Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Madiwani wamtaka DC awaombe radhi

MADIWANI wawili wa Kata za Ikhanoda na Mwasauya katika Halmashauri ya Wilaya ya Singida Vijijini, wamemtaka Mkuu wa Wilaya ya Singida, Queen Mlozi kuwaomba radhi kwa kuwatia nguvuni kwa saa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Slaa: JK awaombe radhi Watanzania

Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa, amemtaka Rais Jakaya Kikwete, kuwaomba radhi Watanzania kwa madai ya kuingizwa kwa wawekezaji wasiojali maslahi ya wazalendo.

Kutokana na hilo alisema kuna uwezekano wa kuwapo kwa kashfa nyingine zaidi ya ile ya akaunti ya Tegeta Escrow katika eneo la Magereji, barabara ya kwenda Wazo Hill, jijini Dar es Salaam kwa madai ya mwekezaji kuwanyang’anya eneo la shughuli za ufundi wa magari wakazi wa Kata ya Wazo...

 

11 years ago

Mwananchi

Wamtaka Malope Pasaka

Waandaaji wa Tamasha la Pasaka wamesema mashabiki wengi nchini wameomba malkia wa muziki wa Injili Afrika Kusini, Rebecca Malope, awepo kwenye tamasha mwaka huu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wabongo wamtaka Malope Agosti 3

MWIMBAJI mahiri nchini, Rose Muhando, amesema mashabiki wengi nchini wameomba malkia wa muziki wa injili nchini Afrika Kusini, Rebecca Malope, awepo kwenye uzinduzi wa albamu yake ya ‘Kamata Pindo la...

 

11 years ago

Mwananchi

Wamtaka Tibaijuka kutatua mgogoro

>Baadhi ya wananchi wa Kijiji cha Byantanzi, wilayani Muleba, wamemuomba Mbunge wa Muleba Kusini, Profesa Anna Tibaijuka,  kushughulikia  mgogoro wa ardhi inayodaiwa kuuzwa kwa mwekezaji.

 

9 years ago

Mtanzania

Wanachama Simba wamtaka Kopunovic

kopunovicNA BARAKA JAMALI, MTWARA

WANACHAMA wa klabu ya Simba Mtwara, wameuomba uongozi wa timu hiyo umrudishe kocha wao wa zamani, Goran Kopunovic, ili kuweza kuirejesha heshima ya timu hiyo ya kuchukua ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara.

Wakizungumza na MTANZANIA kwa nyakati tofauti jana, wanachama hao walisema kuwa uongozi wa timu hiyo umekuwa ukibadili makocha kila mwaka jambo ambalo limewasababishia kufanya vibaya katika mashindano mbalimbali wanayoshiriki, pia kumfukuza kocha mzuri...

 

9 years ago

Mwananchi

Asilimia 90 Rwanda wamtaka Kagame

Wakati Wanyarwanda wakipiga kura ya mabadiliko ya katiba kesho ili kumuwezesha Rais Paul Kagame kuongoza muhula mwingine ,utafiti wa Ipsos unaonyesha kuwa zaidi ya asilimia 90 ya wananchi wa taifa hilo wanataka kuendelea kuongozwa na kiongozi huyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Upinzani wamtaka Nawaz Shariff kujiuzulu

Mwanasiasa mashahuri wa upinzani nchini Pakistan Imran Khan amemtaka waziri mkuu Nawaz Shariff Kujiuzulu

 

10 years ago

Dewji Blog

Mashabiki wamtaka MO arudi kuidhamini Simba SC

Baada ya kualikwa kama mgeni rasmi katika tamasha la Simba Day lililofanyika siku ya jumamosi katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, CEO wa MeTL Group, Mohammed Dewji amepost picha zake kupitia akaunti yake ya Instagram @moodewji ambazo zimekupa ‘likes’ nyingi na baadhi ya ‘comments’ mashabiki wa timu Simba SC wamemtaka arudi kuifadhili timu hiyo zifuatazo ni ‘Screenshot’ kutoka akaunti yake ya Instagram.

Screenshot_2015-08-10-09-35-37

Na hizi hapa ni ‘screenshots’ za  ‘comments’ za baadhi ya marafiki na mashabiki...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani