Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tawala muda wako ili ufanikiwe - 2

Wiki iliyopita nilijadili juu ya namna ya kutumia muda vizuri. Nilieleza kuwa ni vizuri ukahakikisha kuwa kila saa 24, inayotimiliza siku nzima, unapaswa kuzitumia kikamilifu ili uwe na manufaa kwa maisha.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

UTAPOTEZEWA MUDA WAKO HADI LINI?-2

KUWA kwenye uhusiano usioeleweka ni sawa na kupanda basi usilojua linapoelekea! Mwisho wake lazima utapotea tu! Huo ndiyo ukweli wenyewe ulivyo. Hapa kwenye All About Love tunajifunza mbinu za kuendelea kuwa bora zaidi katika uhusiano na wapenzi wetu. Rafiki zangu kuna baadhi ya watu huingia kwenye uhusiano na ndani ya kipindi kifupi huishia kuachana. Wengine wanadumu kwa muda mrefu lakini ghafla wanakuja kuachwa wakati ambao...

 

11 years ago

GPL

UTAPOTEZEWA MUDA WAKO HADI LINI?-3

KUJIFUNZA, kuelewa na kufuata ni kitu kizuri kwa mtu mwenye hulka ya kupanua mawazo yake. Hakuna aliyekamilika, siku watu wanakosea. Hakuna mtaalamu wa kudumu wa mapenzi. Kwenye mapenzi tunazidiana uelewa tu. Hapa kwenye All About Love, ni mahali sahihi pa marafiki kukutana na kubadilishana mawazo. Wengi wamenufaika kwa kuwa wadau wa kona hii.
Ni safu ya kitambo iliyobadilisha fikra za wengi. Nashukuru wale ambao...

 

11 years ago

GPL

UTAPOTEZEWA MUDA WAKO HADI LINI?

SAFU ya marafiki, inayojadili mambo ya kirafiki na wadau wa rika zote ambao kwa kiasi kikubwa wamebadilishwa fikra zao kwa kuwa wafuasi wa hapa. Yes! All About Love iko hewani. Kama ndiyo mara ya kwanza unapitia ukurasa huu, umefika sehemu sahihi sana ya kukupa elimu kwa undani kuhusu uhusiano, maisha na mapenzi. Karibuni. Vilio vya wasichana wengi wenye umri wa kati (hasa kuanzia 24 – 30) ni kuhusu kuachwa baada ya kukaa...

 

10 years ago

Michuzi

MTOTO SOPHIA ABDUL ANAOMBA MSAADA WAKO ILI AWEZE KUPATA MATIBABU

 Na Amon Mtega -  Songea
MTOTO Sophia Abdul (14) anayesoma shule ya msingi Lilahi darasa la tano iliyopo kata ya Mhukulu wilaya ya Songea vijijini mkoani Ruvuma amekumbwa na ugonjwa usiofahamika ambao umejitokeza kwenye  jicho lake  la kulia lililo vimba na kutokezea nje hali inayomletea maumivu makali na kushindwa kwenda shule huku akiomba msaada kwa wasamalia wema.
 Akiongea na waandishi wa habari katika ofisi za elimu za wilaya hiyo mama wa mtoto huyo Joyce Nyoni alisema kuwa mwanae...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Tumia muda wako kujenga maisha yako sio kubomoa ya wengine!

WAHENGA walisema, akili ni nywele na kila mtu ana zake, kwa msemo huo, mimi binafsi nakubaliana nao moja kwa moja kwa kuwa katika hali ya kawaida kila binadamu ana nywele...

 

10 years ago

Michuzi

MH. MWIGULU NCHEMBA ASITISHA SAFARI YAKE KWA MUDA ILI KUOKOA MAJERUHI KATIKA AJALI YA GARI

Naibu Waziri wa Fedha,Mh.Mwigulu Nchemba akiangalia sehemu aliyokuwa amebanwa Kondakta wa Gari hilo (pichani) lililopata ajali jana katika barabara kuu ya Dar - Iringa kutokana na kugonga Ukuta pembezoni mwa Barabara hiyo.Naibu Waziri wa Fedha,Mh. Mwigulu Nchemba akizungumza na Kondakta wa  lori hilo lililopata ajali mara baada ya Kumnasua kwenye roli hilo.Kijana anaonekana kuugulia maumivu makali kwenye Mkono.Naibu Waziri wa Fedha,Mh. Mwigulu Nchemba akitoka huduma ya Kwanza kwa Majeruhi wa...

 

5 years ago

CCM Blog

NCHI 20 ZENYE NGUVU KIUCHUMI WAKUBALIANA KUSAMEHE KWA MUDA MADENI YA NCHI MASIKINI DUNIANI ILI ZIWEZE KUKABILIANA NA CORONA

Wakuu wa nchi 20 zenye nguvu kiuchumi na zinazoinukia kiuchumi duniani, G20 wamekubaliana kusamehe kwa muda madeni ya nchi masikini duniani. 
Mawaziri wa fedha na magavana wa benki kuu wa G20 wamesema wanaunga mkono kusimamisha kwa muda malipo ya madeni kwa nchi hizo ambazo zinahitaji kuvumiliwa. 
Uamuzi huo umefikiwa jana katika mkutano wao uliofanyika kwa njia ya video. 
Muda huo unaanza Mei Mosi hadi mwishoni mwa mwaka 2020 na deni kuu pamoja na malipo yote ya riba yatasimamishwa. 
Mkurugenzi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kuwa mbunifu ufanikiwe

KATIKA makala za Maisha Yetu niliwahi kuandika kwamba njia pekee ya kufanikiwa ni kutoruhusu mawazo yanayoleta kizuizi, kama vile kuwaza umaskini au wasiwasi kwa kile unachokifanya. Kama wewe ni mtu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tengeneza miundombinu ya fedha ufanikiwe kiuchumi

MIUNDOMBINU ya fedha ni zile barabara unazozijenga, ili fedha zikufikie, ni sawa na kuwa nyumba ambayo ni mafanikio ya uchumi ukitaka kuifikia nyumba hiyo, lazima kuwe na barababara ama njia....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani