TBL YASHIRIKI MAADHIMISHO YA KUTOKOMEZA MALARIA DUNIANI
Balozi wa Kampeni ya Malaria wa Tanzania na aliye kuwa Rais wa Shilikisho la Mpira TFF Tenga akizungumza na washiriki mbalimbali baada ya matembezi hayo ya Maadhimisho ya Kutokomeza Ugonjwa wa Malaria Duniani viwanja vya Farasi Dar es Salaam juzi
Balozi wa Kampeni ya Malaria wa Tanzania na aliye kuwa Rais wa Shilikisho la Mpira TFF Tenga (wanne kushoto) katika picha ya pamoja na wafanyakazi mbalimbali wa kiwanda cha Bia Dar es Salaam Tanzania katika Maadhimisho ya Kutokomeza...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-smDI7_mtkD8/VTjWTQ1_l4I/AAAAAAAHSwY/ae4dwm_KJkI/s72-c/K.jpg)
5 years ago
MichuziTAARIFA KUHUSU MAADHIMISHO SIKU YA MALARIA DUNIANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-9AR5FJIcljs/XqQWQ3DdMdI/AAAAAAALoLA/rN3hCd7BOOYynJgcjfl4sZOT1op6EVAHwCLcBGAsYHQ/s640/6cd902f4-cead-4d7e-b260-f749c6bcd127.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-AeqhcEBC8Rk/XqQWPE9bJKI/AAAAAAALoK8/K-0U8m5xziU5i7l1PoOrDhy02T_PlbUcgCLcBGAsYHQ/s640/c2c664df-49cd-4e30-bdc0-3a028f532674.jpg)
11 years ago
MichuziMSD YASHIRIKI MAONESHO YA KITAIFA YA SIKU YA MALARIA DUNIANI KATIKA HOTELI YA HYATT JIJINI DAR ES SALAAM LEO
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-o21JUDlXfBE/VTlSFVAgAzI/AAAAAAAHS0s/bPSpgIv0snw/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
MAADHIMISHO SIKU YA MALARIA DUNIANI KITAIFA KUFANYIKA MNAZI,MMOJA JIJINI DAR ES SALAAM
Mkuu wa wilaya ya Ilala Bw. Raymond Mushi akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam kuhusu maadhimisho ya Siku ya Malaria Duniani mwaka 2015, leo jijini Dar es salaam amesema maadhimisho ya mwaka huu yanalenga kuwakumbusha na kuwaelimisha wananchi juu ya athari za ugonjwa wa Malaria...
10 years ago
Dewji Blog23 Apr
Maadhimisho siku ya Malaria duniani kitaifa kufanyika Mnazi mmoja jijini Dar Es Salaam
Mkuu wa wilaya ya Ilala Bw. Raymond Mushi akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam kuhusu maadhimisho ya Siku ya Malaria Duniani mwaka 2015 alipokutana na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam. Maadhimisho ya mwaka huu yanalenga kuwakumbusha na kuwaelimisha wananchi juu ya athari za Malaria na mbinu za kukabiliana na ugonjwa huo.
Na Mwandishi Wetu, Dar es salaam
Tanzania itaungana na mataifa mengine kuadhimisha Siku ya Malaria duniani Aprili 25 mwaka huu ili kutathmini...
10 years ago
Vijimambo13 Jul
MKUTANO MAALUMU WA MAENDELEO NA KUTOKOMEZA MALARIA WAANZA RASMI
MKUTANO maalumu wa maendeleo na kutokomeza Maralia Barani Afrika umeanza rasmi leo Addis Ababa, Ethiopia.
Mkutano huo ulioanza rasmi leo, unatarajia kumalizika Julai 16 mwaka huu na unalengo la kujadili mikakati ya kuzikwamua nchi maskini kwa kuzichangia kimaendeleo...
11 years ago
Dewji Blog28 Apr
Makampuni 37 yashiriki maonyesho ya siku ya Malaria nchini
Mkurugenzi wa kampuni ya Frontline Porter Novelli Bi. Irene Kiwia akimkaribisha Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dk.Seif Suleiman Rashid kwenye maonyesho ya siku ya malaria yaliyofanyika jijini Dar es salaam mwishoni mwa wiki.
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dk. Seif Suleiman Rashid alipotembelea banda la malaria safe lililokuwa linasimamiwa na wafanyakazi wa Johnhopkins University kwenye maonyesho ya siku ya Malaria.
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dk. Seif Suleiman Rashid...
11 years ago
Dewji Blog29 Apr
TBL yapata tuzo ya mapambano dhidi ya Malaria nchini
![Untitled](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/04/Untitled62.jpg)
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid (kulia) akimkabidhi Meneja Vipaji wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Lillian Makau cheti cha shukurani cha kutambua ushiriki wa kampuni hiyo katika mapambano dhidi ya Malaria nchini, wakati wa maadhimisho ya Siku ya Malaria Duniani, jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Katikati ni Balozi wa Malaria Tanzania, Leodegar Tenga.
![](http://2.bp.blogspot.com/-Bq_YaTuZ4JA/U14hEFPbQaI/AAAAAAAAo6c/sjBZEE3bK68/s1600/IMG_6823.jpg)
Katibu wa Afya wa TBL (katikati), akitoa maelezo jinsi kampuni yake ilivyojidhatiti kutoa elimu na tiba ya...
9 years ago
MichuziWIZARA YA MAMBO YA NJE YASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 45 YA TAIFA LA OMAN