Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TASWIRA KUTOKA MORO-DAR







Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

SAFARI YA MWISHO YA ABDUL BONGE ILIVYOKUWA KUTOKA DAR KWENDA MORO

Mwili wa Abdul Bonge ukifikishwa nyumbani kutokea Muhimbili tayari kwa kusafirishwa. Meneja wa TMK Wanaume Family na Yamoto Band, Said Fella na Nasib Abdul ‘Diamond’ wakiwaongoza waombolezaji. Msanii wa filamu za Kibongo, William Mtitu, akiwaelekeza jambo waombolezaji.…

 

11 years ago

GPL

TASWIRA KUTOKA NJE YA MAHAKAMA KUU DAR KABLA YA HUKUMU YA ZITTO

Polisi wakiwadhibiti wafuasi wa Zitto na wale wanaompinga nje ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar kabla ya hukumu kutolewa. Wafuasi wa Zitto wakiwa na mabango.…

 

10 years ago

GPL

TASWIRA KUTOKA MSIBANI KWA AISHA MADINDA, KIGAMBONI JIJINI DAR

Baadhi ya waombolezaji wakiwa nyumbani kwa marehemu Aisha Madinda, Kigamboni jijini Dar leo.…

 

9 years ago

Michuzi

Taswira kutoka kutoka Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere

 Makamu Mwenyekiti Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mkuu Mstaafu wa Zanzibar Mhe. Hamid M. Hamid (wa pili kushoto) akisoma matokeo ya wagombea nafasi ya Urais leo jijini Dar es Salaam katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu,anayemfuata kulia ni Mwenyekiti  wa Tume Jaji  Mstaafu Mhe. Damian Lubuva na Mkurugenzi wa Uchaguzi Mhe. Kailima Ramadhani Baadhi ya waandishi wa Habari wa Ndani na  Nje ya nchi wakifuatilia zoezi la kutangazwa kwa matokeo ya wagombea Urais  katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu  leo...

 

11 years ago

GPL

TASWIRA ZA AJALI YA BASI LA HOOD ILIYOUA MMOJA NA KUJERUHI 27 MKOANI MORO LEO

Wananchi wakilishuhudia basi la Hood baada ya kupinduka eneo la Melela-Mlandizi, Mvomero mkoani Morogoro. Gari hilo baada ya kupinduka.…

 

11 years ago

Michuzi

TASWIRA KUTOKA MAURITIUS

Ukiwa unatoka kwenye Uwanja wa Ndege wa Sir Seewoosagur Ramgoolam International Airport,Mauritius lazima utaona bango hili ambalo linakaribisha katika nchi hiyo.Endelea kuburudika na taswira mbali mbali za Mauritius.Kijani chatawala nchini Mauritius.
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI


 

10 years ago

Michuzi

taswira mbalimbali kutoka mikoani


Vijana wakitoka kukata nyasi kwa ajili ya mifugo huko Kaliua mkoani Tabora ikiwa ni sehemu ya biashara yao 
Kijana Ephrahim Maksoni akipita  juu ya reli kwa  baiskeli maeneo ya Nguruka Mkoani KigonaAbiria wakiteremka toka ndani ya Basi la Saratola likitokea Nguruka kwenye kituo kipya cha mabasi kilichopo Masanga Gungu mkoani kigoma
 Wafanya biashara wa chumvi wakiwauzia abiria waliokuwa wakisafiri na basi lililokuwa likitoka Nguruka kuelekea Kigoma  Wakichota maji eneo  katika kituo cha mabasi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani