Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


POLEPOLE: Mambo 70 muhimu ya wananchi yaliyofutwa katika Katiba Inayopendekezwa-2

>Wiki iliyopita tulianza kukuletea mambo 70 muhimu ya wananchi yaliyofutwa katika Katiba Inayopendekezwa. Mambo haya yalikuwa kwenye rasimu ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba ambayo Mwenyekiti wake alikuwa Jaji Joseph Warioba. Leo tunaendelea na maeneo mengine 20.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

UCHAMBUZI WA POLEPOLE: Mambo 70 muhimu ya wananchi yaliyofutwa katika Katiba Inayopendekezwa

>Wananchi walipendekeza madaraka makubwa ya Rais hasa ya uteuzi yapunguzwe na ziundwe taasisi za kikatiba za kumshauri rais kabla hajafanya teuzi. Wananchi walipendekeza pia baada ya rais kumteua kiongozi basi itabidi mteuliwa huyo Bunge limthibitishe.

 

10 years ago

Michuzi

MDAHALO WA KUJADILI UMUHIMU WA KUZINGATIA MAMBO YA MSINGI KATIKA KATIBA INAYOPENDEKEZWA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA UTAKAOFANYIKA KWENYE HOTELI YA BLUE PEARL, UBUNGO PLAZA DAR ES SALAAM JUMAPILI TAREHE 2 NOVEMBA 2014 KUANZIA SAA 9.00 MCHANA MPAKA

      Taasisi ya Mwalimu Nyerere inapenda kutoa taarifa kwamba imeandaa mdahalo wa Pili wenye lengo la kujadili umuhimu  wa kuielewa kwa kina Katiba inayopendekezwa kama ilivyopitishwa na Bunge Maalum la Katiba. Mambo ya msingi  yaliyomo katika Katiba hiyo yataainishwa  na kujadiliwa na washiriki wa Mdahalo.  Taasisi ya Mwalimu Nyerere inapenda kusisitiza kuwa lengo la mdahalo si malumbano au makatazo:
 Lengo ni kutoa fursa kwa washiriki wa mdahalo na wananchi kwa ujumla kujielimisha kuhusu...

 

10 years ago

Mwananchi

Madaraka ya Bunge sasa, katika Rasimu ya Katiba Mpya na Katiba inayopendekezwa

Natambua kwamba bado tuna joto la sakata la “escrow” ambalo hata baada ya Mkuu wa Nchi Rais Jakaya Kikwete kulifafanua na hata kama hujui kusoma upepo kiasi gani utakuwa umegundua na utaungana nami kwamba bado wananchi wamegawika kabisa.

 

10 years ago

Michuzi

ELIMU YA KATIBA INAYOPENDEKEZWA, ZAMU YA WANANCHI WA WETE, PEMBA

 SHEHA wa shehia ya Kipangani Ali Said Hamad akifungua mkutano wa kuelimisha katiba inayopendekezwa, ulioandaliwa na Kituo cha Hudma za Sheria Zanzibar ZLSC, tawi la Pemba, kulia ni Hakimu wa Mahakama ya Ardhi mkoa kusini Pemba Salim Hassan Bakar na kushoto ni Mratibu wa ZLSC Fatma Khamis Hemed MWANASHERIA wa serikali Albaghir Yakout Juma, akitoa ufafanuzi wa Katiba inayopendekezwa mbele ya wananchi wa wilaya ya wete Pemba, mkutano ulioandaliwa na Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC...

 

10 years ago

Vijimambo

Uraia katika Jamhuri ya muungano wa Tanzania kutoka katika Rasimu ya katiba inayopendekezwa

Uraia wa Jamhuri yaMuungano

65.-(1) Mtu ambaye, kabla ya Katiba hii kuanza kutumika, ni raia wa
Jamhuri ya Muungano ataendelea kuwa raia wa Jamhuri ya Muungano.

(2) Uraia wa Jamhuri ya Muungano ni wa aina mbili na utapatikana kwa
njia ya kuzaliwa au kuandikishwa.

Haki ya uraia 66. Kila raia ana haki ya kutambuliwa uraia wake na kwa
madhumuni haya, mamlaka ya nchi itaweka utaratibu wa sheria
utakaowezesha raia kupata hati ya kuzaliwa, kitambulisho cha uraia wake bila ya
upendeleo na ubaguzi wa aina...

 

10 years ago

Mwananchi

Mambo muhimu ya kuzingatia katika mchanganuo wa fedha

Miongoni mwa mambo muhimu katika mpango wa biashara ni mchanganuo wa kifedha kwa ajili ya biashara husika. Mchanganuo wa kifedha hutoa taarifa juu ya mapato na matumizi ya kila mwezi na hatimaye mwaka mzima au zaidi.

 

5 years ago

Michuzi

Waadventista Tanzania: Mambo 4 muhimu katika Kushukuru

Na Mercy Kaanaeli Kanisa la Waadventista wa Sabato Tanzania, Jumamosi ya Mei 23 liliendesha ibada ya shukrani ikiwa ni kumuunga mkono Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, kumshukuru Mungu kwa kusikia maombi ya Tanzania na kuiepusha nchi na Janga la ugonjwa wa COVID-19. Ibada hiyo ya shukrani iliendeshwa na Kiongozi Mkuu wa Kanisa la Waadventista wa Sabato Tanzania Jimbo Kuu la Kusini mwa Tanzania, Mchungaji Mark Walwa Malekana, katika kanisa la Ushindi...

 

10 years ago

Vijimambo

Balozi Seif afungua Kongamano la Wanawake na Uongozi katika Katiba inayopendekezwa

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif akilifunguwa Kongamano la Wanawake na Uongozi katika Katiba inayopendekezwa lililofanyika katika Ukumbi wa Hoteli ya Grand Palace Malindi Mjini Zanzibar.Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Mh. Abdulla Mwinyi akitoa nena la shukrani kwa Mgeni rasmi Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi mara baada ya kulifungua Kongamano la Wanawake na Uongozi.Baadhi ya Wanawake walioshiriki kwenye Kongamano la Wanawake na Uongozi katika Katiba...

 

11 years ago

Michuzi

Pinda awataka wajumbe wa bunge maalum kuepuka mivutano, wazingatie mambo muhimu kupata katiba mpya

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mizengo Kayanza Peter Pinda akiongea na waandishi wa habari leo mjini Dodoma juu ya mambo mbalimbali ikiwemo kuwaomba wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba kuepuka mivutano na badala yake wazingatie mambo muhimu yatakayosaidia Taifa na Watanzania kupata Katiba mpya .

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani