Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TASWIRA ZA MSIBA NYUMBANI KWA FILIKUNJOMBE, MBAGALA KIJICHI-DAR

Aliyekuwa Mbunge wa Ludewa kwa tiketi ya CCM, Deogratias Filikunjombe, enzi za uhai wake. Mke wa marehemu Deogratias Filikunjombe, Sarah Filikunjombe (kushoto) akilia kwa uchungu baada ya kupata tarifa za kifo cha mumewe. Ndugu, jamaa na marafiki wakionekana wenye huzuni nyumbani kwa Deogratias Filikunjombe.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MAMIA WAMUAGA MBUNGE WA LUDEWA DEO FILIKUNJOMBE NA NDUGU ZAKE NYUMBANI KWAKE KIJICHI JIJINI DAR ES SALAAM

 Aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe enzi za Uhai wake. Msaidizi wa Mbunge huyo, Casablanga Haule enzi za Uhai wake. Padri Plasdus Ngabuma enzi za Uhai wake. Waombolezaji wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deogratias Filikunjombe wakati wa ibada ya kuuaga iliyofanyika nyumbani kwake Kijichi Dar es Salaam leo mchana. Majeneza yenye miili ya aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deogratias Filikunjombe na ndugu zake, Plasdus Ngabuma na Casablanga Haule yakiwa...

 

11 years ago

Michuzi

Maendeleo ya Msiba wa Mhe. Moshi Mussa Chang'a,nyumbani kwa marehemu Mbagala jijini Dar leo

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa,Injinia Stella Manyanya akiwa ni mwenye majonzi wakati akisaini kitabu cha Maombolezo ya Kifo cha Mkuu wa Wilaya ya Kalambo, Mhe. Moshi Mussa Chang'a ambae alifariki dunia jana jioni katika Hospitali ya Muhimbili Jijini Dar es Salaam alikokuwa akipatiwa matibabu ya ugojwa wa shinikizo la damu na Kisukari.  
Msiba upo nyumbani kwa Marehemu,eneo la Mbagala jijini Dar es Salaam ambapo taratibu zote zinafanyika hapo.
Taarifa za awali zinaeleza kwamba Shughuli ya kuaga...

 

10 years ago

GPL

TASWIRA ZA MSIBA NYUMBANI KWA MTIKILA

Sehemu maalum iliyoaandaliwa kwa ajili ya wageni kuandikisha majina yao. Rafiki wa karibu wa marehemu Mch. Christoppher Mtikila, Anyambilile Mwakatole akizungumza na wanahabari msibani hapo.…

 

10 years ago

Michuzi

MTONI KIJICHI, MBAGALA WENGI WAJITOKEZA KUPIGA KURA KWA UTULIVU NA AMANI JIJINI DAR ES SALAAM

 Rukia Omari (kushoto), akimsaidia kupiga kura jamaa yake Mwanaharusi Mohamed ambaye ni mlemavu wa macho wakati wa kupiga kura katika kituo cha Mbagala Misheni Dar es Salaam leo asubuhi.  Wananchi wakiwa wamejipanga foleni kwa ajili ya kupiga kura katika Kituo cha Mtoni Kijichi Stendi Dar es Salaam leo asubuhi. Wananchi wakisubiri kupiga kura katika kituo cha Shimbwe Mbagala Kuu.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

 

10 years ago

GPL

MTONI KIJICHI, MBAGALA WENGI WAJITOKEZA KUPIGA KURA KWA UTULIVU NA AMANI JIJINI DAR ES SALAAM‏

Rukia Omari (kushoto), akimsaidia kupiga kura jamaa yake Mwanaharusi Mohamed ambaye ni mlemavu wa macho wakati wa kupiga kura katika kituo cha Mbagala Misheni Dar es Salaam leo asubuhi. Wananchi wakiwa wamejipanga foleni kwa ajili ya kupiga kura katika Kituo cha Mtoni Kijichi Stendi Dar es Salaam leo asubuhi. Wananchi wakisubiri kupiga kura katika kituo cha Shimbwe Mbagala… ...

 

10 years ago

GPL

TASWIRA NYUMBANI KWA ALIYEKUWA MBUNGE WA UKONGA DAR

Waziri wa Maendele Jamii Jinsia na Watoto Mhe.Sophia Simba (katikati) akizungumza na waombolezaji waliofika nyumbani wa Marehemu,Eugen Mwaiposa leo Mchana. Mme wa Marehemu, ,Ally Mwaiposa (aliyekaa) akifarijiwa na waombolezaji waliofika nyumbani kwake. Nyumbani kwa Marehemu Eugen…

 

10 years ago

Vijimambo

WANADMV WAHANI MSIBA NYUMBANI KWA ALLY MIKIDADI MAGOMENI MAPIPA, DAR ES SALAAM

 Kushoto ni Libe Mwang'ombe na Muna (kulia) kutoka DMV wakiwa nyumbani kwa Ally Mikidadi wakitoa pole kwa dada yake Ally anayeitwa Farida walipokua nyumbani kwa wafiwa Magomeni mapipa jijini Dar es Salaam mapema siku ya Alhamisi March 26, 2015. Ally Mikidadi ni Mtanzania anayeishi DMV aliyefiwa na baba yake Tanzania.Muna na Libe wakimpa pole Bi Badria(Mama Mzazi wa Ally Mikidadi)

 

10 years ago

Michuzi

HAJAT KIJAKAZI SALUM KYERULA AFARIKI DUNIA, MSIBA UPO MIKOCHENI VICTORIA JIJINI DAR ES SALAAM, KUZIKWA LEO MTONI KIJICHI


Mmoja wa waasisi na viongoizi wakongwe wa CCM Hajat Kijakazi Salum Kyerula amefairiki dunia  jijini Dar es salaam jana. Taratibu za mazishi  zinafanyika mikocheni eneo la Victoria karibu na Oil com pamoja na hospitali ya Kairuki,  jijini Dar es salaam. Swala ya maiti itafanyika hapo hapo Mikocheni sambamba na swala ya Ijumaa na baadaye  maziko yatafanyika Mtoni Kijichi, kwenye makaburi ya  njia panda ya Neruka.

WASIFU WA MAREHEMU

HAJAT KIJAKAZI SALUM KYELULA NA RATIBA YA MAZISHI


Hajat  KIJAKAZI...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani