CRDB YAFANYA IBADA MAALUM YA KUSHUKURU MUNGU
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Dk. Charles Kimei (kulia) akibadilishana mawazo na mchungaji wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Msasani, mchungaji Elgard Metili wakati wa ibada maalum ya kumshukuru mungu kwa ajili ya mafanikio ya Benki ya CRDB katika kipindi cha mwaka 2014.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei (kushoto) akiwa na mke wake wakiwa katika ibada ya Shukrani kutokana na mafanikio waliyopata katika kipindi cha mwaka 2014.
Baadhi ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM BlogKANISA HALISI LA MUNGU BABA TEGETA LAFANYA IBADA MAALUM KUITIKA MWITO WA RAIS DK. MAGUFULI KUHUSU CORONA
TEGETE, Dar es Salaam
Kanisa Halisi la Mungu leo limetumia ibada yake ya Jumapili,...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Y-YDPOkQFC4/U3owcuNYOJI/AAAAAAAFjs0/PfpuBbRPCaQ/s72-c/unnamed+(18).jpg)
Ibada Maalum ya Miaka Mitano ya Ibada ya Kiswahili na Kusimikwa Mchungaji Ipyana Mwakabonga
![](http://4.bp.blogspot.com/-Y-YDPOkQFC4/U3owcuNYOJI/AAAAAAAFjs0/PfpuBbRPCaQ/s1600/unnamed+(18).jpg)
TAFAKARI: Neno la leo ni mtihani mkubwa sana manake Bwana Yesu anatuamuru kuwa tuwapende maadui zetu na kuwaombea wale ambao wanatuonea. Kiubinadamu ni kawaida kutaka kulipiza mabaya kwa mabaya. Hiyo ndiyo asili yetu. Lakini sisi Wakristo tunatakiwa maisha yetu yawe ni...
11 years ago
Michuzi16 May
Ibada Maalum ya Miaka Mitano ya Ibada ya Kiswahili na Kusimikwa Mchungaji Ipyana Mwakabonga - Juni 1, 2014 Kuanzia 3:30pm
![](https://1.bp.blogspot.com/-mOass4AqaZU/U2d7Y1z3-_I/AAAAAAAAAW4/n6Llkx8IWnw/s1600/IYK_Swahili_Invitation_5yr.jpg)
11 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YAFANYA MKUTANO MKUU WA 19 WA WANAHISA WAKE JIJINI ARUSHA
10 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YAFANYA SEMINA KWA WATENDAJI WA HALMASHAURI ZA NYANDA ZA JUU KUSINI
11 years ago
BBCSwahili11 Dec
Ibada maalum ya Mandela
11 years ago
BBCSwahili10 Dec
Mandela afanyiwa ibada Maalum
11 years ago
Habarileo08 Mar
Wafanya ibada kuliombea Bunge Maalum
WANAWAKE wa Kikristo wa madhehebu mbalimbali katika Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa, wamefanya ibada ya maombi maalumu kuliombea Bunge Maalumu la Katiba ili ipatikane Katiba yenye sura ya Kitaifa na si vinginevyo. Pia wamewaombea wale wote kwa sababu zao binafsi hawapendi kushuhudia Katiba mpya inapatikana nchini, tena kwa njia ya amani na utulivu kuliko ilivyo sasa ambapo vikao vya bunge hilo vimegubikwa na visa kadha wa kadhaa vinavyoashiria uvunjifu wa amani.
11 years ago
BBCSwahili01 Feb
Komla Dumor afanyiwa ibada Maalum
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10