Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TBC iwaombe radhi Watanzania

JANA Kituo cha Televisheni cha Taifa (TBC), kilifanya kile ambacho kimeacha maswali kwa Watanzania wengi waliokuwa wakifuatilia matangazo ya moja kwa moja ya Bunge Maalumu la Katiba kupitia kituo hicho....

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Slaa: JK awaombe radhi Watanzania

Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa, amemtaka Rais Jakaya Kikwete, kuwaomba radhi Watanzania kwa madai ya kuingizwa kwa wawekezaji wasiojali maslahi ya wazalendo.

Kutokana na hilo alisema kuna uwezekano wa kuwapo kwa kashfa nyingine zaidi ya ile ya akaunti ya Tegeta Escrow katika eneo la Magereji, barabara ya kwenda Wazo Hill, jijini Dar es Salaam kwa madai ya mwekezaji kuwanyang’anya eneo la shughuli za ufundi wa magari wakazi wa Kata ya Wazo...

 

10 years ago

GPL

TBC KUANZISHA KIPINDI CHA MAISHA YA WATANZANIA WALIO UGHAIBUNI

Kaimu Mkurugenzi wa TBC ,Rosemary Jairo,  akizungumza jambo.  Kulia ni Juma Hashim (kulia) na wa kwanza kushoto ni Edna Rajabu.Meneja Huduma wa TBC, Edna Rajabu,  akijibu maswali yaliyoulizwa na…

 

9 years ago

Dewji Blog

Mwenyekiti wa Bodaboda Mkoa wa Mwanza awaombaa radhi watanzania!!

Na”George Binagi-GB Pazzo @BMG
Mwenyekiti wa Waendesha Pikipiki (Bodaboda) Mkoa wa Mwanza Makoye Kayanda Bunoro anawatakia Waendesha Pikipiki wote nchini Kheri ya Mwaka Mpya 2016 huku akiwasihi kutimiza majukumu yao kwa kufuata sheria na taratibu za Usalama barabarani bila shuruti.

“Tuache Mchezo na Vyombo vya Moto, Tuvae Elmenti, tusibebe mishkaki (zaidi ya abiria mmoja) tusiendeshe kwa mwendo kasi kwani ni hatari, tusitumie pombe tukiwa kazini huku tikiwapenda abiria na kujiepusha na...

 

11 years ago

Mwananchi

Tunafanya biashara-TBC

>Mkurugenzi mtendaji wa Shirika la Utangazaji (TBC), Clement Mshana amesema kuwa wameamua kuonyesha mechi za fainali za Kombe la Dunia kupitia kituo cha televisheni cha TBC2 badala ya TBC1 ili waweze kuuza ving’amuzi vya StarTimes kwa madai kuwa wamewekeza fedha nyingi.

 

10 years ago

Vijimambo

11 years ago

Habarileo

TBC yapewa OB-Van

SHIRIKA la Utangazaji Tanzania (TBC) limepokea gari la kisasa la matangazo (OBVan) lenye thamani ya Sh bilioni sita kutoka kwa Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China.

 

11 years ago

TheCitizen

TBC biased, Mbowe claims

Dodoma. The Coalition of Defenders of the People’s Constitution (Ukawa) has accused Tanzania Broadcasting Corporation (TBC) of deliberately interrupting coverage of the Constituent Assembly session on Saturday.

 

10 years ago

GPL

THE MBONI SHOW KUHAMIA TBC 1

Mboni Masimba akizungumza na wanahabari (hawapo pichani). Gladys Chiduo ‘Zipompa’ akizungumza na wanahabari (hawapo pichani).…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani