Misri yaomba radhi
Misri imeomba radhi kutokana na tukio la mauaji ya bahati mbaya dhidi ya watalii wakiwemo Raia wa Mexico
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima08 Sep
Yanga yaomba radhi mashabiki
KLABU ya Yanga chini ya Mwenyekiti wake Yusuf Manji, mewaomba radhi mashabiki kutokana na kufutwa kwa mechi yao ya kirafiki dhidi Big Bullet ya Malawi iliyokuwa ichezwe jana katika Uwanja...
9 years ago
Mwananchi05 Nov
Coastal Union yaomba radhi kwa vurugu
10 years ago
Habarileo21 May
Serikali yaomba radhi kwa migomo vyuo vikuu
NAIBU Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amewaomba radhi wanafunzi wote wa vyuo vikuu nchini, kwa kuchelewa kuwafikishia fedha zao za kujikimu. Hata hivyo, aLIsisitiza kuwa tangu juzi fedha hizo zilishatoka Hazina.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-9roLcqCyblk/VcmXcDYz7nI/AAAAAAAHwAQ/rsQaLF0tomY/s72-c/DuLwKj7l.jpg)
Modewjiblog yapatwa na kwikwi, yaomba radhi kwa wasomaji wake
![](http://4.bp.blogspot.com/-9roLcqCyblk/VcmXcDYz7nI/AAAAAAAHwAQ/rsQaLF0tomY/s640/DuLwKj7l.jpg)
Modewjiblog itarudi hewani hivi punde, samahani kwa usumbufu wowote ule uliojitokeza, tunahitaji ushirikiano wenu zaidi.----------------------------------There has been an undergoing DDOS attach on the...
10 years ago
Vijimambo07 Jul
UCHAGUZI 2015: REDET YAOMBA RADHI KWA UTAFITI USIO TIMILIFU
Baadhi ya vyombo vya habari katika taarifa zao zilizochapishwa katika matoleo yao ya Jumatatu tarehe 6 Julai, 2015 vimechapisha taarifa zinazohusu utafiti uliofanywa na REDET juu ya Maoni ya Wananchi Kuhusu Uchaguzi Mkuu Utakaofanyika Oktoba 2015. Taarifa hizi zimesababisha wadau wengi hapa nchini kutaka ufafanuzi kutoka REDET.
Kama ilivyo kawaida yake REDET imejijengea heshima na utamaduni wa kufanya kazi zake kwa misingi ya uwazi na ukweli. Kwa hali hii...
9 years ago
Dewji Blog09 Nov
Tigo yaomba wateja wake radhi kwa kukatika kwa huduma zake!
[Dar es Salaam] Kampuni ya simu ya Tigo imeomba radhi wateja wake kutokana na kukatika kwa huduma zake katika sehemu nyingine nchini jana Novemba 8.2015.
Taarifa ya kampuni hiyo iliyotolewa kwa vyombo vya habari leo jijini Dar es Salaam imesema kukatika kwa huduma za Tigo “kulitokana na sababu zilizo nje ya uwezo kwa kampuni zilizo tokana na kukatika kwa mkongo sehemu tofauti tofauti.” Aidha taarifa hiyo iliendelea kusema kwamba “tatizo hilo sasa limeshughulikiwa kikamilifu na huduma zote...
10 years ago
Mwananchi05 Dec
Ruvu yaomba ulinzi viwanjani
11 years ago
BBCSwahili31 Jul
Ebola: Liberia yaomba msaada
10 years ago
BBCSwahili19 Feb
Ukraine yaomba msaada wa ulinzi