TDPC yakamea upotoshaji kuhusu upatikanaji wa mafuta na gesi
![](http://2.bp.blogspot.com/-tYXfYonxvY8/UvyfOwijLuI/AAAAAAAFMxo/FJ4h-y5F6fs/s72-c/unnamed+(1).jpg)
Habari na picha na Frank Shija - Maelezo Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limekanusha taarifa zilizodai kuwa kumegunduliwa Gesi na Mafuta katika maeneo ya Kilosa, Kilombero,Tanga na Maeneo ya Kilimanjaro kwa kudai kuwa taarifa hizo siyo za kweli. Akizungumza na waandishi wa habari Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika hilo amesema kuwa wananchi wanapaswa kuwa makini na taarifa mbalimbali zinazotolewa kuhusu upatikanaji wa nishati hiyo na kuongeza kuwa hili upatikanaji wa mafuta...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima01 Nov
Utafiti wa Swala kusaidia upatikanaji wa mafuta, gesi
KAMPUNI ya mafuta na gesi ya Swala imetoa ushahidi mafanikio ya utafiti uliofanyika katika bonde la Kilombero wilayani Kilosa ambapo matokeo hayo yatatasaidia kurahisisha kazi ya uchimbaji visima mwaka 2015....
9 years ago
Dewji Blog20 Oct
EWURA yafafanua kuhusu hali ya upatikanaji wa mafuta kuelekea Uchaguzi Mkuu 2015
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati, Maji na Mafuta, (EWURA), Bw. Felix Ngamlagosi.
ewura 1.pdf
ewura 2.pdf
11 years ago
MichuziTPDC YAENDESHA SEMINA KWA WANAHABARI KUHUSU UCHIMBAJI WA GESI NA MAFUTA KATIKA HOTELI YA OCEANIC BAY $ RESORT, BAGAMOYO LEO
11 years ago
Dewji Blog09 Apr
Serikali yakanusha taarifa za upotoshaji kuhusu matumizi ya Mashine za Kielektroniki( EFD’s)
Kaimu Mkurugenzi Huduma na Elimu kwa Mlipakodi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Julius Mjanga akiwaeleza waandishi wa Habari(Hawapo Pichani) kuhusu Taaarifa za Upotoshaji kuwa matumizi ya mashine za kielektroniki(EFD’s) yamesitishwa ila mashine hizo zinaendelea kutumika kwa mujibu wa Sheria na wafanyabiashara wanapaswa kuendelea kuzitumia il kuisaidia serikali katika ukusanyaji wa Kodi. Kushoto ni Afisa Uhusiano Mkuu wa Mamlaka hiyo Bi Oliver Njunwa.
Baadhi ya Waandishi wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wQ7kZ3OTaLw/Xqf3VEptmMI/AAAAAAALodU/9JLqPRCX4CQhhYm9EM1nTfhITo-4Crz0ACLcBGAsYHQ/s72-c/_111266929_corona.png)
JESHI LA POLISI LAMSHIKILIA MKAZI WA MBEYA KWA UPOTOSHAJI KUHUSU CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-wQ7kZ3OTaLw/Xqf3VEptmMI/AAAAAAALodU/9JLqPRCX4CQhhYm9EM1nTfhITo-4Crz0ACLcBGAsYHQ/s640/_111266929_corona.png)
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia JOYCE KEPHAS AKYOO @ MANKA [31] Mfanyabiashara na Mkazi wa Stereo Jijini Mbeya kwa tuhuma za kusambaza taarifa za uongo kuhusu ugonjwa wa Homa Kali ya Mapafu [COVID 19] katika Mtandao wa Kijamii.
![](https://1.bp.blogspot.com/-F1lqXtPYoJA/Xqf3LyGxEII/AAAAAAALodQ/yRWhlKnfTpkJhV6TRx11IP1UmKy5V7BPACLcBGAsYHQ/s400/b24d587caf18043272513493cc06329f.png)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-MAPAUKQXw-0/VR-5aJfpFsI/AAAAAAAHPSg/oGWRYU12Bxs/s72-c/Sikika.jpg)
Taarifa kutoka Sikika kuhusu upotoshaji wa mswada wa Sheria ya Makosa ya Mtandao 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-MAPAUKQXw-0/VR-5aJfpFsI/AAAAAAAHPSg/oGWRYU12Bxs/s1600/Sikika.jpg)
Sikika haikuhudhuria mkutano wa wadau unaodaiwa kufanyika Dodoma kama ilivyodaiwa na Mh Peter Serukamba na leo maafisa wa TCRA.
Sikika haikutoa maoni kuhusu Mswada wa miamala ya kielektoniki kama ilivyodaiwa na Mh Peter Serukamba na pia leo maafisa wa TCRA.
Sikika ilituma maoni ya pamoja ya wadau kwa niaba ya wadau kuhusu #CyberCrimeBill kwa njia ya email...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-cDmxxQu1uFc/VUEI4MUY-2I/AAAAAAAHUJQ/ODVzSkRgigw/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-04-29%2Bat%2B7.31.41%2BPM.png)
BENKI KUU YATOA TAARIFA KUHUSU upotoshaji unaoendelea juu ya Sarafu ya sh. 500/=
![](http://2.bp.blogspot.com/-cDmxxQu1uFc/VUEI4MUY-2I/AAAAAAAHUJQ/ODVzSkRgigw/s1600/Screen%2BShot%2B2015-04-29%2Bat%2B7.31.41%2BPM.png)
Pia ndivyo ilivyoelezwa wakati wa uzinduzi wa sarafu hii mnamo mwezi Septemba mwaka jana kabla haijaingizwa katika mzunguko mwezi Oktoba 2014.
Bw. Kobello amesema hadi sasa sarafu zenye thamani ya sh. 1,162,000,000/- zimekwishasambazwa kote nchini na kwamba kuna kiasi cha kutosha cha sarafu hiyo endapo itahitajika.
“Hakuna...