Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanzania Yasisitiza Vipaumbele Vya Kitaifa Vipewe Umuhumu

Mhe. Waziri Fatma Fereji kutoka Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais, Serikali ya Mapinduzi Zanzibar akizungumza kwa niaba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakati wa Kikao Maalum cha Baraza kuu la Umoja wa Mataifa kilichofanyika Jumatatu ambapo wakuu wa nchi na wawakilishi wa serikali kutoka nchi 193 walikutana kutathimini Mpango wa Utekelezaji walioupitisha miaka 20 iliyopita huko Cairo, Misri kuhusu uboreshaji wa maisha ya watu na masuala yahusuyo Idadi ya Watu. Mhe. Fereji ni...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

TANZANIA YATAKA VIPAUMBELE VYA KITAIFA VIPEWE UMUHIMU

Mhe. Waziri Fatma Fereji kutoka Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais, Serikali ya Mapinduzi Zanzibar akizungumza kwa niaba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakati wa Kikao Maalum cha Baraza kuu la Umoja wa Mataifa kilichofanyika Jumatatu ambapo wakuu wa nchi na wawakilishi wa serikali kutoka nchi 193 walikutana kutathimini Mpango wa Utekelezaji walioupitisha miaka 20 iliyopita huko Cairo, Misri kuhusu uboreshaji wa maisha ya watu na masuala yahusuyo Idadi ya Watu. Mhe. Fereji ni...

 

10 years ago

Mwananchi

Vipaumbele vya kiuchumi kitaifa mwaka 2015

Kuongezeka kwa mbinu hizi ni bora kuliko kuendelea kutarajia “sera za msamaria mwema (donor - aid syndrome)” tulizo zizoea kwa kipindi kirefu .

 

10 years ago

Habarileo

CUF yasisitiza Serikali ya Umoja wa Kitaifa Z’bar

Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi CUF, ambaye pia ni Mwenyekiti Mwenza wa Umoja wa Katiba ya wananchi (Ukawa), Profesa Ibrahim Lipumba akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana juu ya uandikishaji katika daftari la kudumu la wapiga kura kwa mfumo wa BVR ulioanza wiki hii mkoani Njombe. Kushoto ni Mwenyekiti Mwenza na Mwenyekiti wa Chama cha Chadema, Freeman Mbowe. (Na Mpigapicha Wetu).CHAMA cha Wananchi (CUF) kimesema msimamo wake ni kuendelea kuwepo kwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar, kiwe kimeingia madarakani au la.

 

10 years ago

Mwananchi

Vipaumbele vya Serikali vipungue Bajeti hii

Jana Waziri wa Fedha, Saada Mkuya aliwasilisha mwelekeo wa Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2015/16, ambapo miongoni mwa vipaumbele alivyovitaja ni huduma za jamii na nyongeza kwa wafanyakazi. Waziri Mkuya alisema katika bajeti ya mwaka huu Serikali imekusudia kupunguza utegemezi wa wafadhili kwa kuongeza makusanyo ya kodi kutoka vyanzo mbalimbali nchini.

 

10 years ago

Michuzi

VIPAUMBELE VYA MGOMBEA UDIWANI KATA YA MTONI - GODFREY BENJAMIN

MTANGAZA NIA YA UDIWANI GODFREY BENJAMIN KEHOGO.
KERO ZINAZOKABILI KATA YA MTONIØ  Huduma hafifu za afya.Ø  Viwanja vingi vya michezo kuingiliwa.Ø  Ukusanyaji wa kodi usioridhisha katika masoko na sehemu husika.Ø  Uchafu ( mitaa na maji taka).Ø  Miundombinu isiyoridhisha ( barabara, mitaa, majengo ya shule zetu)Ø  Ajira.Ø  Ugumu wa upatikanaji mikopo hasa kwa watu wasio na ajira rasmi na dhamana ( vijana na wanawake).Ø  Kutothamini vipaji haswa za vijana na watoto.Ø  Ushirikishwaji hafifu wa...

 

11 years ago

Mwananchi

BAJETI 2014/2015: Waziri Wassira ataja vipaumbele vya Serikali

>Serikali imetaja vipaumbele vyake katika mpango wa maendeleo kwa mwaka wa fedha wa 2014/15 kuwa ni nishati, uchukuzi, kilimo, elimu, maji na utafutaji wa rasilimali fedha.

 

5 years ago

Michuzi

MPANJU ATAKA VIPAUMBELE VYA MSINGI VIIBULIWE KATIKA MPANGO KAZI WA PILI WA HAKI ZA BINADAMU


Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Ndg. Amon Mpanju akifungua kikao cha siku mbili cha wataalam wa Kikosi kazi cha kupitia rasimu ya mpango kazi wa pili wa haki za binadamu kinachofanyika jijini Dodoma.Wengine pichani kulia ni Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Haki za Binadamu Wizara ya Katiba na Sheria Bi. Nkasori Sarakikya na kushoto ni Afisa Mchunguzi Mkuu na Mratibu wa Mpango kazi wa kwanza wa haki za binadamu Bw. Laurent Buliro kutoka Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora.

 

5 years ago

Michuzi

KAMATI YA MIUNDOMBINU YARIDHISHWA NA KASI YA UJENZI WA RELI YA KISASA YASISITIZA VIWANGO VYA UBORA



Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, Selemani Kakoso, akijaribu ubora wa mataruma yanayotengenezwa katika Kiwanda cha Mataruma Kilosa, wakati kamati hiyo ilipokagua maendeleo ya ujenzi wa Reli ya Kisasa ya SGR,Mkoani Morogoro.Naibu Waziri wa Ujenzi, Elias Kwandikwa, akitoa maelekezo kwa Meneja Mradi wa ujenzi wa Reli ya Kisasa...

 

11 years ago

Michuzi

TANZANIA YASISITIZA UWEZESHWAJI WA NCHI MASKINI

Balozi Tuvako Manongi, Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, akijiandaa kuwasilisha mchango na maoni ya Tanzania wakati wa Mkutano wa kumi na Moja wa Kikundi Kazi cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa. Kikundi Kazi hicho ambacho Tanzania ni mjumbe kilikutana wa wiki moja ambapo kilipitia na kuboresha rasimu ya malengo mapya ya maendeleo baada ya 2015. Walio kaa nyuma wa Balozi ni Dr. Lorah Madete, Afisa Mkuu kutoka Ofisi ya Rais-Tume ya Mipango na Bw. Noel...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani