TASWIRA ZA TUKIO LA NAIBU WAZIRI WA AFYA WA ZAMANI NA MWANAE
Gari la Polisi likiwa eneo la tukio katika ofisi za Faraja Trust Fund zinazomilikiwa na Mbunge wa Morogoro Kusini, Mh Lucy Nkya, ambapo imetokea tukio la kurushiana risasi baina ya mbunge na mtoto wake, jana asubuhi Jumamosi Oct 25, 2014
Mtoto wa kwanza wa mbunge, Jonas akihojiwa na waandishi wa habari kuhusiana na tukio hilo.
Mhe Dr Lucy Nkya Mbunge wa Morogoro Kusini Mashariki.
Mhe Dr Lucy Nkya akizungumza na Waandishi wa habari muda mfupi uliopita ofisini kwake Faraja.
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-i6vlbzZ0RXA/UujL05tX7UI/AAAAAAAAAr4/TEjK1oUHM-U/s72-c/jonas+1.jpg)
MTOTO WA NAIBU WAZIRI WA ZAMANI WA AFYA JONAS NKYA AKANA TUHUMA ZA KURUSHIANA RISASI NA MAMA YAKE
![](http://1.bp.blogspot.com/-i6vlbzZ0RXA/UujL05tX7UI/AAAAAAAAAr4/TEjK1oUHM-U/s640/jonas+1.jpg)
Jonas Nkya mtoto wa Naibu Waziri wa zamani wa Afya na Mbunge wa Morogoro kusini masgariki Lucy Nkya amewaambia waandishi wa habari kwamba habari zilizozagaa kwenye mitandao ya kijami kwamba amerushiana risasi za moto na mama yake mzazi ofisini kwao leo mkoani Morogoro.
Jonas Nkya amesema kilichotokea alipokwenda ofisini hapo kuchukua gari alielekee shamba bastola ilidondoka chini na ikajifyatua risasi moja na kuzua taharuki kwa watu. Kwanza...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
NAIBU WAZIRI ARUSHIANA RISASI NA MWANAE
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Il8yaLfWT58/Xs5DRVoCh9I/AAAAAAACGM0/hly_GmlxY-UAblLbi3XG4qc4lboLMegGgCK4BGAsYHg/s72-c/md%2B1.jpg)
Naibu Waziri wa Afya aipongeza Benki ya CRDB uwezeshaji Sekta ya Afya
![](https://1.bp.blogspot.com/-Il8yaLfWT58/Xs5DRVoCh9I/AAAAAAACGM0/hly_GmlxY-UAblLbi3XG4qc4lboLMegGgCK4BGAsYHg/s320/md%2B1.jpg)
====== ====== ======
9 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA AFYA ATEMBELEA WAGONJWA WA MARADHI YA KIPIDUPINDU KATIKA KITUO CHA AFYA KARAKANA
10 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA AFYA ZANZIBAR AFANYA ZIARA KATIKA WITUO VYA AFYA MKOA WA KASKAZINI ''A'' UNGUJA
10 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA AFYA ZANZIBAR MAHMOUD THABIT KOMBO AFUNGA MAFUNZO YA SIKU 10 YA MFUMO WA UKUSANYAJI TAARIFA ZA AFYA
9 years ago
Michuzi20 Dec
NAIBU WAZIRI WA AFYA ATEMBELEA KITUO CHA AFYA MIWANI KUONA CHANGAMOTO WANAZOKABILIANA NAZO KITUONI HAPO.
![x5](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/x5.jpg)
![x4](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/x4.jpg)
![x6](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/x6.jpg)
9 years ago
Habarileo03 Jan
Naibu waziri afya amtembelea Pengo
NAIBU Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk Hamis Kigwangala amemtembelea na kumjulia hali Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-v-Yvunovf5M/XlV6eBlvzNI/AAAAAAALfbA/2DwiKiUysHU29isemqr9T5vStEu22oaegCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv601b10541911lveh_800C450.jpg)
Naibu Waziri wa Afya wa Iran apatwa na Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-v-Yvunovf5M/XlV6eBlvzNI/AAAAAAALfbA/2DwiKiUysHU29isemqr9T5vStEu22oaegCLcBGAsYHQ/s640/4bv601b10541911lveh_800C450.jpg)
Iraj Harirchi amesema, kwa sasa amewekwa katika karantini ambako anapewa matibabu na kwamba hali yake ya kiafya ni nzuri kwa ujumla japokuwa anasumbuliwa na homa na uchovu.
Harirchi amesema ana uhakika kwamba, Iran itashinda mlipuko wa virusi vya Corona katika wiki kadhaa zijazo akisisitiza kuwa, nchi hii ina zana na matibabu...