Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TANZANIA YATANGAZA KUFUNGUA ANGA LAKE

  Tanzania imetangaza rasmi kufungua anga lake ambalo lilikuwa limefungwa kutokana na ugonjwa wa covid 19 ambapo kwa sasa ndege zote zikiwemo za watalii na kibiashara zipo huru kuingia Tanzania.
Waziri wa ujenzi, uchukuzi na Mawasiliano Mhe Isack Kamwelwe akizungumza jijini Dodoma pia ameliagiza Shirika la ndege Tanzania (ATCL) kujipanga ili kurejesha Huduma za usafari kwa nchi ambazo zimefungua Anga zao.
“Baada ya tathmini ya mwenendo wa ugonjwa huo hapa Tanzania kama ilivyoelezwa na Rais wa...

CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

MAMLKAKA YA USAFIRI WA ANGA TANZANIA (TCAA) NA MAMLAKA YAUSAFIRI WA ANGA NCHINI CHINA (CAAC) WASAINI MKATBA WA USHIRIKIANO WA NDEGE ZINAZOTENGENEZWA CHINA KUTUA KATIKA ANGA LA TANZANIA

   Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga  Tanzania (TCAA) Fadhili  Manongi  na  Mkurugenzi Msaidizi wa  Mamlaka ya Usafiri wa  Anga wa China (CAAC)Li Jian  wapili kutoka (kulia) wakisaini mkataba wa  ushirikiano wa maswala ya Usafiri wa Anga , ambapo  Ndege zinazotengenezwa nchini China  zitaruhusiwa  kutua katika Anga ya Tanzania. Mkataba huo uliosainiwa jijinia Dar es Salaam, utawawezesha   Mamlaka hiyo hapa nchini  kuweza  kujenga  kwa wataalam kuweza kudhibiti Ubora wa Ndege...

 

11 years ago

Michuzi

MAMLKAKA YA USAFIRI WA ANGA TANZANIA (TCAA) NA MAMLAKA YAUSAFIRI WA ANGA NCHINI CHINA (CAAC) WASAINI MKATABA WA USHIRIKIANO WA NDEGE ZINAZOTENGENEZWA CHINA KUTUA KATIKA ANGA LA TANZANIA

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) Fadhili Manongi na Mkurugenzi Msaidizi wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga wa China (CAAC)Li Jian wapili kutoka (kulia) wakisaini mkataba wa ushirikiano wa maswala ya Usafiri wa Anga , ambapo Ndege zinazotengenezwa nchini China zitaruhusiwa kutua katika Anga ya Tanzania. Mkataba huo uliosainiwa jijinia Dar es Salaam, utawawezesha Mamlaka hiyo hapa nchini kuweza kujenga kwa wataalam kuweza kudhibiti Ubora wa Ndege hizo...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Tanzania yatangaza marufuku mpya ya usafiri wa anga kukabiliana na virusi

Ndege za mizigo pekee ndizo ambazo zitaruhusiwa kuingia nchini humo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Uturuki kuzuia ndege kutumia anga lake

Waziri wa masuala ya kigeni wa Uturuki Mevlut Cavusoglu amesema hawategemei kuongoza mashambulizi ya ardhini dhidi ya IS

 

11 years ago

Michuzi

Mamlaka ya usafiri wa anga Tanzania TCAA, Watoa Elimu ya Anga Nane Nane Dodoma

Baadhi ya wakazi wa mkoa wa Dodoma waliohudhuria katika maonesho ya Nane Nane Kanda ya Kati yanayofanyika mkoa huo wakikabidhiwa vipeperushi na Afisa Utawala wa Baraza la Ushauri wa Watumiaji wa Huduma ya Usafiri wa Anga Tanzania,Catherine Monarya, wakati walipotembelea banda la TCAA. Fundi wa mitambo ya Kuongozea ndege wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) Charles Mkiramweni akiwaelezea wanafunzi wa shule ya sekondari ya Lukundo ya mjini Dodoma Redio ya kuongozea ndege...

 

10 years ago

Dewji Blog

Serikali yaipongeza Access Bank kufungua tawi lake jijini Mbeya

IMG_7927

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Mhe. Abbas Kandoro akizungumza na wateja pamoja na wafanyakazi wa Benki ya Access wakati alipokuwa mgeni rasmi katika sherehe za uzinduzi wa tawi la benki hiyo jijini Mbeya mwishoni wa wiki iliyopita. Kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Mbeya, Mhe. Dk. Norman Sigallah King na kutoka kushoto ni Ofisa Masoko Mwandamizi wa Access Bank, Jonas Muganyizi Bisheko, Meneja wa Mkoa wa Benki ya Access Mbeya, Emmanuel Venance na Mwakilishi wa Benki ya Access kutoka Makao makuu jijini Dar...

 

10 years ago

Michuzi

SERIKALI YAIPONGEA BENKI YA ACCESS KUFUNGUA TAWI LAKE JIJINI MBEYA

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Mhe. Abbas Kandoro akizungumza na wateja pamoja na wafanyakazi wa Benki ya Access wakati alipokuwa mgeni rasmi katika sherehe za uzinduzi wa tawi la benki hiyo jijini Mbeya mwishoni wa wiki iliyopita. Kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Mbeya, Mhe. Dk. Norman Sigallah King na kutoka kushoto ni Ofisa Masoko Mwandamizi wa Access Bank, Jonas Muganyizi Bisheko, Meneja wa Mkoa wa Benki ya Access Mbeya, Emmanuel Venance na Mwakilishi wa Benki ya Access kutoka Makao makuu jijini Dar...

 

10 years ago

GPL

SERIKALI YAIPONGEA BENKI YA ACCESS KUFUNGUA TAWI LAKE JIJINI MBEYA‏

Mwakilishi wa Benki ya Access kutoka Makao makuu jijini Dar es salaam, Sebastian Gaissert, akitoa hotuba yake katika sherehe za uzinduzi wa tawi la benki hiyo mkoani Mbeya. Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Mhe. Abbas Kandoro akizungumza na…

 

9 years ago

Mwananchi

Kampeni za Ukawa sasa anga kwa anga

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amesema Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk Willibrod Slaa aliyetangaza kujiondoa ni sawa na abiria wa treni ya kati aliyeshukia njiani kabla ya mwisho wa safari, huku mgombea urais wa chama hicho chini ya mwamvuli wa Ukawa, Edward Lowassa akisema: “Tanzania ya CCM sasa basi, ni wakati wa mabadiliko.”

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani