Tatizo la usafiri wa baharini Zanzibar latarajiwa kupungua
Tatizo la usafiri kwa wananchi wa Zanzibar linategemea kupungua baada ya kuwasili kwa meli mpya ya Mapinduzi II ikitokea nchini KOREA ilipoundwa kwa gharama ya dola za kimarekani milioni 30.4 ambazo zimetolewa na serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar
Meli hiyo inatarajiwa kuzinduliwa hivi karibuni na Rais wa Zanzibar mara baada ya kukabidhiwa rasmi ambapo inatarajiwa kuchukuwa abiria zaidi ya 1500 na tani 200 za mizigo sambamba na kubeba magari kadhaa.
Meli hiyo mpya ambayo imewasili katika...
StarTV
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima28 Feb
Watalii kupungua Zanzibar
KAMPUNI inayojishughulisha na kupokea watalii imesema hali ya kuwepo milipuko ya mabomu mara kwa mara katika visiwa vya Zanzibar inaweza kuchangia kupungua kwa watalii katika visiwa hivyo iwapo hali hiyo...
10 years ago
MichuziSOKO LA MWANJELWA JIJINI MBEYA LATARAJIWA KUFUNGULIWA MEI 2015
Akiendelea kuzumza,Mkandarasi huyo amesema kuwa hali ya Ujenzi inaendelea vyema na wapo kwenye hatua za mwisho,hivyo hadi mwezi...
9 years ago
Mwananchi23 Dec
KASORI : Tatizo la Zanzibar ni kutoaminiana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-JtnaTbR_GgA/VXLiKon8sBI/AAAAAAAHces/5dGy0OZ_8vs/s72-c/515.jpg)
Balozi Seif Iddi afungua Semina ya usafiri wa Barabarani kwa Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi, Zanzibar
![](http://2.bp.blogspot.com/-JtnaTbR_GgA/VXLiKon8sBI/AAAAAAAHces/5dGy0OZ_8vs/s640/515.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-AWY215wFb5M/VXLiK9jznnI/AAAAAAAHcew/hoZg7fdMnK0/s640/517.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-M1VMNUlBLIg/VXLiMzbm6KI/AAAAAAAHcfE/V8DccMy0PkM/s640/530.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-HyHuwDYZwAU/VXLiNkF-jnI/AAAAAAAHcfY/N1vPmAfnCq4/s640/532.jpg)
10 years ago
Dewji Blog15 Oct
Mamlaka ya usafiri wa anga yadhamini kongamano la mafunzo ya mfumo mpya wa shirika la kimataifa la usafiri wa anga — ICAO
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) Charles Chacha(kushoto) akiongea wakati wa uzinduzi wa kongamano la mafunzo ya mfumo mpya wa shirika la Kimataifa la usafiri wa Anga (ICAO) lenye kulenga ufanisi wa wataalamu wa kuongoza ndege vyombo vya usafiri wa anga pamoja na mitambo ya kuongonzea ndege. katikati ni Meneja mratibu wa safari za ndege Afrika Frederic Legrand, Kongamano hilo linazihusisha nchi za Afrika linafanyika hapa nchini kwa siku tatu kuanzia leo...
10 years ago
MichuziMAMLAKA YA USAFIRI WA ANGA YA DHAMINI KONGAMANO LA MAFUNZO YA MFUMO MPYA WA SHIRIKA LA KIMATAIFA LA USAFIRI WA ANGA (ICAO)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-1C43w309w40/VVyVIx3f6NI/AAAAAAAHYio/sRc9kptrRHQ/s72-c/004.jpg)
Balozi Seif Ali Idd akagua ujenzi wa Jengo jipya la Abiria wa usafiri wa Anga katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume, Zanzibar
![](http://3.bp.blogspot.com/-1C43w309w40/VVyVIx3f6NI/AAAAAAAHYio/sRc9kptrRHQ/s640/004.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Vtq79wzxjfo/U4NdD4sLHFI/AAAAAAAFlIk/XYDAhs99ZJU/s72-c/unnamed+(30).jpg)
KATIBU MKUU WA SHIRIKA LA USAFIRI WA ANGA DUNIANI (ICAO) ATEMBELEA OFISI ZA HUDUMA ZA HALI YA HEWA KWA USAFIRI WA ANGA NCHINI (TMA)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Vtq79wzxjfo/U4NdD4sLHFI/AAAAAAAFlIk/XYDAhs99ZJU/s1600/unnamed+(30).jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl3n4nptF*qlVZiDayE6lY4xUsmqS4YkFZgXqpTg1BGYxKAFKejVpX2zPJ5S0YDZAeXN0TsmjWiH5jtu*G7vjaDAr-sLWqWC/kinana.jpg?width=650)
SINA TATIZO NA MAWAZIRI MZIGO NINA TATIZO NA CCM