Serikali yaomba radhi kwa migomo vyuo vikuu
NAIBU Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amewaomba radhi wanafunzi wote wa vyuo vikuu nchini, kwa kuchelewa kuwafikishia fedha zao za kujikimu. Hata hivyo, aLIsisitiza kuwa tangu juzi fedha hizo zilishatoka Hazina.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo27 Mar
TAMKO LA UONGOZI WA SERIKALI ZA WANAFUNZI WA VYUO VIKUU DODOMA KULAANI KUHUSISHWA KWA WANAFUNZI WA VYUO VIKUU VYA DODOMA NA KUMUOMBA MH. LOWASA KUGOMBEA URAIS.
Tamko la Wanafunzi wa Vyuo Vikuu Dodoma Kulaani Kuhusishwa Kwao Kumshawishi Lowassa Kuchukua Form ya Uraisi
Ndugu Waandishi wa habari, Tunapenda kutanguliza shukrani za dhati kwenu kwa kufika katika eneo hili kutusikiliza.Mbele yenu ni viongozi wa serikali za wanafunzi kutoka Vyuo vikuu mbalimbali vilivyopo mkoani Dodoma.Ndugu waandishi...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-XcePV_Yy6lE/Vf1AKL6rpBI/AAAAAAAAEw0/yzBk8qJSFxQ/s72-c/mayunga.jpg)
BARAZA LA VYUO VIKUU AFRIKA MASHARIK(IUCEA)KUWA NA MAONESHO YA VYUO VIKUU UGANDA
![](http://4.bp.blogspot.com/-XcePV_Yy6lE/Vf1AKL6rpBI/AAAAAAAAEw0/yzBk8qJSFxQ/s640/mayunga.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-rnigzh6SSHM/Vf1AQbyI4QI/AAAAAAAAEw8/YKu2tZEAGRM/s640/eabc.jpg)
11 years ago
Mwananchi14 Mar
Serikali yaingilia kati ada vyuo vikuu
9 years ago
Habarileo24 Aug
Serikali kujenga vyuo vikuu kwenye kanda
RAIS Jakaya Kikwete amesema ilikuwa lazima kuchukua hatua za haraka za kimapinduzi za kujenga shule za sekondari za kata nchini mwanzoni tu mwa uongozi wake kwa sababu kiwango cha watoto, waliokuwa wanamaliza darasa la saba kuingia sekondari, kilikuwa kimeshuka mno na kufikia asilimia sita tu kwa sababu ya ukosefu wa nafasi katika sekondari.
9 years ago
Mwananchi05 Nov
Coastal Union yaomba radhi kwa vurugu
9 years ago
Dewji Blog09 Nov
Tigo yaomba wateja wake radhi kwa kukatika kwa huduma zake!
[Dar es Salaam] Kampuni ya simu ya Tigo imeomba radhi wateja wake kutokana na kukatika kwa huduma zake katika sehemu nyingine nchini jana Novemba 8.2015.
Taarifa ya kampuni hiyo iliyotolewa kwa vyombo vya habari leo jijini Dar es Salaam imesema kukatika kwa huduma za Tigo “kulitokana na sababu zilizo nje ya uwezo kwa kampuni zilizo tokana na kukatika kwa mkongo sehemu tofauti tofauti.” Aidha taarifa hiyo iliendelea kusema kwamba “tatizo hilo sasa limeshughulikiwa kikamilifu na huduma zote...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-9roLcqCyblk/VcmXcDYz7nI/AAAAAAAHwAQ/rsQaLF0tomY/s72-c/DuLwKj7l.jpg)
Modewjiblog yapatwa na kwikwi, yaomba radhi kwa wasomaji wake
![](http://4.bp.blogspot.com/-9roLcqCyblk/VcmXcDYz7nI/AAAAAAAHwAQ/rsQaLF0tomY/s640/DuLwKj7l.jpg)
Modewjiblog itarudi hewani hivi punde, samahani kwa usumbufu wowote ule uliojitokeza, tunahitaji ushirikiano wenu zaidi.----------------------------------There has been an undergoing DDOS attach on the...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-467nwK1ECgI/XnJHGC9D0LI/AAAAAAALkSo/vSV7dWeAfyIu1M2KjllqXIcXYOOMclJLgCLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
MAJALIWA: SERIKALI IMEFUNGA VYUO VYA KATI, VIKUU KUJIKINGA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-467nwK1ECgI/XnJHGC9D0LI/AAAAAAALkSo/vSV7dWeAfyIu1M2KjllqXIcXYOOMclJLgCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
Amesema hadi leo, nchini kuna jumla ya watu watatu waliobainika kuwa na virusi vya corona ikiwa ni ongezeko la wagonjwa wawili, mmoja ni raia wa Ujerumani (24) aliyegundulika Zanzibar na mwingine ni raia wa Marekani (61) aliyegundulika Dar es Salaam. Wote wapo katika uangalizi. ...
10 years ago
Vijimambo07 Jul
UCHAGUZI 2015: REDET YAOMBA RADHI KWA UTAFITI USIO TIMILIFU
Baadhi ya vyombo vya habari katika taarifa zao zilizochapishwa katika matoleo yao ya Jumatatu tarehe 6 Julai, 2015 vimechapisha taarifa zinazohusu utafiti uliofanywa na REDET juu ya Maoni ya Wananchi Kuhusu Uchaguzi Mkuu Utakaofanyika Oktoba 2015. Taarifa hizi zimesababisha wadau wengi hapa nchini kutaka ufafanuzi kutoka REDET.
Kama ilivyo kawaida yake REDET imejijengea heshima na utamaduni wa kufanya kazi zake kwa misingi ya uwazi na ukweli. Kwa hali hii...