Taylor Swift Inspires Man to Shed 400 Pounds!
Ronnie Bower was told he wouldn’t live to see past the age of 35 years as a result of being shockingly overweight at 675 lbs (306 kgs). He started doing exercises around the house while listening to Taylor Swift’s music and this spurred him along until he was healthy enough to join the gym.
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Africanjam.Com19 Jun
WHAT YOU DON'T KNOW ABOUT TAYLOR SWIFT
![Taylor Swift](http://gossipgirl.alloyentertainment.com/files/2014/11/TaylorSwiftBSteffy.jpg)
Such as…
1. She is super associated with Nashville aka Music City but Swift was born and raised in Pennsylvania first, on a Christmas tree farm. How scenic!
![Taylor Swift](http://gossipgirl.alloyentertainment.com/files/2014/11/TaylorSwiftDK.jpg)
2. She once won a local talent...
9 years ago
Mtanzania04 Nov
Taylor Swift ashtakiwa kwa wizi
NEW YORK, MAREKANI
MSANII maarufu zaidi duniani kwenye mtandao wa Instagram, Taylor Swift, ameshtakiwa kwa kuiba mistari ya wimbo wa msanii mwenzake, Jesse Braham na kuutumia katika wimbo wake maarufu wa ‘Shake It Off’.
Jesse alisema wimbo huo aliutunga mwaka 2013, ulijulikana kwa jina la ‘Haters Gone Hate’, hivyo anashangaa kuona baadhi ya mistari katika wimbo wa Taylor.
Iwapo Taylor atapatikana na hatia atatakiwa kulipa faini ya dola milioni 42 na huku mshitaki akitaka jina lake...
9 years ago
Bongo504 Sep
Video: Taylor Swift — Wildest Dreams
9 years ago
BBC![](http://c.files.bbci.co.uk/114F8/production/_85340907_taylorswiftvideo.gif)
Taylor Swift director defends video
9 years ago
BBCSwahili03 Sep
Mwelekezi wa Taylor Swift atetea video
9 years ago
BBCSwahili09 Nov
Mwanamume mwenye jina sawa na Taylor Swift
9 years ago
BBCSwahili01 Nov
Taylor Swift ashtakiwa kwa kuiba mistari
9 years ago
Mtanzania20 Oct
Taylor Swift ang’ara tuzo Marekani
MWANAMUZIKI Taylor Swift ametajwa kugombea katika vipengele sita vya tuzo za muziki za American Music Awards (AMAs) za huko Marekani.
Taylor amewapiku The Weekend na Ed Sheeran, waliotajwa katika vipengele vitano, Nicki Minaj, Sam Smith
na Meghan Trainor, wametajwa mara nne ambapo Drake, Chris Brown na Fetty Wap wametajwa mara mbili.
Sherehe za utolewaji tuzo hizo zinatarajiwa kufanyika Novemba 22 mwaka huu...
10 years ago
BBCSwahili18 May
Taylor Swift ang'ara tuzo za Billboards