Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CRDB YAFANYA IBADA MAALUM YA KUSHUKURU MUNGU

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Dk. Charles Kimei (kulia) akibadilishana mawazo na mchungaji wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Msasani, mchungaji Elgard Metili wakati wa ibada maalum ya kumshukuru mungu kwa ajili ya mafanikio ya Benki ya CRDB katika kipindi cha mwaka 2014.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei (kushoto) akiwa na mke wake wakiwa katika ibada ya Shukrani kutokana na mafanikio waliyopata katika kipindi cha mwaka 2014.
Baadhi ya...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

KANISA HALISI LA MUNGU BABA TEGETA LAFANYA IBADA MAALUM KUITIKA MWITO WA RAIS DK. MAGUFULI KUHUSU CORONA

Kiongozi wa Kanisa Halisi la Mungu Baba, Baba wa Uzao, akiomba huku akiwa amelala sakafuni, wakati wa Ibada Maalum  ya Kumuomba Mungu Baba, ugonjwa wa Corona usiingine Tanzania, Ibada hiyo ikiwa ni kutitikia mwito wa  Rais Dk. John Magufuli wa kuwataka waumini wa dini mbalimbali wakiwemo wa makanisa na misikiti kumuomba Mungu ugonjwa huo usiingie hapa nchini.  KWA PICHA NYINGINE NYINGI, TAFADHALI >> BOFYA HAPA



TEGETE, Dar es Salaam
Kanisa Halisi  la Mungu leo limetumia ibada yake ya Jumapili,...

 

11 years ago

Michuzi

Ibada Maalum ya Miaka Mitano ya Ibada ya Kiswahili na Kusimikwa Mchungaji Ipyana Mwakabonga

NENO LA LEO: Luka 6: 27-28  Lakini nawaambia nyie mnaosikia, wapendeni adui zenu,watendeeni mema wale ambao wanaowachukia ninyi.  28 Wabarikieni wale ambao wanawalaani ninyi, Waombeeni wale ambao wanaowaonea ninyi.
TAFAKARI: Neno la leo ni mtihani mkubwa sana manake Bwana Yesu anatuamuru kuwa tuwapende maadui zetu na kuwaombea wale ambao wanatuonea. Kiubinadamu ni kawaida kutaka kulipiza mabaya kwa mabaya. Hiyo ndiyo asili yetu. Lakini sisi Wakristo tunatakiwa maisha yetu yawe ni...

 

11 years ago

Michuzi

Ibada Maalum ya Miaka Mitano ya Ibada ya Kiswahili na Kusimikwa Mchungaji Ipyana Mwakabonga - Juni 1, 2014 Kuanzia 3:30pm

 Anza Siku njema na NENO la MUNGU kila siku kwa kutembelea Ibada ya Kiswahili website na Ukurasa wa Ibada ya Kiswahili kwenye Facebook.

 

11 years ago

Michuzi

BENKI YA CRDB YAFANYA MKUTANO MKUU WA 19 WA WANAHISA WAKE JIJINI ARUSHA

 Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei akitoa mada wakati wa Mkutano Mkuu wa 19 wa Wanahisa wa Benki ya CRDB uliofanyika jijini Arusha, mwishoni mwa wiki. Katikati ni Mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi ya Benki ya CRDB, Martin Mmari.  Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei akifafanua jambo wakati wa Mkutano huo.
 Katibu wa Benki ya CRDB, John Rugambo  akizungumza wakati wa mkutano wa Wanahisa wa Benki ya CRDB uliofanyika jijini Arusha mwishoni mwa wiki.

 

10 years ago

Michuzi

BENKI YA CRDB YAFANYA SEMINA KWA WATENDAJI WA HALMASHAURI ZA NYANDA ZA JUU KUSINI

Waziri wa Afrika Mashariki Dk. Harrison Mwakyembe ambaye alikuwa amgeni rasmi katika semina kwa viongozi wa Halmashauri za Kanda za Nyanda za Juu Kusini  akifungua rasmi semina hiyo.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei akitoa hotuba yake wakati wa semina kwa viongozi wa Halmashauri za Kanda za Nyanda za Juu Kusini.
Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja wa Beki ya CRDB, Tully Mwambapa akimkaribisha Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei kutoa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Ibada maalum ya Mandela

Maelfu walikusanyika mjini Johannesburg kwa ibada maalum ya mandela kama njia ya kuonyesha heshima kwa shujaa huyo wa Afrika

 

11 years ago

BBCSwahili

Mandela afanyiwa ibada Maalum

Maelfu walijumuika na viongozi zaidi ya tisini mjini Johannesburg kwa ibada hiyo maalum

 

11 years ago

Habarileo

Wafanya ibada kuliombea Bunge Maalum

WANAWAKE wa Kikristo wa madhehebu mbalimbali katika Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa, wamefanya ibada ya maombi maalumu kuliombea Bunge Maalumu la Katiba ili ipatikane Katiba yenye sura ya Kitaifa na si vinginevyo. Pia wamewaombea wale wote kwa sababu zao binafsi hawapendi kushuhudia Katiba mpya inapatikana nchini, tena kwa njia ya amani na utulivu kuliko ilivyo sasa ambapo vikao vya bunge hilo vimegubikwa na visa kadha wa kadhaa vinavyoashiria uvunjifu wa amani.

 

11 years ago

BBCSwahili

Komla Dumor afanyiwa ibada Maalum

Familia, jamaa, marafiki pamoja na wafanyakazi wenza wa marehemu Komla Dumor, wanakusanyika hii leo mjini London kwa ibaada maalum

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani