Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Upinzani wamtaka Nawaz Shariff kujiuzulu

Mwanasiasa mashahuri wa upinzani nchini Pakistan Imran Khan amemtaka waziri mkuu Nawaz Shariff Kujiuzulu

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Je unafahamu Maalim Seif Shariff ni shabiki ?

Zuhura Yunus alimtupia swali Maalim Seif Shariff , mgombea urais wa chama cha upinzani cha CUF kisiwani Zanzibar akitaka kujua anapenda nini mbali na siasa?

 

10 years ago

TheCitizen

Gritty Shariff steals show at Dar golf tournament

>Ali Shariff of Dar es Salaam Gymkhana Club emerged the overall winner of the December Monthly Mug Black Energy on Wednesday.

 

10 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AKUTANA NA MAALIM SHARIFF SEIF HAMAD

 Rais Jakaya Kikwete ateta na makamu wa Kwanza  wa Rais  wa Zanzibar Maalim Shariff Seif Hamad kuhusu hali ya kisiasa Visiwani leo  asubuhi  Ikulu jijini dar es SalaamWakiwa katika picha ya pamoja.

 

11 years ago

Michuzi

Maalim Seif Shariff Hamad atembelea soko la matunda Mombasa.

Na Hassan Hamad wa OMKR. Baraza la Manispaa la Zanzibar limeshauriwa kuweka utaratibu unaofaa kuhakikisha kuwa mrundikano wa taka hasa katika maeneo ya mjini unapungua.  Wito huo umetolewa na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, wakati alipofanya ziara ya kutembelea baadhi ya majaa ya Mkoa wa Mjini Magharibi, soko la matunda Mombasa, pamoja na kutembelea shimo la kutupia taka lililoko Kibele, kujionea hali halisi ya ukusanyaji na utupaji wa taka...

 

11 years ago

GPL

SEIF SHARIFF HAMAD KAZUNGUMZA LEO, KAULI ZAKE 7 KUHUSU MUUNGANO ZIKO HAPA

Maalim Seif Sharif Hamad. Amekua mmiliki wa vichwa vya habari kutokana na ripoti mbalimbali ambazo zimekua zikimnukuu kwa kudai kutoutaka muungano lakini leo April 15 2014 amezungumza kwenye maonyesho ya miaka 50 ya muungano ya kuzitoa hizi kauli zifuatazo. 1. ‘Pamoja na milima na mabonde, muungano huu umedumu miaka 50, nchi nyingine zilishindwa, lazima tufanye tathmini hasa ya muungano wetu, lazima vijana waelimishwe vp...

 

11 years ago

Mwananchi

Wamtaka Malope Pasaka

Waandaaji wa Tamasha la Pasaka wamesema mashabiki wengi nchini wameomba malkia wa muziki wa Injili Afrika Kusini, Rebecca Malope, awepo kwenye tamasha mwaka huu.

 

9 years ago

Mwananchi

Asilimia 90 Rwanda wamtaka Kagame

Wakati Wanyarwanda wakipiga kura ya mabadiliko ya katiba kesho ili kumuwezesha Rais Paul Kagame kuongoza muhula mwingine ,utafiti wa Ipsos unaonyesha kuwa zaidi ya asilimia 90 ya wananchi wa taifa hilo wanataka kuendelea kuongozwa na kiongozi huyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani