Tetesi za soka Ulaya Jumamosi 20.06.2020: Ozil, Sane, Abraham, Giroud, Carroll, Zaha, Felix
Manchester City iko tayari kumuchailia winga wa Ujerumani Leroy sane 24 kuondoka katika klabu hiyo kwa uhamisho wa bila malipo mwisho wa kandarasi yake iwapo klabu ya Ujerumani ya Bayern Munchen itaongeza thamani yake ya pauni milioni 30.. (Independent)
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili16 Apr
Tetesi za Soka Ulaya Alhamisi 16.04.2020: Sane, Giroud, Havertz, Rojo, Lallana
Winga wa kimataifa wa Ujerumani na Manchester City Leroy Sane anakaribia kuhamia Bayern Munich kwa kiasi cha £70m.
5 years ago
BBCSwahili16 May
Tetesi za Soka Ulaya Jumamosi 16.05.2020: Jesus, Sane, Kroos, Weghorst, Vinicius, Torreira
Real Madrid bado wana nia ya kumnunua Erling Braut Haaland na watamfuatilia mshambuliaji huyo wa miaka 19- leo Jumamosi wakati Borussia Dortmund watarejea uwanjani katika ligi kuu ya Ujerumani.
5 years ago
BBCSwahili21 Mar
Tetesi za soka Ulaya Jumamosi tarehe 21.03.2020: Matic, Zaha, Willian, Soumare, Boga, Pjanic, Alaba
Ligi ya Primia kwa mara nyingine tena inachunguza jinsi ya kucheza michoze ndani ya nyumba wakati huu wa mzozo wa coronavirus ili kukamilisha msimu wa soka . (Independent)
5 years ago
BBCSwahili14 Mar
Tetesi za soka Ulaya Jumamosi 14.03.2020: Liverpool, Jota, Gomes, Martinez, Cherki, Giroud
Huenda Liverpool ikachukua taji la ligi ya Premier licha ya kwamba michuano imeahirishwa.
5 years ago
BBCSwahili25 Apr
Tetesi za soka Ulaya Jumamosi 25.04.2020: Aubameyang, Giroud, Osimhen, Ndombele, Werner, Ruiz
Chelsea wanafuatilia kwa karibu hali ya Pierre-Emerick Aubameyang katika Arsenal wakiwa na matumaini ya kumchukua mshambuliaji huyo wa miaka 30 raia wa Gabon msimu huu.
5 years ago
BBCSwahili15 Feb
Tetesi za soka Ulaya Jumamosi 15.02.2020: Isco, Pogba, Aubameyang, Giroud, Maddison, Traore
Paul Pogba anataka kuondoka Man United mwisho wa msimu huu lakini fursa ya mchezaji huyo kuondoka vizuri katika klabu hiyo huenda zikaathiriwa na hatua ya klabu hiyo kuomba kulipwa £83m ili kumuuza nyota huyo (Guardian)
5 years ago
BBCSwahili29 Feb
Tetesi za Soka Ulaya Jumamosi 29.02.2020: Arrizabalaga, Chiesa, Ozil, Grealish, Lusamba, Werner
Mlinda lango wa Uhispania Kepa Arrizabalaga, 25, anamejitayarisha kuondoka Chelsea msimu huu baada ya kukosa nafasi kwenye timu.
5 years ago
BBCSwahili06 Jun
Tetesi za soka Ulaya Jumamosi 06.06.2020: Havertz, Grealish, Chilwell, Thiago Silva, Sane, Aarons
Manchester United imeweka kipaumbele katika usajili wa nahodha wa Aston Villa Jack Grealish, 24, msimu huu - lakina inaweza kubadili mipango yake ikiwa mchezaji Kai Havertz wa klabu ya Bayer Leverkusen atapatikana.
5 years ago
BBCSwahili30 May
Tetesi za soka Jumamosi 30.05.2020: Sane, Hernandez, Hendrick, Bellingham
Bayern Munich iko tayari kumtoa mchezaji wake mlinzi Lucas Hernandez kwa Manchester City.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania