Sekeleti achomoza Tamasha la Krismasi, kushukuru
MWIMBAJI mahiri wa muziki wa Injili Afrika Mashariki na Kati, Ephraim Sekeleti amethibitisha kuwa mmoja wa waimbaji watakaopanda jukwaa la Tamasha la Krismasi na kushukuru linalotarajia kufanyika Desemba 25 kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Kamati ya maandalizi ya tamasha hilo, Alex Msama Sekeleti amekubali kuwa mmoja wa waimbaji wa Kimataifa watakaopanda jukwaa la Shukrani ambalo litakuwa katika Sikukuu ya kumbukumbu ya kuzaliwa Masia,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima20 Mar
Ephraim Sekeleti kimeeleweka Tamasha la Pasaka
MUIMBAJI wa muziki wa Injili raia wa Zambia, Ephraim Sekeleti, naye amepata nafasi ya kushiriki kwenye Tamasha la Pasaka linalotarajiwa kuanza Aprili 20 jijini Dar es Salaam. Sekeleti, mmoja wa...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Ifuk9DgL3co/Vk2T7cF_UCI/AAAAAAADClM/2nb6AKusop4/s72-c/1%2B%25284%2529.jpg)
Stanslaus Mabula alitaka Tamasha la Kushukuru
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ifuk9DgL3co/Vk2T7cF_UCI/AAAAAAADClM/2nb6AKusop4/s320/1%2B%25284%2529.jpg)
Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Kamati ya maandalizi, Alex Msama wanayafanyia kazi mapendekezo ya Mabula ili kufanikisha tamasha hilo adhimu lenye nia ya kushukuru Mungu baada ya uchaguzi Mkuu.Msama alisema...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/--LWAWlp7PUg/UygNbY_h9UI/AAAAAAACcw8/bJjrQenTPmo/s72-c/top.jpg)
Ephraim Sekereti naye achomoza Tamasha la Pasaka
![](http://3.bp.blogspot.com/--LWAWlp7PUg/UygNbY_h9UI/AAAAAAACcw8/bJjrQenTPmo/s1600/top.jpg)
Sekeleti ni mmoja wa waimbaji wa muda mrefu katika tamasha hilo amekubali kushiriki kwa sababu ana kiu ya kufikisha ujumbe wake kwa Watanzania.
Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Msama Promotions ambao ni waandaaji wa tamasha hilo, Alex Msama taratibu za kuwapata waimbaji mbalimbali watakaoshiriki katika tamasha hilo...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-WYLg8ukooAQ/Vlf_9qngn0I/AAAAAAADC48/PEQqn-nlwxg/s72-c/3.jpg)
ROSE MUHANDO KUNOGESHA TAMASHA LA KUSHUKURU DIAMOND JUBILEE
![](http://4.bp.blogspot.com/-WYLg8ukooAQ/Vlf_9qngn0I/AAAAAAADC48/PEQqn-nlwxg/s640/3.jpg)
Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion inayoandaa matamasha ya muziki wa injili nchini Bw. Alex Msama akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam wakati alipofafanua mambo mbalimbali kuhusu maandalizi ya tamasha la kushukuru baada ya kufanyika na kumalizika kwa uchaguzi mkuu wa Tanzania salama salimini.
Msama amesema maandalizi yanaendelea vizuri na amemtangaza rasmi mwimbaji Rose Muhando kama mmoja wa waimbaji wa muziki wa injili watakaoshiriki katika tamasha hilo, ...
9 years ago
Michuzi28 Aug
UPENDO NKONE ACHOMOZA TAMASHA LA KUOMBEA AMANI KATIKA UCHAGUZI MKUU
![indexG](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/indexG.jpg)
11 years ago
Mwananchi09 Dec
Tamasha la Krismasi
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-etVhOCEJN4Q/VIFuOdDCMuI/AAAAAAACv7E/OLGBrqTfMd0/s72-c/EDSON.jpg)
Mwasabwite kukonga Tamasha la Krismasi
![](http://4.bp.blogspot.com/-etVhOCEJN4Q/VIFuOdDCMuI/AAAAAAACv7E/OLGBrqTfMd0/s1600/EDSON.jpg)
Mwasabwite alisema amejipanga kikamilifu kukonga nyoyo za mashabiki wake katika tamasha hilo linalotarajiwa kufanyika Desemba 25, 26 na 28 hivyo mashabiki zake wajitokeze kwa wingi kupata burudani ya nguvu...
11 years ago
GPLTAMASHA LA KRISMASI LILIVYOFANA DAR