Balozi Seif afungua Kongamano la Wanawake na Uongozi katika Katiba inayopendekezwa
![](http://4.bp.blogspot.com/--I3zE40yBCc/VQ2D1_s_vQI/AAAAAAABpGQ/tWAibnh6PkU/s72-c/565.jpg)
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif akilifunguwa Kongamano la Wanawake na Uongozi katika Katiba inayopendekezwa lililofanyika katika Ukumbi wa Hoteli ya Grand Palace Malindi Mjini Zanzibar.
Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Mh. Abdulla Mwinyi akitoa nena la shukrani kwa Mgeni rasmi Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi mara baada ya kulifungua Kongamano la Wanawake na Uongozi.
Baadhi ya Wanawake walioshiriki kwenye Kongamano la Wanawake na Uongozi katika Katiba...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ssfMf5bmhic/VQ1vrmIhWoI/AAAAAAAHL9Q/pI-M9kapess/s72-c/565.jpg)
Balozi Seif afunguwa Kongamano la Wanawake na Uongozi katika Katiba inayopendekezwa,Zanzibar leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-ssfMf5bmhic/VQ1vrmIhWoI/AAAAAAAHL9Q/pI-M9kapess/s1600/565.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-SNEVycYrMdo/VQ1vrgZDqmI/AAAAAAAHL9s/ypeSzTzRWmY/s1600/570.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-D4aE16ycGtY/VQ1vsqobamI/AAAAAAAHL9c/JRaCKlPUNx4/s1600/588.jpg)
10 years ago
Dewji Blog05 Oct
TWPG wajivunia manufaa waliyopata wanawake katika Rasimu ya mwisho ya Katiba inayopendekezwa
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Angellah Kairuki akitoa mada wakati wa mkutano wa Umoja wa Wabunge Wanawake kuhusu maandiko ya kisera na manufaa waliyopata wanawake katika Rasimu ya mwisho ya Katiba inayopendekezwa uliofanyika mjini Dodoma 3 Oktoba, 2014.
Na Benedict Liwenga, Maelezo-Dodoma.
UMOJA wa Wabunge Wanawake Tanzania (TWPG) wamejipongeza kwa hatua kubwa waliyofikia na manufaa waliyoyapata wanawake katika Rasimu ya mwisho ya Katiba inayopendekezwa.
Kauli hiyo imetolewa jana...
10 years ago
Vijimambo30 Sep
Mtandao wa Wanawake na Katiba Kuelimisha Katiba Inayopendekezwa
![Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanawake na Katiba, Prof. Ruth Meena akizungumza katika Kongamano la Wanaharakati Kujadili masuala muhimu kwenye mchakato wa Katiba Mpya lililofanyika jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/09/IMG_0138.jpg)
![Mjumbe wa Mtandao wa Wanawake na Katiba, Usu Mallya akizungumza katika Kongamano la Wanaharakati Kujadili masuala muhimu kwenye mchakato wa Katiba Mpya lililofanyika jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/09/IMG_0181.jpg)
![Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TGNP, Lilian Liundi akizungumza katika Kongamano la Wanaharakati Kujadili masuala muhimu kwenye mchakato wa Katiba Mpya lililofanyika jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/09/IMG_0236.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima19 Oct
KATIBA INAYOPENDEKEZWA: wanawake msidanganyikeÂ
Oktoba 2, mwaka huu Bunge Maalum la Katiba (BMK ) chini ya Mwenyekiti wake Samuel Sitta lilipitisha Katiba inayopendekezwa ambayo wachambuzi wamebaini itaongeza maumivu kwa wananchi walio wengi, wanawake na...
10 years ago
VijimamboMaalim Seif afungua Kongamano la wafanyabishara na wawekezaji Milan
10 years ago
Mwananchi13 Oct
Maalim Seif: Tutazunguka nchi nzima kupinga Katiba Inayopendekezwa
10 years ago
Mwananchi28 Dec
Madaraka ya Bunge sasa, katika Rasimu ya Katiba Mpya na Katiba inayopendekezwa
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-p5EVsqU3o1M/VaVhe5Y_WNI/AAAAAAAHptw/O_SX1cf1jJI/s72-c/unnamed%2B%252843%2529.jpg)
Maalim seif afungua kongamano la wafanyabiashara na wawekezaji kwenye maonyesho la biashara ya Milan, Italia
![](http://3.bp.blogspot.com/-p5EVsqU3o1M/VaVhe5Y_WNI/AAAAAAAHptw/O_SX1cf1jJI/s640/unnamed%2B%252843%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-bNMK8eCiySg/VaVhR6STPaI/AAAAAAAHptk/eEbOSoSz24Q/s640/unnamed%2B%252842%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-def_zL9yGV0/VaVhR1kW_QI/AAAAAAAHptg/-pMTlLYaWbk/s640/unnamed%2B%252844%2529.jpg)
10 years ago
Vijimambo27 Oct
Uraia katika Jamhuri ya muungano wa Tanzania kutoka katika Rasimu ya katiba inayopendekezwa
65.-(1) Mtu ambaye, kabla ya Katiba hii kuanza kutumika, ni raia wa
Jamhuri ya Muungano ataendelea kuwa raia wa Jamhuri ya Muungano.
(2) Uraia wa Jamhuri ya Muungano ni wa aina mbili na utapatikana kwa
njia ya kuzaliwa au kuandikishwa.
Haki ya uraia 66. Kila raia ana haki ya kutambuliwa uraia wake na kwa
madhumuni haya, mamlaka ya nchi itaweka utaratibu wa sheria
utakaowezesha raia kupata hati ya kuzaliwa, kitambulisho cha uraia wake bila ya
upendeleo na ubaguzi wa aina...