyake katika mpango wa maendeleo kwa mwaka wa fedha wa 2014/15 kuwa ni nishati, uchukuzi, kilimo, elimu, maji na utafutaji wa rasilimali fedha.

 

5 years ago

Michuzi

MPANJU ATAKA VIPAUMBELE VYA MSINGI VIIBULIWE KATIKA MPANGO KAZI WA PILI WA HAKI ZA BINADAMU


Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Ndg. Amon Mpanju akifungua kikao cha siku mbili cha wataalam wa Kikosi kazi cha kupitia rasimu ya mpango kazi wa pili wa haki za binadamu kinachofanyika jijini Dodoma.Wengine pichani kulia ni Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Haki za Binadamu Wizara ya Katiba na Sheria Bi. Nkasori Sarakikya na kushoto ni Afisa Mchunguzi Mkuu na Mratibu wa Mpango kazi wa kwanza wa haki za binadamu Bw. Laurent Buliro kutoka Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora.

 

10 years ago

Habarileo

TAWLA yataka vyama vya kutetea wanaume

CHAMA cha Wanasheria Wanawake Tanzania (TAWLA), kimesema wakati umefika kwa wanaume kutoona haya na kuanzisha vyama vyao vya utetezi ili kuwasaidia wanaume wanaonyanyaswa kijinsia.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Fahamu umuhimu wa kuwa na kinga bora

Fahamu umuhimu wa kuwa na kinga dhidi ya virusi vya corona

 

10 years ago

Michuzi

Umuhimu wa kudhibiti matumizi ya vyombo vya elektroniki kwa watoto na vijana


Zaidi ya asilimia 60 ya watoto wenye umri wa miaka 13 hadi 17 wanatumia zaidi ya masaa mawili kila siku kuangalia mitandao ya kijamii pamoja na vipindi mbalimbali vya Televisheni. Hii inaweza kuwa njia kubwa ya kuunganisha, lakini pia kuna hatari zinazohusiana na kutumia muda mwingi sana kwenye vyombo vya habari kijamii.
Leo hii ni nadra kukuta familia ambazo watoto na vijana wake hawajaathirika na vyombo vya habari na elektroniki kama vile televisheni, intaneti na michezo mingine tofauti...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani