TCRA , MIAKA 10 YA UKUWAJI WA SEKTA YA MAWASILIANO, TANZANIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-Nq0bUNJd7zk/VdbfkFc221I/AAAAAAAHyus/qdgi5SzHeJg/s72-c/New%2BPicture.png)
TANZANIA na miaka 10 ya ukuaji wa kasi na kuimarika kwa sekta ya Mawasiliano
Na Semu Mwakyanjala, TCRA
KUMEKUWEPO na ukuaji mkubwa na mpana wa sekta ya mawasiliano nchini Tanzania kwa upande wa miundombinu na huduma ambavo kwa pamoja vimeleta faida kwa Watanzania katika miaka ya hivi karibuni. Sekta hii inaongozwa na Sera ya Tekinolojia ya Habari na Mawasiliano ( TEHAMA) ya mwaka 2003.
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania, kwa kifupi TCRA, ni chombo huru cha Serikali kinachohusika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi21 Aug
9 years ago
Dewji Blog21 Aug
Tanzania na miaka 10 ya ukuaji wa kasi na kuimarika kwa sekta ya Mawasiliano
TCRA , MIAKA 10 YA UKUWAJI WA SEKTA YA MAWASILIANO, TANZANIA.doc
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nII-N*HRVI3Z*jNpV3ESL7WGaIS5R2fXbZY0T5PLETuB7NBbWzSAYxvplQeJlC7LpNAXbmxijPaMLc1NQpdvdicuuOj8lukW/147.jpg?width=550)
MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA (TCRA) YASAINI MIKATABA KUPELEKA MAWASILIANO VIJIJINI
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-emxPGOWDpy8/Va6vOMYsZ7I/AAAAAAAHq9U/6Jbvq4MrRWE/s72-c/tt.jpg)
Mkurugenzi Mkuu mpya wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania, (TCRA) Dk. Ally Yahaya Simba
![](http://2.bp.blogspot.com/-emxPGOWDpy8/Va6vOMYsZ7I/AAAAAAAHq9U/6Jbvq4MrRWE/s1600/tt.jpg)
Dk. Simba aliteuliwa rasmi kushika wadhifa huo mnamo tarehe 6 Jula1 2015 kwa kipindi cha miaka mitano. Kabla ya uteuzi huo, Dk....
5 years ago
MichuziMAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA -TCRA KANDA YA ZIWA YAADHIMISHA SIKU YA HAKI YA MTUMIAJI DUNIANI
Mamlaka Ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya Ziwa imeadhimisha Siku ya Haki ya Mtumiaji Duniani (World Consumer Rights Day) leo Machi 9,2020 kwa kutoa elimu kwa wanafunzi wa Chuo cha Ufundi Stadi VETA Mkoa wa Shinyanga juu ya haki za watumiaji wa Huduma za Mawasiliano.
Akizungumza, Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya Ziwa Mhandisi Francis Mihayo alisema TCRA Kanda ya Ziwa imeadhimisha siku hii leo Machi 9,2020 ambapo Kidunia itafanyika Machi 15,2020 kwa kauli mbiu ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_OtleCoIhHQ/XvMxIh3FjUI/AAAAAAALvOs/rn4PFkjMPmMX37Mm8JZz5VUy4EGCj3OjgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-24%2Bat%2B1.30.35%2BPM.jpeg)
Sekta ya mawasiliano ya simu inavyoweza kuboresha ubunifu wa kiteknolojia Tanzania
![](https://1.bp.blogspot.com/-_OtleCoIhHQ/XvMxIh3FjUI/AAAAAAALvOs/rn4PFkjMPmMX37Mm8JZz5VUy4EGCj3OjgCLcBGAsYHQ/s400/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-24%2Bat%2B1.30.35%2BPM.jpeg)
Katika miaka ya hivi karibuni serikali ya Tanzania ikishirikiana na sekta binafsi imechukua hatua mbalimbali kuimarisha uchumi. Nyingi ya juhudi hizi ni sehemu ya mpango wa dira ya kuifanya Tanzania kuwa nchi ya uchumi wakati ya viwanda ifikapo mwaka 2025.
Dira hii inaonyesha mwelekeo wa wapi nchi inakusudia kufika ifikapo mwaka 2025. Moja ya malengo makubwa ya dira hiyo ni kuhakikisha Tanzania inakuwa na uchumi imara, shindani na stahimilivu.
Kuwekeza katika miundombinu ni...
9 years ago
MichuziMapokezi ya Katibu Mkuu Mpya Wizara ya Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano katika sekta ya Mawasiliano Prof. Faustine Kamuzora
10 years ago
Dewji Blog20 Jun
Huawei Tanzania na Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia watiliana saini ya kusimamia sekta ya TEHAMA
Katibu mkuu wa Wizara ya Sayansi Pro. Patrick Makungu (kushoto) pamoja na Mtendaji Mkuu wa Huawei Tanzania, Bw. Zhan Yongquan wakitiliana saini mkataba wa ushirikiano katika sekta ya TEHAMA nchini. Wanaoshuhudia ni katikati ni Balozi wa china nchini Tanzania, Balozi LvYouguin, akifuatiwa na Waziri wa Mawasiliano Sayansi na technolojia, Prf. Makame Mbarawa (kulia) na kushoto kwao ni waziri wa afya wa Zanzibar. Bw. Mahamoud Thabit Kombo.
Na Mwandishi Wetu
Kampuni ya Huawei Tanzania...