Waadventista Tanzania: Mambo 4 muhimu katika Kushukuru
![](https://1.bp.blogspot.com/-4qMvYgmKMco/Xs6Bd3Mbn_I/AAAAAAALrwg/vmgMOTcKafwbbQ0IchxtWiIa4gwG2f3WwCLcBGAsYHQ/s72-c/c239ede1-de78-48e6-b182-4e1c2b1cdd42.jpg)
Na Mercy Kaanaeli Kanisa la Waadventista wa Sabato Tanzania, Jumamosi ya Mei 23 liliendesha ibada ya shukrani ikiwa ni kumuunga mkono Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, kumshukuru Mungu kwa kusikia maombi ya Tanzania na kuiepusha nchi na Janga la ugonjwa wa COVID-19. Ibada hiyo ya shukrani iliendeshwa na Kiongozi Mkuu wa Kanisa la Waadventista wa Sabato Tanzania Jimbo Kuu la Kusini mwa Tanzania, Mchungaji Mark Walwa Malekana, katika kanisa la Ushindi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi08 Jan
Mambo muhimu ya kuzingatia katika mchanganuo wa fedha
10 years ago
Mwananchi01 Mar
POLEPOLE: Mambo 70 muhimu ya wananchi yaliyofutwa katika Katiba Inayopendekezwa-2
10 years ago
Mwananchi22 Feb
UCHAMBUZI WA POLEPOLE: Mambo 70 muhimu ya wananchi yaliyofutwa katika Katiba Inayopendekezwa
10 years ago
Dewji Blog27 Oct
Jitihada za pamoja kigezo muhimu katika kutokomeza magonjwa yasiyoambukizwa nchini Tanzania
Kushoto ni mtaalamu wa magonjwa ya mfumo wa mkojo na uzazi, Dk.Rajagopal na upande wa kulia ni mtaalamu wa magonjwa ya figo Dk. Sanjay Maitra, walipokuja kuona na kutoa tiba kwa wagonjwa katika kliniki iliyofanyika hosipital ya Hindu Mandal.
Kuishi ni jambo moja. Kuishi maisha yenye afya njema ni kitu kingine kabisa. Hakuna anaeweza kushuhudia juu ya ukweli huu zaidi ya wale wapatao adha itokanayo na athari za magonjwa yasiyo ya kuambukiza.
Idadi kubwa ya watanzania watu wazima na...
11 years ago
Mwananchi08 Jun
Mambo 20 muhimu kuhusu Kombe la Dunia
9 years ago
Mwananchi14 Dec
Fahamu mambo 10 muhimu ya Baraza la Dk Magufuli
11 years ago
Mwananchi14 Feb
Siku ya Wapendanao; mambo muhimu ya kuyafahamu
11 years ago
Mwananchi27 Dec
Mambo muhimu ya kuzingatia uzazi salama
9 years ago
Mwananchi01 Jan
Mambo muhimu ya uchunguzi afya ya mwanaume