Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TASWIRA ZA MAHAFALI YA CHUO CHA USTAWI WA JAMII DAR

Baadhi wahitimu wa Chuo cha Ustawi wa Jamii wakijandaa kuelekea sehemu husika kwa ajili ya sherehe za mahafali zinazofanyika leo katika chuo hicho kilichopo Kijitonyama jijini Dar es Salaam.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

TASWIRA KATIKA MAHAFALI YA 9 YA CHUO CHA KUMBUKUMBU YA MWALIMU NYERERE JIJINI DAR

Naibu Waziri wa Sheria na Mambo ya Katiba, Angellah Kairuki (kushoto), akimkabidhi cheti Muhitimu aliyefanya vizuri Shahada ya Kwanza ya Jinsia na Maendeleo, Nyamambara Simon katika Mahafali ya Tisa ya Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere yaliyofanyika Dar es Salaam leo. W apili kulia ni Kaimu Naibu Mkuu wa Chuo, Samwel Lunyelele na Mkuu wa Chuo, Profesa Shadrack Mwakalila.… ...

 

10 years ago

Michuzi

TASWIRA KATIKA MAHAFALI YA TISA YA CHUO CHA KUMBUKUMBU YA MWALIMU NYERERE DAR ES SALAAM

Naibu Waziri wa Sheria na Mambo ya Katiba, Angellah Kairuki (kushoto), akimkabidhi cheti Muhitimu aliyefanya vizuri Shahada ya Kwanza ya Jinsia na Maendeleo, Nyamambara Simon katika Mahafali ya Tisa ya Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere yaliyofanyika Dar es Salaam leo. W apili kulia ni Kaimu Naibu Mkuu wa Chuo, Samwel Lunyelele na Mkuu wa Chuo, Profesa Shadrack Mwakalila. Wimbo wa Taifa ukiimbwa- Kutoka kulia ni Kaimu Naibu Mkuu wa Chuo, Samwel Lunyelele na Mkuu wa Chuo, Profesa Shadrack...

 

9 years ago

Global Publishers

Taswira za mahafali ya chuo cha DSJ leo

1.Baadhi ya wahitimu wa chuo cha Uandishi wa Habari cha Dar es Salaam School Of Journalism (DSJ) wakiwa kwenye picha ya pamoja.Baadhi ya wahitimu wa Chuo cha Uandishi wa Habari cha DSJ wakiwa kwenye picha ya pamoja.
2.Wakijipanga katika mstari.4.Wahitimu hao wakiwa katika pozi  tofauti.Wahitimu hao wakiwa wamejipanga vizuri wakati wa kupiga picha za kumbukumbu.
3.Wahitimu hao wakijipiga picha za selfie.Wahitimu wakijipiga picha za ‘selfie’.
5.Baadhi ya wahitimu hao wakiketi sehemu yao iliyokuwa imeandaliwa.Wahitimu wakiwa katika pozi tofauti.
6.wahitimu hao wakisubiri utaratibu uliokuwa ukiendelea ukumbini hapo.Baadhi ya wahitimu wakiwa makini kufuatilia kile kilichokuwa kikiendelea ukumbini hapo.
7.Baadhi ya wazazi wakiwa kwenye hafla hiyo.Baadhi ya wazazi wakiwa kwenye mahafali hiyo.
8.Wazazi wakiendelea kufuatilia hafla hiyo.Wazazi hao wakiwa makini kufuatilia mambo yanavyoendelea kwenye mahafali hiyo.
9.Wahitimu hao wakiwa wametokelezea.Wahitimu wakiwa wametokelezea.

LEO Ijumaa ya...

 

9 years ago

Michuzi

MAHAFALI CHUO CHA UHASIBU KURASINI JIJINI DAR

Wahitimu wa Shahada ya Uhasibu(BAC) katika Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA)Felister Kulaya,Janeth Maleto,Eliza Hollo na Oscar Uwesu wakiwa katika picha ya pamoja wakijiandaa kuanza mahafali yao ya kuhitimu Shahada Hiyo leo Katika Taasisi hiyo yaliyofanyika katika makao makuu ya Taasisi yaliyopo kurasini Jijini Dar es Salaam. Wahitimu wa Stashahada ya Uhasibu (DA) katika Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA) Janet na Edna wakiwa katika picha ya pamoja wakijiandaa kuanza mahafali yao ya kuhitimu...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mahafali ya 12 ya Chuo cha Uhasibu Tanzania (TIA) yafana, jijini Dar es Salaam


Kikosi cha band cha Jeshi la Magereza kikiongoza maandamano kuelekea uwanjani kwenye mahafali hayo.

 Wahadhiri wa Taasisi hiyo pamoja na mgeni rasimi wakiandamana kwenda uwanjani tayari kwa hafla hiyo.

Wahitimu wakiandamana kwenda uwanjani tayari kwa hafla hiyo. 5 Meza kuu  Mtendaji Mkuu wa Taasisi hiyo, Shah Hanzuruni akizungumza jambo.     Wahitimu wa Chuo cha Uhasibu Tanzania (TIA), wakiwa katika mahafali yao hayo.  Baadhi ya wahitmu wa Chuo hicho, wakitunukiwa shahada...

 

11 years ago

GPL

YALIYOJIRI KWENYE MAHAFALI YA 19 YA CHUO CHA UANDISHI WA HABARI DAR ES SALAAM (DSJ)


Mgeni  rasmi akiwa katika meza kuu  na Mkuu wa chuo , pamoja na viongozi wengine wa chuo na viongozi wa Serikali ya wanafunzi .
Kutoka kushoto ni Fabian, Dotto Mandolin Kahindi, Abushehe Nondo, Benjamin Mwangoka .…

 

9 years ago

Michuzi

MAHAFALI YA 10 YA CHUO CHA KUMBUKUMBU YA MWALIMU NYERERE JIJINI DAR ES SALAAM LEO.

 Mkurugenzi wa Elimu ya Ufundi na Ufundi Stadi Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Thomas Katebalilwe akihutubia kwa niaba ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Sifuni Mchome, aliyekuwa mgeni rasmi katika mahafali ya 10 ya Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Dar es Salaam leo asubuhi.   Brass Bendi ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) ikiongoza maandamano wakati wa mahafali hayo. Wahitimu waliofanya vizuri masomo yao wakiwa katika icha ya pamoja na meza kuu.
KWA...

 

10 years ago

GPL

MAHAFALI YA 12 YA CHUO CHA UHASIBU TANZANIA (TIA) YAFANA, JIJINI DAR ES SALAAM‏

Kikosi cha band cha Jeshi la Magereza kikiongoza maandamano kuelekea uwanjani kwenye mahafali hayo.
 Wahadhiri wa Taasisi hiyo pamoja na mgeni rasmi wakiandamana kwenda uwanjani tayari kwa hafla hiyo.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani