Vipaumbele vya Serikali vipungue Bajeti hii
Jana Waziri wa Fedha, Saada Mkuya aliwasilisha mwelekeo wa Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2015/16, ambapo miongoni mwa vipaumbele alivyovitaja ni huduma za jamii na nyongeza kwa wafanyakazi. Waziri Mkuya alisema katika bajeti ya mwaka huu Serikali imekusudia kupunguza utegemezi wa wafadhili kwa kuongeza makusanyo ya kodi kutoka vyanzo mbalimbali nchini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi13 Jun
BAJETI 2014/2015: Waziri Wassira ataja vipaumbele vya Serikali
11 years ago
Michuzi17 Mar
Wananchi Rukwa Waunga mkono Serikali Kutenga Bajeti Maalum Kukabiliana Vifo vya Uzazi
![Daktari Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, John William Gurisha akitoa takwimu za afya ya Uzazi Mkoani Rukwa katika maadhimisho hayo.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/03/Daktari-Mkuu-wa-Mkoa-wa-Rukwa-Ndg-John-Wiliam-Gurisha-akitoa-takwimu-za-afya-ya-Uzazi-Mkoani-Rukwa.jpg)
![Washiriki anuai kutoka Mkoa wa Rukwa wakiwa katika picha za matukio.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/03/IMG_4189.jpg)
![Baadhi ya washiriki wa sherehe za maadhimisho hayo ya siku ya Utepe Mweupe.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/03/IMG_4157.jpg)
![Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Evidence for Action Tanzania, Craig John Ferla, kupitia kampeni ya Mama Ye akichangia damu.Zaidi ya chupa 970 za damu zilipatikana katika maadhimisho ya wiki ya utepe mweupe.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/03/Craig-John-Ferla-Mkurugenzi-Mkaazizi-wa-Shirika-la-Evidence-for-Action-Tanzania-kupitia-Kampeni-ya-Mama-Ye-akichangia-damu.Zaidi-ya-chupa-970-za-damu-zilipatikana-katika-maadhimisho-ya-wiki-ya-utepe-mweupe.jpg)
Zaidi ya chupa 970 za damu zilipatikana katika maadhimisho ya wiki ya utepe mweupe.[/caption] ZAIDI ya...
9 years ago
StarTV30 Nov
Serikali yashauriwa kutenga bajeti ya kununua vifaa tiba ili Kupunguza Vifo Vya Watoto
SERIKALI imepewa changamoto ya kutenga fedha katika bajeti yake na kununua vifaa tiba pamoja na dawa zitakazosaidia kupunguza au kuondoa kabisa vifo vya watoto wachanga hapa nchini ambapo ripoti mbalimbali zinaonyesha mwaka jana pekee imefikia watoto elfu kumi na tatu.
Changamoto hiyo imetolewa na Taasisi ya Doris Mollel Foundation muda mfupi baada ya kukabidhi vifaa vitakavyosaidia kuokoa maisha ya watoto wachanga hususani watoto njiti katika Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Iringa.
Ndani ya...
11 years ago
GPL![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/03/Daktari-Mkuu-wa-Mkoa-wa-Rukwa-Ndg-John-Wiliam-Gurisha-akitoa-takwimu-za-afya-ya-Uzazi-Mkoani-Rukwa.jpg)
WANANCHI RUKWA WAUNGA MKONO SERIKALI KUTENGA BAJETI MAALUM KUKABILIANA NA VIFO VYA UZAZI
9 years ago
Mzalendo Zanzibar28 Aug
Serikali inayokosa kuweka vipaumbele
The post Serikali inayokosa kuweka vipaumbele appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Mwananchi15 Jan
Vipaumbele vya kiuchumi kitaifa mwaka 2015
10 years ago
Vijimambo23 Sep
TANZANIA YATAKA VIPAUMBELE VYA KITAIFA VIPEWE UMUHIMU
10 years ago
MichuziTanzania Yasisitiza Vipaumbele Vya Kitaifa Vipewe Umuhumu