TCRA YATOA ONYO KWA WANAOTUMIA MITANDAO KUCHAFUA WENGINE
![](http://3.bp.blogspot.com/-Qg6xce-X028/U6OUpP41c8I/AAAAAAAAAu8/zID6X3Dtcmc/s72-c/TCRA+1.jpg)
Dr. Raynold Mtungahema
Mamlaka ya mawasiliano nchini, TCRA, imewaonya wale wote wanaotumia mitando kuchafua na kudhalilisha watu waache mara moja vinginevyo watakabiliwa na mkono wa sheria.
Onyo hilo limetolewa jana mjini Arusha na Kaimu Mkurugenzi wa mamlaka ya mawasiliano nchini TCRA, Dkt, Raynold Mtungahema, alipokuwa akitoa ufafanuzi wa maswali ya wanahabari kuhusu kuenea kwa picha chafu zinazowadharirisha watu mbalimbali kwenye mitandao.
Nilipata kufafanua yakua mtandao au kifaa...
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BIHCTCFFxEWLCMFOMVA7Cx8pm-jU3kEO9xu0CVrtDepeMA9q8bWUONbY7AkRrNgdVtvFMdQ5lIwLQ7OtGV-dUkV8KH4l7-rL/POLISI1.jpg?width=650)
JESHI LA POLISI LATOA ONYO KALI KWA WANAOTUMIA VIBAYA MITANDAO
10 years ago
Bongo524 Feb
Vifurushi vipya vya mitandao: TCRA yatoa tamko na maagizo kwa makampuni ya simu
10 years ago
VijimamboKAMANDA MPINGA ATOA ONYO KWA WAMILIKI WA MITANDAO YA KIJAMII
KAMANDA wa Kikosi cha Usalama Barabarani (Trafic), Mohamed Mpinga , ameonya wamiliki wa mitandao ya kijamii kuacha kusambaza taarifa ambazo hazijafanyiwa uchunguzi na kuthibitika kama zina ukweli ndani yake.
Kamanda Mpinga, alisema hayo jijini Dar es Salaam wakati alipozungumza na waandishi wa habari kuhusu tukio la baadhi ya mitando kusambaza taarifa kuwa kulikuwa na basi la Kampuni ya Dar Express limepata ajali.
Alisema,...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-88O_7eqxa34/VAdwgnSwTnI/AAAAAAACp88/pbONrSXpfmg/s72-c/02.jpg)
JESHI LA POLISI LATOA ONYO KALI KWA WANAOTUMIAJI VIBAYA MITANDAO
![](http://1.bp.blogspot.com/-88O_7eqxa34/VAdwgnSwTnI/AAAAAAACp88/pbONrSXpfmg/s1600/02.jpg)
======== ====== ====== JESHI la Polisi nchini limetoa onyo kwa watu wanaotumia mitandao vibaya ikiwemo kutuma ujumbe wa matusi, uchochezi, picha za utupu sanjari na kukashifu viongozi wa Serikali, dini na watu mashuhuri.
Akizungumza Dar es Salaam, Septemba 3,2014 Msemaji wa Polisi,...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-lXcUHSzyzfg/VKuK7NdhFqI/AAAAAAAG7nk/7NiUhcVy178/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-01-06%2Bat%2B10.11.09%2BAM.png)
KAMANDA MPINGA ATOA ONYO KWA WAMILIKI WA MITANDAO YA KIJAMII INAYOPOTOSHA UMMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-lXcUHSzyzfg/VKuK7NdhFqI/AAAAAAAG7nk/7NiUhcVy178/s1600/Screen%2BShot%2B2015-01-06%2Bat%2B10.11.09%2BAM.png)
KAMANDA wa Kikosi cha Usalama Barabarani Tanzania (Trafic), Mohamed Mpinga (pichani), ametoa onyo kwa baadhi ya wamiliki wa mitandao ya kijamii kuacha kusambaza taarifa ambazo hazijafanyiwa uchunguzi na kuthibitika kama zina ukweli ndani yake.
Kamanda Mpinga, ameyasema hayo jijini Dar es Salaam wakati alipozungumza na waandishi wa habari kuhusu tukio la baadhi ya mitando kusambaza taarifa kuwa kulikuwa na basi la Kampuni ya Dar Express limepata ajali.
Alisema, onyo hilo...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-xxcDMj7E4Zs/VUD2KarkWWI/AAAAAAAHUGM/E4eETkhkpmA/s72-c/1.jpg)
BASATA, TCRA WATAKA MATUMIZI SAHIHI YA MITANDAO YA KIJAMII KWA WASANII
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) na mamlaka ya mawasiliano nchini (TCRA) mapema wiki hii wamelaani matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii miongoni mwa wasanii wakati wa programu ya Jukwaa la Sanaa iliyofanyika makao makuu ya Baraza hilo yaliyoko Ilala Sharif Shamba jijini Dar es Salaam.
Akiongea wakati akiwasilisha mada iliyohusu ‘Matumizi sahihi ya mitandao ya kijamii kwa wasanii’, Meneja mawasiliano wa TCRA Innocent Mungy alisema kuwa wasanii ni kioo cha jamii hivyo kwa...
10 years ago
Habarileo27 Jan
JWTZ yatoa onyo kwa wanaovamia viwanja
JESHI la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), limeonya wananchi wanaovamia maeneo yanayomilikiwa na jeshi, kuacha tabia hiyo mara moja, kwani inahatarisha usalama wa maeneo ya kambi na maisha yao.
10 years ago
BBCSwahili14 Jun
Polio:Pakistan yatoa onyo kwa wazazi
10 years ago
BBCSwahili22 Oct
ICC yatoa onyo kwa serikali ya Kenya