Tetesi za soka Ulaya Ijumaa 14.02.2020: Dembele, Henderson, Mbappe, Messi, Grealish, Martinez, Carroll
Pep Guardiola amedai kwamba Manchester City huenda ikamfuta kazi iwapo watashindwa kuilaza Real Madrid katika kombe la mabingwa Ulaya. (Guardian)
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili10 Apr
Tetesi za soka Ulaya Ijumaa 10.04.2020: Messi, Grealish, Mbappe, Pedro, Coutinho
Mshambuliaji wa Barcelona na Argentina Lionel Messi, 32, amekanusha kwa kupitia mitandao ya kijamii ripoti kuwa ana mpango wa kuhamia klabu ya Inter Milan. (Instagram)
5 years ago
BBCSwahili02 May
Tetesi za soka Ulaya Jumamosi 02.05.2020: Jimenez, Werner, Dembele, Henderson, Willian
Mshambuliaji wa Wolves na Mexico Raul Jimenez, mwenye umri wa miaka 28, amesema kuwa itakuwa vigumu kukataa ofa kutoka kwa klabu za Uhispania Real Madrid na Barcelona. (Express)
5 years ago
BBCSwahili17 Mar
Tetesi za Soka Ulaya Jumanne 17.03.2020: Mahrez, Umtiti, Dembele, Telles, Martinez
Manchester City itazuia uhamisho wa winga wa Algeria Riyad Mahrez, 29, wa kujiunga na Paris St-Germain msimu wa joto. (Goal)
5 years ago
BBCSwahili17 Apr
Tetesi za Soka Ulaya Ijumaa 17.04.2020: Bellingham, Grealish, Rodriguez, Brozovic
Wakala wa mshambuliaji wa Real Madrid na Colombia James Rodriguez, 28, amewasiliana na Manchester United kuhusu uwezekano wa uhamisho wa nyota huyo msimu huu. (Sport via Metro)
5 years ago
BBCSwahili01 May
Tetesi za Soka Ulaya Ijumaa 01.05.2020: Grealish, Sancho, Fekir, Coutinho, Moses, Semedo
Real Madrid na Barcelona wamejiunga na kinyang'anyiro cha kumsajili winga wa Borussia Dortmund na England Jadon Sancho
5 years ago
BBCSwahili06 Mar
Tetesi za Soka Ulaya Ijumaa 06.03.2020: Ighalo,Kokcu,Mbappe, Magalhaes, Edouard,Ceballos, Cakir
Mshambuliaji wa Manchester United Mnigeria Odion Ighalo, 30, ambaye anachezea klabu hiyo kwa mkopo kutoka Shanghai Shenhua inayoshiriki Super League ya China, huenda akapewa mkataba wa kudumu Old Trafford. (Mail)
5 years ago
BBCSwahili20 Jun
Tetesi za soka Ulaya Jumamosi 20.06.2020: Ozil, Sane, Abraham, Giroud, Carroll, Zaha, Felix
Manchester City iko tayari kumuchailia winga wa Ujerumani Leroy sane 24 kuondoka katika klabu hiyo kwa uhamisho wa bila malipo mwisho wa kandarasi yake iwapo klabu ya Ujerumani ya Bayern Munchen itaongeza thamani yake ya pauni milioni 30.. (Independent)
5 years ago
BBCSwahili26 May
Tetesi za Soka Ulaya Jumanne 26.05.2020: Allan, Todibo, Henderson, Coutinho, Icardi
Everton imewasilisha ombi la £40m kumsaini kiungo wa kati wa Napoli, Allan, 29, lakini klabu hiyo inataka dau la £60m kumuuza raia huyo wa Brazil. (Il Mattino - in Italian)
5 years ago
BBCSwahili11 May
Tetesi za Soka Ulaya Jumatatu 11.05.2020: Aubameyang, Ighalo, Upamecano, Martinez
Mshambuliaji wa Arsenal na Gabon Pierre-Emerick Aubameyang, 30, alimuahidi marehemu babu yake kuwa atachezea Real Madrid. (Sun)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
05-May-2025 in Tanzania