Stanslaus Mabula alitaka Tamasha la Kushukuru
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ifuk9DgL3co/Vk2T7cF_UCI/AAAAAAADClM/2nb6AKusop4/s72-c/1%2B%25284%2529.jpg)
MBUNGE wa Nyamagana Stanslaus Mabula ameiomba Kamati ya Maandalizi ya Tamasha la Kushukuru linalotarajia kufanyika Desemba 25 kwewnye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam, lihamie jijini Mwanza kwa lengo la kufikisha shukrani kwa Mungu baada ya uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 25.
Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Kamati ya maandalizi, Alex Msama wanayafanyia kazi mapendekezo ya Mabula ili kufanikisha tamasha hilo adhimu lenye nia ya kushukuru Mungu baada ya uchaguzi Mkuu.Msama alisema...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboSIKILIZA WALICHOKISEMA STANSLAUS MABULA (CCM) BAADA YA USHINDI PAMOJA NA EZEKIEL WENJE (CHADEMA) BAADA YA KUSHINDWA.
BONYEA PLAY HAPA CHINI KUSIKILIZA
9 years ago
Michuzi24 Nov
Sekeleti achomoza Tamasha la Krismasi, kushukuru
![index](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/11/index32.jpg)
Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Kamati ya maandalizi ya tamasha hilo, Alex Msama Sekeleti amekubali kuwa mmoja wa waimbaji wa Kimataifa watakaopanda jukwaa la Shukrani ambalo litakuwa katika Sikukuu ya kumbukumbu ya kuzaliwa Masia,...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-WYLg8ukooAQ/Vlf_9qngn0I/AAAAAAADC48/PEQqn-nlwxg/s72-c/3.jpg)
ROSE MUHANDO KUNOGESHA TAMASHA LA KUSHUKURU DIAMOND JUBILEE
![](http://4.bp.blogspot.com/-WYLg8ukooAQ/Vlf_9qngn0I/AAAAAAADC48/PEQqn-nlwxg/s640/3.jpg)
Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion inayoandaa matamasha ya muziki wa injili nchini Bw. Alex Msama akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam wakati alipofafanua mambo mbalimbali kuhusu maandalizi ya tamasha la kushukuru baada ya kufanyika na kumalizika kwa uchaguzi mkuu wa Tanzania salama salimini.
Msama amesema maandalizi yanaendelea vizuri na amemtangaza rasmi mwimbaji Rose Muhando kama mmoja wa waimbaji wa muziki wa injili watakaoshiriki katika tamasha hilo, ...
9 years ago
Raia Mwema02 Sep
Wenje, Stanslaus, Okong'o ndio habari ya Nyamagana
MBUNGE wa Nyamagana mkoani Mwanza aliyemaliza muda wake, Ezekiah Wenje (Chadema) anakabiliwa na k
Christopher Gamaina
11 years ago
Mwananchi29 Jun
Watoto wafundishwe kushukuru wanapopewa kitu.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4qMvYgmKMco/Xs6Bd3Mbn_I/AAAAAAALrwg/vmgMOTcKafwbbQ0IchxtWiIa4gwG2f3WwCLcBGAsYHQ/s72-c/c239ede1-de78-48e6-b182-4e1c2b1cdd42.jpg)
Waadventista Tanzania: Mambo 4 muhimu katika Kushukuru
![](https://1.bp.blogspot.com/-4qMvYgmKMco/Xs6Bd3Mbn_I/AAAAAAALrwg/vmgMOTcKafwbbQ0IchxtWiIa4gwG2f3WwCLcBGAsYHQ/s1600/c239ede1-de78-48e6-b182-4e1c2b1cdd42.jpg)
10 years ago
MichuziCRDB YAFANYA IBADA MAALUM YA KUSHUKURU MUNGU
Baadhi ya...
11 years ago
Mwananchi01 Mar
Nyerere alitaka Serikali tatu
9 years ago
Dewji Blog02 Nov
Mabula: “Sikuja kuitengua Torati”
Na:George Binagi-GB Pazzo & Vesterjtz
Mbunge Mteule wa Jimbo la Nyamagana Mkoani Mwanza kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Stanslaus Shing’oma Mabula, amewahakikishia Machinga Jijini Mwanza kuwa wataendelea kufanya biashara zao katika maeneo mbalimbali ya katikati ya Jiji hilo kama yaliyotengwa na uongozi wa halmashauri.
Mabula aliyasema hayo jana wakati akiwashukuru wakazi wa Jimbo hilo kwa kumchagua kuwa mbunge wao katika Mkutano wa hadhara uliofanyika Uwanja wa Mbugani, kufuatia uvumi...