Slaa: JK awaombe radhi Watanzania
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa, amemtaka Rais Jakaya Kikwete, kuwaomba radhi Watanzania kwa madai ya kuingizwa kwa wawekezaji wasiojali maslahi ya wazalendo.
Kutokana na hilo alisema kuna uwezekano wa kuwapo kwa kashfa nyingine zaidi ya ile ya akaunti ya Tegeta Escrow katika eneo la Magereji, barabara ya kwenda Wazo Hill, jijini Dar es Salaam kwa madai ya mwekezaji kuwanyang’anya eneo la shughuli za ufundi wa magari wakazi wa Kata ya Wazo...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima27 Jul
Madiwani wamtaka DC awaombe radhi
MADIWANI wawili wa Kata za Ikhanoda na Mwasauya katika Halmashauri ya Wilaya ya Singida Vijijini, wamemtaka Mkuu wa Wilaya ya Singida, Queen Mlozi kuwaomba radhi kwa kuwatia nguvuni kwa saa...
11 years ago
Tanzania Daima13 Apr
TBC iwaombe radhi Watanzania
JANA Kituo cha Televisheni cha Taifa (TBC), kilifanya kile ambacho kimeacha maswali kwa Watanzania wengi waliokuwa wakifuatilia matangazo ya moja kwa moja ya Bunge Maalumu la Katiba kupitia kituo hicho....
9 years ago
Dewji Blog01 Jan
Mwenyekiti wa Bodaboda Mkoa wa Mwanza awaombaa radhi watanzania!!
Na”George Binagi-GB Pazzo @BMG
Mwenyekiti wa Waendesha Pikipiki (Bodaboda) Mkoa wa Mwanza Makoye Kayanda Bunoro anawatakia Waendesha Pikipiki wote nchini Kheri ya Mwaka Mpya 2016 huku akiwasihi kutimiza majukumu yao kwa kufuata sheria na taratibu za Usalama barabarani bila shuruti.
“Tuache Mchezo na Vyombo vya Moto, Tuvae Elmenti, tusibebe mishkaki (zaidi ya abiria mmoja) tusiendeshe kwa mwendo kasi kwani ni hatari, tusitumie pombe tukiwa kazini huku tikiwapenda abiria na kujiepusha na...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar10 Oct
Chadema Yaipa NEC siku tatu……Yawataka Watanzania Wampuuze Dr. Slaa
Saturday, October 10, 2015 Naibu Katibu mkuu wa Chadema, John Mnyika ametoa siku tatu kwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, (NEC) kukabidhi nakala ya Daftari la Wapigakura kwa vyama vya siasa kwa ajili ya uhakiki vinginevyo […]
The post Chadema Yaipa NEC siku tatu……Yawataka Watanzania Wampuuze Dr. Slaa appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
VijimamboMKE HALALI WA NDOA WA DK.WILBROD SLAA, MBUNGE ROSE KAMILI AMLIPUA DR SLAA
Mbunge wa Viti Maalumu kupitia chadema,Rose Kamili,akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo jioni kuhusiana na tuhuma alizozitoa mume wake kwamba waliishi kwa maisha ya kula mihogo na familia yake ili kuhakikisha chadema inastawi na kuimarika jambo ambalo si la kweli walikuwa na maisha mazuri ya kawaida tu na kusema kuwa Dk.Slaa anapaswa awaombe radhi wataznzania kwa kufafanisha kula mihogo kuwa ni umaskini na kuongeza kwa kusema mbona ukienda katika mahoteli makubwa...
9 years ago
Mtanzania02 Jan
JB awataka radhi mashabiki
MKALI wa filamu za kibongo, JB amewaomba radhi mashabiki wake kwa mkosa mbalimbali ya kiufundi ambayo
yalitokea kwenye baadhi ya kazi zake mwaka uliopita na amewataka waendelee kumuunga mkono mwaka huu.
‘Niwashukuru mashabiki wangu kwa kuendelea kuniunga mkono hasa kwenye filamu yangu ya Chungu cha Tatu ambayo nimeiachia wiki chache zilizopita nawaahidi kazi nzuri zenye ubora zaidi mwaka huu,’ aliandika JB kwenye ukurasa wake wa...
9 years ago
BBCSwahili15 Sep
Misri yaomba radhi
11 years ago
Tanzania Daima26 Feb
Usikubali kuomba radhi!
RAIS wangu sikubaliani na wote wanaokutaka uombe radhi kwa agizo lako uliloagiza! Uombe radhi kwa kosa lipi? Kusema "Acheni unyonge, uvumilivu una ukomo wake," si kauli ya kuomba radhi. Uombe...
10 years ago
BBCSwahili18 Feb
Wayne Rooney aomba radhi