TANZANIA YATANGAZA KUFUNGUA ANGA LAKE
![](https://1.bp.blogspot.com/-7tVv_Gg7gts/XsKFX0vbO3I/AAAAAAAC5kY/OGMaw67jwt8IZ88T5hAK1Rd4b2W1Q8GvwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.webp)
Tanzania imetangaza rasmi kufungua anga lake ambalo lilikuwa limefungwa kutokana na ugonjwa wa covid 19 ambapo kwa sasa ndege zote zikiwemo za watalii na kibiashara zipo huru kuingia Tanzania.
Waziri wa ujenzi, uchukuzi na Mawasiliano Mhe Isack Kamwelwe akizungumza jijini Dodoma pia ameliagiza Shirika la ndege Tanzania (ATCL) kujipanga ili kurejesha Huduma za usafari kwa nchi ambazo zimefungua Anga zao.
“Baada ya tathmini ya mwenendo wa ugonjwa huo hapa Tanzania kama ilivyoelezwa na Rais wa...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-tAII3Goltr4/Uvz58MZl4bI/AAAAAAAFM-Y/kmC9Tzi1cAo/s72-c/unnamed+(1).jpg)
MAMLKAKA YA USAFIRI WA ANGA TANZANIA (TCAA) NA MAMLAKA YAUSAFIRI WA ANGA NCHINI CHINA (CAAC) WASAINI MKATBA WA USHIRIKIANO WA NDEGE ZINAZOTENGENEZWA CHINA KUTUA KATIKA ANGA LA TANZANIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-tAII3Goltr4/Uvz58MZl4bI/AAAAAAAFM-Y/kmC9Tzi1cAo/s1600/unnamed+(1).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-V4xbcFkPbIA/Uv01CghqUWI/AAAAAAAFNCM/8w_piVeR7HA/s72-c/unnamedZ.jpg)
MAMLKAKA YA USAFIRI WA ANGA TANZANIA (TCAA) NA MAMLAKA YAUSAFIRI WA ANGA NCHINI CHINA (CAAC) WASAINI MKATABA WA USHIRIKIANO WA NDEGE ZINAZOTENGENEZWA CHINA KUTUA KATIKA ANGA LA TANZANIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-V4xbcFkPbIA/Uv01CghqUWI/AAAAAAAFNCM/8w_piVeR7HA/s1600/unnamedZ.jpg)
5 years ago
BBCSwahili12 Apr
Virusi vya Corona: Tanzania yatangaza marufuku mpya ya usafiri wa anga kukabiliana na virusi
10 years ago
BBCSwahili10 Oct
Uturuki kuzuia ndege kutumia anga lake
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-CGKNR-wzmwY/U-JYpnhDJ9I/AAAAAAAF9o0/tpxE0iVk_4Q/s72-c/unnamed+(52).jpg)
Mamlaka ya usafiri wa anga Tanzania TCAA, Watoa Elimu ya Anga Nane Nane Dodoma
![](http://2.bp.blogspot.com/-CGKNR-wzmwY/U-JYpnhDJ9I/AAAAAAAF9o0/tpxE0iVk_4Q/s1600/unnamed+(52).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Y0gDsaPRkVk/U-JYppaGlrI/AAAAAAAF9pA/_tmDlheYzgY/s1600/unnamed+(53).jpg)
10 years ago
Dewji Blog10 Feb
Serikali yaipongeza Access Bank kufungua tawi lake jijini Mbeya
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Mhe. Abbas Kandoro akizungumza na wateja pamoja na wafanyakazi wa Benki ya Access wakati alipokuwa mgeni rasmi katika sherehe za uzinduzi wa tawi la benki hiyo jijini Mbeya mwishoni wa wiki iliyopita. Kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Mbeya, Mhe. Dk. Norman Sigallah King na kutoka kushoto ni Ofisa Masoko Mwandamizi wa Access Bank, Jonas Muganyizi Bisheko, Meneja wa Mkoa wa Benki ya Access Mbeya, Emmanuel Venance na Mwakilishi wa Benki ya Access kutoka Makao makuu jijini Dar...
10 years ago
MichuziSERIKALI YAIPONGEA BENKI YA ACCESS KUFUNGUA TAWI LAKE JIJINI MBEYA
10 years ago
GPLSERIKALI YAIPONGEA BENKI YA ACCESS KUFUNGUA TAWI LAKE JIJINI MBEYA
9 years ago
Mwananchi03 Sep
Kampeni za Ukawa sasa anga kwa anga