Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maalim Seif afungua Kongamano la wafanyabishara na wawekezaji Milan

Waziri wa Biashara, Viwanda na Masoko wa Zanzibar Mhe. Nassor Ahmed Mazrui, akiwasilisha taarifa inayohusu fursa za uwekezaji nchini Tanzania kwenye kongamano la wafanyabiashara na wawekezaji nchini Italia. Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akibadilishana mawazo na baadhi ya wafanyabiashara na wawekezaji wa Italia, baada ya kufungua kongamano la wafanyabiashara na wawekezaji, kwenye maonyesho ya biashara ya Milan nchini Italia. Makamu wa Kwanza wa Rais wa...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Maalim seif afungua kongamano la wafanyabiashara na wawekezaji kwenye maonyesho la biashara ya Milan, Italia

 Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akipeana mikono  na mmoja kati ya wafanyabiashara wa Italia huku baadhi ya wajumbe wa Tanzania wakishuhudia.  Waziri wa Biashara, Viwanda na Masoko wa Zanzibar Mhe. Nassor Ahmed Mazrui, akiwasilisha taarifa inayohusu fursa za uwekezaji nchini Tanzania kwenye kongamano la wafanyabiashara na wawekezaji nchini Italia. Baadhi ya washiriki wa kongamano la wafanyabiashara na wawekezaji kwenye maonyesho la biashara ya Milan Italia...

 

10 years ago

Vijimambo

Maalim Seif awavuta wawekezaji wa Ulaya kuwekeza kwenye biashara za viungo na utalii

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akipokelewa na Mkurugenzi Mkuu wa maonyesho hayo ya Milan 2015 Bw. Bruno Antonio Pasquino mara alipowasili.Maalim Seif kwenye maonyesho ya kimataifa ya biashara Mjini Milan Italy. (Picha zote na Salmin Said, Italy)..Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akiwahutubia washiriki wa maonyesho hayo wakati wa kuadhimisho siku ya Tanzania kwenye maonyesho hayo mjini Milan Italy.

Na: Khamis Haji, Milan...

 

10 years ago

Michuzi

DKT. BILAL AFUNGUA KONGAMANO LA WAWEKEZAJI LA UKANDA WA ZIWA TANGANYIKA LEO SUMBAWANGA MKOANI RUKWA

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akifungua Kongamano la Uwekezaji la Ukanda wa ziwa Tanganyika linalojumuisha Mikoa ya Rukwa, Katavi na Kigoma. kongamano hilo linafanyika leo 01 Nov 2014  katika Uwanja wa Nelson Mandela mjini Sumbawanga, Mkoani Rukwa. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akikabidhi mfano wa hundi ya shilingi milioni kumi na tano kwa wajasiriamali wadogo wadogo wa Sumbawanga...

 

10 years ago

Michuzi

MAALIM SEIF AFUNGUA SKULI TUMBE

Na Hassan Hamad (OMKR)  Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, amesema wakati umefika kwa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar kuweka mkazo katika mafunzo ya amali, ili kuwawezesha vijana wanaohitimu masomo yao kuweza kujiajiri.  Amesema kwa muda mrefu Wizara hiyo imekuwa ikiweka mkazo juu ya utoaji wa elimu bila ya kuzingatia matokeo ya elimu hiyo kwa wahitimu, jambo ambalo hupelekea kukosa ajira baada ya masomo yao.  Maalim Seif ameeleza hayo wakati...

 

10 years ago

Vijimambo

MAALIM SEIF AFUNGUA MSIKITI MPYA KINYASINI PEMBA

MAKAMO wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe:Maalim Seif Sharif Hamad, akiwasili katika eneo la Msikiti wa Kinyasini na kupokelewa na Mwakilishi wa Jimbo la Mgogoni Mhe:Abubakar Khamis Bakary, kwa lengo la kuufungua mskiti huo.MAKAMO wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe:Maalim Seif Sharif Hamad, akisalimiana na mwakilishi wa Jumuiya ya IHH kutoka uturuki, mara baada ya kuwasili katika mskiti wa Kinyasini Uliojengwa na Mfadhili Hassan Hussein kutoka Uturuki. MAKAMO wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar...

 

10 years ago

Vijimambo

Balozi Seif afungua Kongamano la Wanawake na Uongozi katika Katiba inayopendekezwa

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif akilifunguwa Kongamano la Wanawake na Uongozi katika Katiba inayopendekezwa lililofanyika katika Ukumbi wa Hoteli ya Grand Palace Malindi Mjini Zanzibar.Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Mh. Abdulla Mwinyi akitoa nena la shukrani kwa Mgeni rasmi Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi mara baada ya kulifungua Kongamano la Wanawake na Uongozi.Baadhi ya Wanawake walioshiriki kwenye Kongamano la Wanawake na Uongozi katika Katiba...

 

10 years ago

Michuzi

MAALIM SEIF AFUNGUA ICU HOSPITALI YA MNAZI MMOJA,ZANZIBAR

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad na Balozi mdogo wa China aliyepo Zanzibar Bw. Xie Yun Liang, wakifurahi baada ya kukata utepe kuashiria ufunguzi rasmi wa kitengo cha wagonjwa mahututi (ICU), katika hospitali ya Mnazi Mmoja.Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad akitembelea wodi mpya ya wagonjwa mahututi (ICU), katika hospitali ya Mnazi Mmoja, baada ya kuifungua rasmi.
BOFYA HAPA KWA PICHA NA HABARI KAMILI

 

10 years ago

Vijimambo

Maalim Seif Afungua Masjid Aqsaa Kiboje Mkwajuni Unguja

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akifungua pazia kuashiria ufunguza rasmi wa MASJID AQSAA katika kijiji cha Kiboja Mkwajuni, Wilaya ya Kati Unguja.Sheikh Abdalla Rajab, akisoma risala ya wazee wa MASJID AQSAA ulioko Kiboje Mkwajuni wakati wa hafla hiyo.Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad na, viongozi wa dini ya kiislamu nchini pamoja na waislamu mbali mbali wakisikiliza hotuba ya Ijumaa iliyotolewa na Katibu wa Mufti wa...

 

11 years ago

Michuzi

Maalim Seif afungua mafunzo kwa vyombo vya utekelezaji wa sheria,Zanzibar leo

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akifungua mafunzo kwa vyombo vya utekelezaji wa sheria, hoteli ya Zanzibar Ocean View, Kilimani Zanzibar. Waziri wa Katiba na Sheria Zanzibar Mhe. Aboubakar Khamis Bakar, akizungumza katika mafunzo hayo. Baadhi ya washiriki wa mafunzo hayo wakisikiliza kwa makini hotuba ya mgeni rasmi, Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad. Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani