Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tetesi za soka Ulaya Ijumaa 14.02.2020: Dembele, Henderson, Mbappe, Messi, Grealish, Martinez, Carroll

Pep Guardiola amedai kwamba Manchester City huenda ikamfuta kazi iwapo watashindwa kuilaza Real Madrid katika kombe la mabingwa Ulaya. (Guardian)

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za soka Ulaya Ijumaa 10.04.2020: Messi, Grealish, Mbappe, Pedro, Coutinho

Mshambuliaji wa Barcelona na Argentina Lionel Messi, 32, amekanusha kwa kupitia mitandao ya kijamii ripoti kuwa ana mpango wa kuhamia klabu ya Inter Milan. (Instagram)

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za soka Ulaya Jumamosi 02.05.2020: Jimenez, Werner, Dembele, Henderson, Willian

Mshambuliaji wa Wolves na Mexico Raul Jimenez, mwenye umri wa miaka 28, amesema kuwa itakuwa vigumu kukataa ofa kutoka kwa klabu za Uhispania Real Madrid na Barcelona. (Express)

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Jumanne 17.03.2020: Mahrez, Umtiti, Dembele, Telles, Martinez

Manchester City itazuia uhamisho wa winga wa Algeria Riyad Mahrez, 29, wa kujiunga na Paris St-Germain msimu wa joto. (Goal)

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Ijumaa 17.04.2020: Bellingham, Grealish, Rodriguez, Brozovic

Wakala wa mshambuliaji wa Real Madrid na Colombia James Rodriguez, 28, amewasiliana na Manchester United kuhusu uwezekano wa uhamisho wa nyota huyo msimu huu. (Sport via Metro)

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Ijumaa 01.05.2020: Grealish, Sancho, Fekir, Coutinho, Moses, Semedo

Real Madrid na Barcelona wamejiunga na kinyang'anyiro cha kumsajili winga wa Borussia Dortmund na England Jadon Sancho

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Ijumaa 06.03.2020: Ighalo,Kokcu,Mbappe, Magalhaes, Edouard,Ceballos, Cakir

Mshambuliaji wa Manchester United Mnigeria Odion Ighalo, 30, ambaye anachezea klabu hiyo kwa mkopo kutoka Shanghai Shenhua inayoshiriki Super League ya China, huenda akapewa mkataba wa kudumu Old Trafford. (Mail)

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za soka Ulaya Jumamosi 20.06.2020: Ozil, Sane, Abraham, Giroud, Carroll, Zaha, Felix

Manchester City iko tayari kumuchailia winga wa Ujerumani Leroy sane 24 kuondoka katika klabu hiyo kwa uhamisho wa bila malipo mwisho wa kandarasi yake iwapo klabu ya Ujerumani ya Bayern Munchen itaongeza thamani yake ya pauni milioni 30.. (Independent)

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Jumanne 26.05.2020: Allan, Todibo, Henderson, Coutinho, Icardi

Everton imewasilisha ombi la £40m kumsaini kiungo wa kati wa Napoli, Allan, 29, lakini klabu hiyo inataka dau la £60m kumuuza raia huyo wa Brazil. (Il Mattino - in Italian)

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Jumatatu 11.05.2020: Aubameyang, Ighalo, Upamecano, Martinez

Mshambuliaji wa Arsenal na Gabon Pierre-Emerick Aubameyang, 30, alimuahidi marehemu babu yake kuwa atachezea Real Madrid. (Sun)

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani