Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tava wamlilia Meja Mabula

CHAMA cha Mpira wa Wavu Tanzania (Tava), kimeelezea kusikitishwa na kifo cha mdau mkubwa wa mchezo huo, Meja Marco Mabula kilichotokea jijini Dar es Salaam, jana. Kwa mujibu wa Mwenyekiti...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

TheCitizen

Tava yearns for successful season

It is no secret that Tanzanian volleyball enthusiasts, just like any other sports fanatics in the country, have always been wishing to see their beloved sport achieve enormous success at both domestic and international levels.

 

10 years ago

TheCitizen

Tava takes volleyball to new heights

Tanzania Amateur Volleyball Association (Tava) has planned to open four centres of excellence early next year with a view to unearthing talents that will take the country to greater heights in volleyball.

 

10 years ago

TheCitizen

Tava upbeat over world meet appearance

>Tanzania Amateur Volleyball Association (Tava) is optimistic the country’s hopes of taking part in the International Volleyball Federation (FIVB) World Championship will be realised after the implementation of a new development programme dubbed African Dream.

 

9 years ago

Dewji Blog

Mabula: “Sikuja kuitengua Torati”

Na:George Binagi-GB Pazzo & Vesterjtz

Mbunge Mteule wa Jimbo la Nyamagana Mkoani Mwanza kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Stanslaus Shing’oma Mabula, amewahakikishia Machinga Jijini Mwanza kuwa wataendelea kufanya biashara zao katika maeneo mbalimbali ya katikati ya Jiji hilo kama yaliyotengwa na uongozi wa halmashauri.

 Mabula aliyasema hayo jana wakati akiwashukuru wakazi wa Jimbo hilo kwa kumchagua kuwa mbunge wao katika Mkutano wa hadhara uliofanyika Uwanja wa Mbugani, kufuatia uvumi...

 

9 years ago

Mwananchi

Mabula ashinda ubunge jimbo la Nyamagana

Mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Stanslaus Mabula ametangazwa mshindi wa mbio za ubunge katika jimbo la Nyamagana mkoani Mwanza kwa kupata kura 81, 170 dhidi ya mbunge anayemaliza muda wake, Ezekiel Wenje (Chadema) aliyepata kura 79, 280.

 

9 years ago

Michuzi

Stanslaus Mabula alitaka Tamasha la Kushukuru

MBUNGE  wa Nyamagana Stanslaus Mabula ameiomba Kamati ya Maandalizi ya Tamasha la Kushukuru linalotarajia kufanyika Desemba 25 kwewnye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam, lihamie jijini Mwanza kwa lengo la kufikisha shukrani kwa Mungu baada ya uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 25. 
Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Kamati ya maandalizi, Alex Msama wanayafanyia kazi mapendekezo ya Mabula ili kufanikisha tamasha hilo adhimu lenye nia ya kushukuru Mungu baada ya uchaguzi Mkuu.Msama alisema...

 

9 years ago

Raia Mwema

Mabula, Kiwia wanavyochambuliwa ubunge Ilemela

FILIMBI ya kampeni za Uchaguzi Mkuu nchini ilipulizwa Agosti 22, mwaka huu ambapo katika Jimbo la

Mwandishi Wetu

 

5 years ago

Michuzi

NAIBU WAZIRI ANGELINE MABULA AIPA KONGOLE NBC

Na Munir Shemweta, WANMM DODOMANaibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula ameipongeza Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) kwa kuanzisha utaratibu wa kutembelea viongozi wanawake kwa lengo la kubadilishana mawazo kuhusiana na uboreshaji huduma za benki hiyo.
Dkt Mabula alitoa pongezi hizo jana ofisini kwake jijini Dodoma baada ya kutembelewa na ujumbe wa NBC ukiiongozwa na Meneja wa Tawi la Benki hiyo jijini humo Bi. Happiness Kizigira ikiwa ni muendelezo wa...

 

5 years ago

Michuzi

UJENZI MIRADI YA NHC WAMKUNA NAIBU WAZIRI MABULA

 Taswira ya Jengo la Ofisi ya Wakala wa Huduma za Misitu (TFS) lilipo katika Shamba la Miti la Kilimanjaro Kaskazini wilaya ya Rombo mkoa wa Kilimanjaro. Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi akiwa katika picha ya pamoja na watumishi wa wilaya ya Rombo, watendaji wa sekta ya ardhi katika ofisi ya ardhi ya mkoa wa Kilimanjaro pamoja na watumishi wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) alipotembelea mradi wa ujenzi wa jengo la TFS katika shamba la Miti la Kilimanjaro...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani