TBL YAKABIDHI MSAADA WA KISIMA ZAHANATI YA TABATA NBC
 Ofisa Uhusiano Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Dorris Malulu, akikata utepe kuashiria uzinduzi wa kisima kilichojengwa kwa msaada wa kampuni hiyo katika Zahanati ya NBC Tabata, Dar es Salaam. Kisima hicho kilizinduliwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Uchumi na Huduma za Jamii Ilala, Angelina Malembeka. Kushoto ni Mganga Mkuu wa Ilala, Willy Sangu na anayefuatia ni Mwakilishi wa Mkurugenzi Halmashauri ya Manispaa ya Ilala, Dk...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziTBL YAKABIDHI MSAADA WA KISIMA ZAHANAT YA TABATA NBC
11 years ago
Tanzania Daima27 May
TBL yakabidhi kisima Tabata
KAMPUNI ya Bia Tanzania (TBL), imekabidhi kisima cha maji chenye thamani ya sh milioni 38 katika kituo cha afya cha Tabata NBC. Hatua hiyo itaondoa adha kwa wajawazito ambao walikuwa...
10 years ago
Tanzania Daima14 Oct
TBL yakabidhi kisima zahanati Makuburi
UHABA wa maji safi na salama uliokuwa unaikabili zahanati ya Makuburi, Wilaya ya Kinondoni umeelezwa ulikuwa unazorotesha huduma za afya katika zahanati hiyo. Changamoto hiyo ilielezwa mwishoni mwa wiki na...
11 years ago
Habarileo07 Jul
TBL yakabidhi zahanati kisima cha milioni 25/-
KAMPUNI ya Bia Tanzania TBL imekabidhi hundi ya Sh milioni 25 kwa ajili ya ujenzi wa kisima kikubwa cha majisafi na salama katika zahanati ya Makuburi.
10 years ago
Dewji Blog15 Oct
TBL yakabidhi kisima cha maji zahanati ya Makuburi, Dar
Mganga Mkuu wa Zahanati ya Makuburi, Manispaa ya Kinondoni, Dkt. Stella Kivugo (kulia), akijaribu kufungua bomba la maji, baada ya Mwenyekiti wa Mtaa wa Makaburi, Bw. James Ngoitanie (wa nne kushoto), kukata utepe kuzindua kisima cha maji kilichojengwa kwa hisani ya Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Wengine ni watendaji wa Mtaa wa mwongozo. (Na Mpigapicha Wetu)
Mwenyekiti wa Mtaa wa Mwongozo, Dar es Salaam, Bw. James Ngoitanile (wa nne kushoto), akifurahia...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-_pJN5v4Pp7c/VZQCxKtK_9I/AAAAAAAA3vg/1fcFhj30_H8/s72-c/DSC_2158.jpg)
TBL YAKABIDHI MSAADA WA KISIMA CHA SH. MIL. 65 RUFIJI
![](http://3.bp.blogspot.com/-_pJN5v4Pp7c/VZQCxKtK_9I/AAAAAAAA3vg/1fcFhj30_H8/s640/DSC_2158.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-HSlddCWZTwg/VZQCyfQGjhI/AAAAAAAA3vo/pehL0PiG6uQ/s640/DSC_2183.jpg)
11 years ago
MichuziTBL YATOA MSAADA WA SH. MIL. 25 ZA KUCHIMBA KISIMA CHA MAJI ZAHANATI YA MAKUBURI, DAR
10 years ago
MichuziTBL YATOA MSAADA WA SH. MIL 45 ZA UCHIMBAJI KISIMA CHA MAJI ZAHANATI YA MJI MWEMA KIGAMBONI