Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tetesi za soka Ulaya Jumamosi 15.02.2020: Isco, Pogba, Aubameyang, Giroud, Maddison, Traore

Paul Pogba anataka kuondoka Man United mwisho wa msimu huu lakini fursa ya mchezaji huyo kuondoka vizuri katika klabu hiyo huenda zikaathiriwa na hatua ya klabu hiyo kuomba kulipwa £83m ili kumuuza nyota huyo (Guardian)

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za soka Ulaya Jumamosi 25.04.2020: Aubameyang, Giroud, Osimhen, Ndombele, Werner, Ruiz

Chelsea wanafuatilia kwa karibu hali ya Pierre-Emerick Aubameyang katika Arsenal wakiwa na matumaini ya kumchukua mshambuliaji huyo wa miaka 30 raia wa Gabon msimu huu.

 

5 years ago

BBCSwahili

tetesi za soka Ulaya Jumanne 07.04.2020: Sancho, Martinez, Traore, Lingard, Giroud

Barcelona wanataka kumsajili mshambuliaji wa Argentina Lautaro Martinez, 22, kutoka klabu ya Inter Milan lakini wanakabiliana na ushindani mkali kutoka kwa Real Madrid na Manchester City. (Marca)

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za soka Ulaya Jumapili 26.04.2020 :Aubameyang, Pogba, Sancho, Neymar, Mbappe

Rais wa Real Madrid Florentino Perez bado ana ndoto ya kufikia makubaliano ya kumsaini mshambuliaji wa Paris St-Germain Neymar.

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za soka Ulaya Jumatano 29.04.2020: Pogba, Aubameyang, Ozil, Rice, Van de Beek, Rodriguez

Manchester United huenda wakalazimika kumuuza kiungo wa kati wa Ufaransa Paul Pogba, 27, kwa bei ya kutupa kutokana na athari za janga la corona. (Goal)

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za soka Ulaya Jumamosi 14.03.2020: Liverpool, Jota, Gomes, Martinez, Cherki, Giroud

Huenda Liverpool ikachukua taji la ligi ya Premier licha ya kwamba michuano imeahirishwa.

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za soka Ulaya Jumapili 16.02.2020: Pogba, Rabiot, Ramsey, Pierre-Emerick Aubameyang, Werner, Tierney

Juventus inapanga kuwatoa Aaron Ramsey na Adrien Rabiot kwa Manchester United kujaribu kumrejesha mchezaji wa kimataifa wa Ufaransa Paul Pogba

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za soka Ulaya Jumamosi 20.06.2020: Ozil, Sane, Abraham, Giroud, Carroll, Zaha, Felix

Manchester City iko tayari kumuchailia winga wa Ujerumani Leroy sane 24 kuondoka katika klabu hiyo kwa uhamisho wa bila malipo mwisho wa kandarasi yake iwapo klabu ya Ujerumani ya Bayern Munchen itaongeza thamani yake ya pauni milioni 30.. (Independent)

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Jumamosi 18.04.2020: Mane, Neymar, Pogba, Buffon

Mshambuliaji wa Liverpool Sadio Mane huenda akahamia Real Madrid, kwa mujibu wa mchezaji mwenzake wa Senegal Keita Balde.

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Jumanne 31.03.2020: Maddison, Willian, Coutinho, Lovren, Ceballos

Liverpool hawana mpango wa kumsajili tena kiungo wa kati wa Brazil Philippe Coutinho.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani