TASWIRA ZA ZIARA YA MKURUGENZI MKUU WA PSPF KATIKA MIKOA YA MWANZA, KIGOMA NA MARA
Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Bw. Adam Mayingu, akitoa maelezo kwa Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Luteni Kanali (Mstaafu), Issa Machibya juu ya ziara yake katika mkoa huo ambayo ililenga kukutana na wadau wa Mfuko huo, kuangalia fursa za uwekezaji na kuhamasisha jamii kujiunga katika mpango wa uchangiaji wa hiari (PSPF Supplementary Scheme) ambapo kila mtu anaweza kujiunga na kujipatia mafao bora kwa maisha ya sasa na ya...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog28 Mar
Ziara ya Mkurugenzi mkuu wa NHC katika mikoa kukagua miradi
Mwonekano wa sasa wa nyumba za gharama nafuu zinazojengwa na NHC eneo la Mlole Kigoma
Mkurugenzi Mkuu wa NHC Bw. Nehemia Kyando Mchechu akikagua mradi wa nyumba za gharama nafuu zinazojengwa na NHC eneo la Ilembo Katavi. Nyumba hizo 70 zimeshakamilika na zinauzwa kwa wananchi wote wanaohitaji.
Mkurugenzi Mkuu wa NHC Bw. Nehemia Kyando Mchechu na akiwa eneo la Inyonga Wilaya ya Mlele Mkoani Katavi kukagua eneo ambalo ujenzi wa nyumba za gharama nafuu umeshaanza.
Ujumbe wa Mkurugenzi Mkuu...
10 years ago
Dewji Blog23 Mar
Ziara ya Mkurugenzi mkuu wa NHC katika mikoa ya Singida, Tabora na Shinyanga
Ujumbe wa Mkurugenzi Mkuu wa NHC Bw. Nehemia Kyando Mchechu ukitembelea jengo la NHC lililoungua mwaka jana mjini Singida ambapo Shirika linajenga upya jengo jingine katika kiwanja hicho kilichoko katikati ya mji huo.
Jana Mkurugenzi Mkuu wa NHC Bw. Nehemia kyando Mchechu ameanza ziara yake ya kutembelea Mikoa ili kuhimiza utendaji kazi wa viwango na kujionea utekelezaji wa miradi ya nyumba za gharama nafuu katika mikoa atakayotembelea ya Singida, Shinyanga, Tabora, Kigoma,...
10 years ago
Vijimambo23 Mar
Mkurugenzi mkuu wa nhc afanya ziara katika mikoa ya Singida, Tabora na Shinyanga
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/03/113.png)
Jana Mkurugenzi Mkuu wa NHC Bw. Nehemia kyando Mchechu ameanza ziara yake ya kutembelea Mikoa ili kuhimiza utendaji kazi wa viwango na kujionea utekelezaji wa miradi ya nyumba za gharama nafuu katika mikoa atakayotembelea ya Singida, Shinyanga, Tabora, Kigoma, Sumbawanga,Katavi...
9 years ago
Michuzi14 Aug
ZIARA YA MKURUGENZI MKUU WA NHC KATIKA MIKOA YA MTWARA, RUVUMA, NJOMBE NA MBEYA KUKAGUA MIRADI
![New Picture (13)](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/New-Picture-13.png)
![New Picture (14)](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/New-Picture-14.png)
![New Picture (15)](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/New-Picture-15.png)
10 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/New-Picture-13.png)
ZIARA YA MKURUGENZI MKUU WA NHC KATIKA MIKOA YA MTWARA, RUVUMA, NJOMBE NA MBEYA KUKAGUA MIRADI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4O6eIqcn6-5X5MJKMrreACwmT*PZOyKNfTTvEQ3Fl*5WesRSC9G3IB1C*xl5U9zX*DfPAsTKtA8ojveRklurxymoFiRa8g75/KGMWARDCOUNCILORS.jpg?width=650)
MKURUGENZI MKUU PSPF AKUTANA NA MADIWANI WA KIGOMA
10 years ago
Michuzi23 Mar
MKURUGENZI MKUU WA NHC AFANYA ZIARA MIKOA YA SINGIDA, TABORA NA SHINYANGA
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/03/113.png)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-vNqza6CVIF0/U0-zhW4uvOI/AAAAAAACfEQ/HUHNz-pnIf0/s72-c/IMG_7460.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,KINANA AHITIMISHA ZIARA YAKE YA SIKU 21 MIKOA YA RUKWA,KIGOMA NA KATAVI LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-vNqza6CVIF0/U0-zhW4uvOI/AAAAAAACfEQ/HUHNz-pnIf0/s1600/IMG_7460.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-aMR_JcO0Hns/U0-xbIMM_eI/AAAAAAACfD8/dPBhgJf6UDM/s1600/IMG_7427.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-60c135IP1Ro/U0-vbgVjd4I/AAAAAAACfC0/jDZtd23z2H8/s1600/13.jpg)
10 years ago
MichuziMkurugenzi Mkuu na Mwendeshaji Mkuu wa Benki ya Dunia afanya ziara katika Bandari ya Dar es Salaam