JB awataka radhi mashabiki
MKALI wa filamu za kibongo, JB amewaomba radhi mashabiki wake kwa mkosa mbalimbali ya kiufundi ambayo
yalitokea kwenye baadhi ya kazi zake mwaka uliopita na amewataka waendelee kumuunga mkono mwaka huu.
‘Niwashukuru mashabiki wangu kwa kuendelea kuniunga mkono hasa kwenye filamu yangu ya Chungu cha Tatu ambayo nimeiachia wiki chache zilizopita nawaahidi kazi nzuri zenye ubora zaidi mwaka huu,’ aliandika JB kwenye ukurasa wake wa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo24 Dec
RC awataka Mkurugenzi, DC Arusha wamwombe radhi
MKUU wa Mkoa wa Arusha, Magesa Mulongo amempa siku sita Mkurugenzi wa Jiji la Arusha, Sipora Liana kumwomba radhi yeye na Mkuu wa Wilaya ya Arusha, John Mongela kupitia Kamati ya Fedha na Utawala kutokana na tabia ya kumsingizia maneno ya uongo kwa wananchi.
10 years ago
Tanzania Daima08 Sep
Yanga yaomba radhi mashabiki
KLABU ya Yanga chini ya Mwenyekiti wake Yusuf Manji, mewaomba radhi mashabiki kutokana na kufutwa kwa mechi yao ya kirafiki dhidi Big Bullet ya Malawi iliyokuwa ichezwe jana katika Uwanja...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/Mainda.jpg?width=650)
MAINDA AWAOMBA RADHI MASHABIKI
10 years ago
Tanzania Daima02 Sep
Linex aomba radhi mashabiki wake
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Sunday Mangu amewataka radhi mashabiki wake kwa kushindwa kufanya uzinduzi wa video yake ya ‘Wema Kwa Ubaya’ ambayo alipanga kuizindua Agosti 31, katika ukumbi...
10 years ago
Mtanzania07 Aug
Justin Bieber awaomba radhi mashabiki Uingereza
LAS VEGAS, Marekani
NYOTA wa muziki wa RnB nchini Marekani, Justin Bieber, amewaomba radhi mashabiki wake nchini Uingereza baada ya kutangaza kusitisha onyesho alilotakiwa kulifanya nchini humo.
Msanii huyo mwenye umri wa miaka 21, alitarajia kufanya onyesho hilo Agosti 28 mwaka huu nchini humo, lakini amesitisha bila kutaja sababu za msingi.
“Naomba radhi kwa mashabiki wangu nchini Uingereza kwa kusitisha kufanya shoo Agosti 28, lakini lazima nitaifanya muda mfupi ujao.
“Nimeona nitumie...
10 years ago
Dewji Blog03 Oct
Skylight Band yakwea pipa kutumbuiza Oman, yawaomba radhi mashabiki wake Dar
Uongozi wa Skylight Band unawaomba radhi mashabiki wake wa Dar es Salaam kwa kutokuwepo nchini kwa ajili ya kutoa burudani jioni ya leo kwenye uwanja wao wa nyumbani Thai Village Masaki pamoja na siku ya Jumapili kwenye Skylight Sunday Bonanza katika kiota cha maraha Escape One kutokana na kupata mwaliko wa kutumbuiza nchini Oman.
Skylight Band watarejea nyumbani wiki ijayo na kuendelea na ratiba zao kama kawaida ambapo siku ya Ijumaa tarehe 10/10/2014 watakuwepo Thai Village pamoja na...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/10494817_372473116244006_3617867818539775125_n.jpg)
SKYLIGHT BAND YAKWEA PIPA KUTUMBUIZA OMAN, YAWAOMBA RADHI MASHABIKI WAKE DAR
9 years ago
Bongo528 Oct
Nawaomba radhi mashabiki wangu sitaweza kutoa collabo yangu na Jose Chameleone Ijumaa hii — Barnaba
5 years ago
MichuziJERRY MURO AWATAKA MASHABIKI KUACHA KULIA, KUANZIA LEO HAKUNA KUHUJUMIWA
Muro ambaye sasa ni Mkuu wa Wilaya ya Arumeru, yuko likizo na ameamua kuitumia likizo yake kuungana na viongozi kurejesha amsha-amsha
Aesema kuanzia sasa mashabiki wa Yanga watembee kwa amani kwa sababu amerejea na password ya ushindi.
Amesema...