Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tetesi za soka Ulaya Jumatatu 09.03.2020: Dybala, Kepa, De Bruyne, Henderson, Malen, Chong, Barisic

Mshambuliaji wa Juventus na Argentina Paulo Dybala, 26, alimwabia wakala wake kufutilia mbali uhamisho wake kuelekea Manchester United.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Jumatatu 16.03.2020: Ighalo, Van de Beek, Ronaldo, De Bruyne, Sterling, Kane

Mshambuliaji wa Manchester United na Nigeria Odion Ighalo, 30, ambaye yuko klabu hiyo kwa mkopo kutoka Shanghai Shenhua, anajianda kupunguziwa mshahara hadi £6m ili asalie katika ligi ya primia. (Mail)

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Jumapili 28.06.2020: Sancho, Kepa, Havertz, Ronaldinho, Koulibaly, Rabiot

Borussia Dortmund wanaamini winga wao Muingereza Jadon Sancho atasalia katika klabu hiyo, kwani hawajapokea ombi lolote la kutaka kumnunua mchezaji huyo. (Sport Buzzer, via Goal).

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Ijumaa 28.02.2020: Kepa, Jorginho, Barkley, Holgate, Kane, Sturridge, Karius

Kocha wa Chelsea Frank Lampard anajiandaa kuwauza wachezaji wanane, wakiwemo mlinda mlango wa uhispania, Kepa Arrizabalaga.

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Jumanne 26.05.2020: Allan, Todibo, Henderson, Coutinho, Icardi

Everton imewasilisha ombi la £40m kumsaini kiungo wa kati wa Napoli, Allan, 29, lakini klabu hiyo inataka dau la £60m kumuuza raia huyo wa Brazil. (Il Mattino - in Italian)

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za soka Ulaya Jumamosi 02.05.2020: Jimenez, Werner, Dembele, Henderson, Willian

Mshambuliaji wa Wolves na Mexico Raul Jimenez, mwenye umri wa miaka 28, amesema kuwa itakuwa vigumu kukataa ofa kutoka kwa klabu za Uhispania Real Madrid na Barcelona. (Express)

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za soka Ulaya Jumapili 03.05.2020: De Bruyne, Sanchez, Coutinho, Jovic, Suarez, Lingard

Kiungo wa kati wa Ubelgiji Kevin De Bruyne , 28 amesema kwamba huenda akaondoka Manchester City iwapo marufuku yao itaidhinishwa.(HLN, via Manchester Evening News)

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za soka Ulaya Jumatatu tarehe 24.02.2020: Tetesi za uhamisho wa Zlatan, Smalling, Mkhitaryan, Phillips, Kostic

Mkurugenzi wa masuala ya kiufundi wa klabu wa AC Milan Paolo Maldini anasema Mswidi Zlatan Ibrahimovic, mwenye umri wa miaka 38, amefanya marekebisho ya kipengele cha mkataba wake iwapo Wataliano watafuzu kuingia Championi. (Mail)

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za soka Ulaya Ijumaa 14.02.2020: Dembele, Henderson, Mbappe, Messi, Grealish, Martinez, Carroll

Pep Guardiola amedai kwamba Manchester City huenda ikamfuta kazi iwapo watashindwa kuilaza Real Madrid katika kombe la mabingwa Ulaya. (Guardian)

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za soka Ulaya Jumapili 21.06.2020:Jimenez, Mane, Walker, Cavani, Bailey, Fati, Henderson

Juventus imeingia kwenye kinyang'anyiro sambamba na Manchaster United na Real Madrid wakitaka kupata saini ya mshambuliaji wa Mexico anayekipiga Wolves ,Raul Jimenez,29.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani