Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tazama majina ya wagombe ambayo Chadema wameyatangaza

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimetoa orodha ya majina 138 ya wanachama walioteuliwa na Kamati Kuu ya chama hicho kugombea ubunge wa majimbo ya uchaguzi.

Orodha ya majina hayo ya wanachama walioteuliwa kugombea ubunge katika majimbo hayo, imesainiwa na Naibu Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika kwa niaba ya Katibu Mkuu.
Taarifa iliemeleza kuwa majimbo ambayo hayatakuwa kwenye orodha hiyo yatatolewa baada ya kukamilika kwa mashauriano ndani ya Umoja wa Katiba ya Wananchi...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

TAZAMA HAPA MAJINA YA WAGOMBEA WA CHADEMA PAMOJA NA MAJIMBO WATAKAYOGOMBEA UBUNGE KUPITIA UKAWA

MARA 
Rorya - STEVEN J OWAWA
Tarime Mjini - ESTHER N MATIKO
Tarime Vijijini - JOHN HECHE
Musoma Vijijini - ZAKARIA MBULA CHIRAGWILE
Butiama - YUSUPH R KAZI
Bunda Mjini - ESTHER BULAYA
Mwibara - HARUN D CHIRIKO
Musoma Mjini - VINCENT J NYERERE
Bunda Vijijini - SULEIMAN DAUDI


SIMIYU 
Bariadi - GODWIN SIMBA
Maswa Magharibi - ABDALA PATEL
Maswa Mashariki - SYLVESTER KASULUMBAYI
Kisesa - MASANJA MANANI
Meatu - MESHACK OPULUKWA
Itilima - MARTINE MAGILE


SHINYANGA 
Msalala - PAULO MALAIKA
Kahama Mjini - JAMES...

 

9 years ago

Dewji Blog

VIDEO: Tazama ubora wa simu ya Huawei Y360 ambayo gharama yake ni nafuu kabisa

1

http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/10/video.mp4

 

9 years ago

Mwananchi

Kortini kwa kutumia majina ya CCM, Chadema

Watu watatu wamefikishwa Mahakama ya Mkoa wa Mwanza wakikabiliwa na mashtaka ya wizi wa kimtandao na kujipatia Sh4 milioni kwa njia ya udanganyifu.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Sauti:Ahadi za wagombe urais Zanzibar

Sikiliza repoti ya Salma Said:

The post Sauti:Ahadi za wagombe urais Zanzibar appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Mwananchi

Membe: Nina ndoto ambayo haijatimia

Mwananchi: Katika maisha kuna ndoto ya kufanikiwa. Wewe binafsi, umewahi kuoteshwa hapo nyuma kuhusu mambo ya urais? Je, bado una ndoto hizo ifikapo 2015 kwani tayari umesema ubunge basi. Je, nini kitafuata?

 

11 years ago

Mwananchi

Greenland; ardhi ambayo Uefa, Fifa wameisaha

Mwezi wa tano mwaka huu, Shirikisho la Soka Barani Ulaya (UEFA) liliipa uanachama nchi ya Gibraltar ambayo ni nchi yenye watu wachache katika bara la Ulaya kwani ina watu wapatao 30,000.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kifua kikuu ambayo ni sugu kwa dawa

Aina ya kifua kikuu ambayo ni sugu kwa dawa zilizopo sasa, na ni vigumu kupata tiba kamili.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani