Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TEAM TANZANIA KATIKA MATEMBEZI YA SUSAN G. KOMEN WASHINGTON, DC


 Mmoja ya waandaaji wa matembezi ya Susan G. Komen ya saratani ya matiti akielezea jambo kabla ya kuanza kwa mbio kwa ajili ya mapambano ya Saratani hiyo hatari kwa akina mama ambayo Team Tanzania imeshiriki kwa mwaka watatu mfululizo.  wanandugu wa Susan G. Komen wakiadhimisha siku ya dada yao kwenye maadhimisho ya mbio za saratani ya matiti zilizofanyika leo Jumamosi May 10, 2014 Washington, DC na mbio zilikuwa za maili 5. Watanzania wa DC walioshiriki mbio hizo.  Team Tanzania...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

TIMU TANZANIA YASHIRIKI MATEMBEZI YA SUSAN G. KOMEN WASHINGTON, DC


Timu Tanzania ikipata picha ya pamoja kabla ya kuanza matembezi ya saratani ya matiti ya Susan G. Komen yaliyofanyika Washington, DC siku ya Jumamosi May 9, 2015.
Wanusurika wa saratani ya matiti wakipata picha ya pamoja.
Matembezi yakianza.
Mwimbaji toka uingereza Matt Goss aliyeimba wimbo maalum kwa Strong kwa ajili ya matembezi haya ya Susan G. Komen ambaye mwaka jana mama yake mzazi alifariki kutokana na maradhi ya saratani ya matiti akipeana mkono na watembeaji wa saratatani ya titi. Kati...

 

11 years ago

Dewji Blog

Matembezi ya Susan G. Komen Washington, DC

Mmoja ya waandaaji wa matembezi ya Susan G. Komen ya saratani ya matiti akielezea jambo kabla ya kuanza kwa mbio kwa ajili ya mapambano ya Saratani hiyo hatari kwa akina mama ambayo Team Tanzania imeshiriki kwa mwaka watatu mfululizo. IMG_5172

wanandugu wa Susan G. Komen wakiadhimisha siku ya dada yao kwenye maadhimisho ya mbio za saratani ya matiti zilizofanyika jana Jumamosi May 10, 2014 Washington, DC na mbio zilikuwa za maili 5.

IMG_5180

Mmoja wa wanusurika wa Saratani ya matiti akitoa ushuhuda wake...

 

11 years ago

GPL

MATEMBEZI YA SUSAN G. KOMEN WASHINGTON, DC‏

 Wanandugu wa Susan G. Komen wakiadhimisha siku ya dada yao kwenye maadhimisho ya mbio za saratani ya matiti zilizofanyika leo Jumamosi May 10, 2014 Washington, DC na mbio zilikuwa za maili 5. Mmoja wa wanusurika wa Saratani ya matiti akitoa ushuhuda wake kwenye mbio za Susan G. Komeni zilizofanyika leo…

 

10 years ago

Vijimambo

Susan G. Komen Race for cure - TEAM TANZANIA

We have started a team for this year’s Susan G. Komen Global Race for the Cure™ on Saturday, May 10. The name of my team is TEAM TANZANIA.I’d love for you to be a part of TEAM TANZANIA. And joining us is easy! Go to GlobalRacefortheCure.org> REGISTER and choose “Join a Team.”
I started a team because it is the best way to experience one of the best Races in the areaSusan G. Komen Global Race for the Cure
Welcome to the Susan G. Komen Global Race for the Cure. Learn more about the event....

 

10 years ago

Vijimambo

Susan G Komen Race for the Cure 2015.....Washington DC

Karibu kutazama ripoti hii fupi kuhusu matembezi ya SUSAN G. KOMEN RACE FOR THE CURE mwaka 2015 hapa Washington DC

 

10 years ago

Michuzi

10 years ago

Vijimambo

MATEMBEZI YA SARATANI KUFANYIKA MAY 9 WASHINGTON, DC JIUNGE SASA UWAKILISHE TIMU TANZANIA

We have started a team for this year’s Susan G. Komen Global Race for the Cure™ on Saturday, May 9. The name of my team is TEAM TANZANIA.I’d love for you to be a part of TEAM TANZANIA. And joining us is easy! Go to GlobalRacefortheCure.org
> REGISTER and choose “Join a Team.”
I started a team because it is the best way to experience one of the best Races in the areaSusan G. Komen Global Race for the Cure

Welcome to the Susan G. Komen Global Race for the Cure. Learn more about the event....

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI CHIKAWE AIWAKILISHA TANZANIA KATIKA MKUTANO WAKUPAMBANA NA VURUGU NA UGAIDI, WASHINGTON MAREKANI

Rais wa Marekani, Barack Obama akitoa hotuba yake katika Mkutano wa Kimataifa wa Kupambana na Vurugu na Ugaidi duniani uliofanyika katika Ukumbi wa Loy Henderson, Wizara ya Mambo ya Nje, jijini Washington DC nchini humo leo. Mkutano huo uliowashirikisha Mawaziri wanaoshughulika na masuala ya usalama kutoka mataifa mbalimbali duniani, Maafisa Waandamizi wa Umoja wa Mataifa (UN), Vyama vya Kiraia na Sekta Binafsi ulijadili masuala mbalimbali ya jinsi ya kupambana na ugaidi pamoja na vurugu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani