KASORI : Tatizo la Zanzibar ni kutoaminiana
Wakati vikao vya kutafuta suluhu ya mgogoro wa kisiasa ulioibuka Zanzibar baada ya kufutwa kwa Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25 visiwani humo vikiendelea, aliyekuwa Katibu Myeka wa Rais wa Serikali ya Awamu ya Kwanza ya Tanzania, Mwalimu Julius Nyerere, Samwel Kasori anasema kutoaminiana kwa pande zinazohusika na mchakato huo kunachelewesha kufikiwa mwafaka.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo10 Jan
TATIZO LA KUTOAMINIANA LITAATHIRI UTEKELEZAJI WA SDGs-TANZANIA
10 years ago
MichuziTATIZO LA KUTOAMINIANA LITAATHIRI UTEKELEZAJI WA SDGs- —TANZANIA
9 years ago
StarTV03 Dec
Tatizo la usafiri wa baharini Zanzibar latarajiwa kupungua
Tatizo la usafiri kwa wananchi wa Zanzibar linategemea kupungua baada ya kuwasili kwa meli mpya ya Mapinduzi II ikitokea nchini KOREA ilipoundwa kwa gharama ya dola za kimarekani milioni 30.4 ambazo zimetolewa na serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar
Meli hiyo inatarajiwa kuzinduliwa hivi karibuni na Rais wa Zanzibar mara baada ya kukabidhiwa rasmi ambapo inatarajiwa kuchukuwa abiria zaidi ya 1500 na tani 200 za mizigo sambamba na kubeba magari kadhaa.
Meli hiyo mpya ambayo imewasili katika...
11 years ago
GPLSINA TATIZO NA MAWAZIRI MZIGO NINA TATIZO NA CCM
11 years ago
Mwananchi17 Jul
‘Tatizo la kutonufaika na madini, tatizo ni viongozi si wawekezaji’
10 years ago
Michuzi11 Apr
TATIZO LA RUSHWA YA NGONO BADO NI TATIZO TANZANIA.
9 years ago
VijimamboViongozi wa Vyama vya Siasa Zanzibar Wakiwa katika Ukumbi wa Salama Bwawani Zanzibar Wakisubiri Matokeo ya Kura ya Urais wa Zanzibar